Mtoto wa Gullam Dewji alikataa full scholarship ya kusoma MIT baada ya kuongoza shule IST mwaka 2007 sababu akafunzwe kuendesha biashara zao India

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,532
Habari wadau.

Wahindi wapo makini sana na biashara zao. Watoto wao wanasomeshwa kwa malengo yao tu.

Mtoto wa kaka yake na Mo dewji ambaye anaitwa Gullam Dewji alikuwa kichwa kweli kweli katika shule ya kishua ya IST.

Alipomaliza high school alifanya vizuri sana katika mtihani wake wa SAT na ACT ambayo scores zake ndizo kipimo kinatumika kuingia vyuo vikubwa marekani na vyuo vikuu vya nchi kubwa zilizoendelea kama oxfords etc. Maksi alizopata chuo kikuu namba 1 duniani kinachoitwa MIT kilimpa admission with full ride scholarship.. yaani kila kitu buree kazi yake kusomaa tu.

Cha kushangaza mtoto huyo alikataa hiyo offer ya MIT kwa sababu alipaswa aende kufundishwa jinsi ya kuendesha biashara za familia yao huko nchini india.

Tangu shule ya IST imeanzishwa hakujawai kutokea mwanafunzi wa ki Tanzania aliyekataa full ride scholarship ya chuo kikuu namba moja duniani zaidi ya huyo mtoto wa Gullam Dewji.

Najiuliza tu hivi kuna mzazi Tanzania ama Mtoto anaweza kataa mwanae asiende kusoma hata udsm tu sababu anapaswa kufundishwa biashara ya familia ?

ARWA GULLAM ABASS DEWJI alishangaza mpaka walimu wa IST kwa hiyo jeuri.

Screenshot_20220828-231055_All PDF.jpg
 

Attachments

  • fdocuments.net_ibdp-scholarship-welcome-letter-2016-2017-word-ibdp-scholarship-welcome-letter.pdf
    96 KB · Views: 24
yaani MIT wakupe scholarship bila kuiomba?

Niambie aliiomba hapo sawa, ila sio kwamba walimpa tu bila yeye kuomba.... inawezekana ndio ni kichwa sio kwa kiasi hicho unavompamba...

Iwe ameomba ama hakuomba ila scholarships alipata na aliikataa. Soma hapo mwaka 2007 waliopata scholarship wa IST na uone nani ali decline offer
 

Attachments

  • Screenshot_20220828-231055_All PDF.jpg
    Screenshot_20220828-231055_All PDF.jpg
    35.8 KB · Views: 42
yaani MIT wakupe scholarship bila kuiomba?

Niambie aliiomba hapo sawa, ila sio kwamba walimpa tu bila yeye kuomba.... inawezekana ndio ni kichwa sio kwa kiasi hicho unavompamba...
Ukiwa na ufaulu mzuri unapewa scholarship bila hata kuomba, mtoto wa kaka yangu alipewa scholarship ya kusoma bure baada ya kuwa na ufaulu mzuri
 
Habari wadau.

Wahindi wapo makini sana na biashara zao. Watoto wao wanasomeshwa kwa malengo yao tu.

Mtoto wa kaka yake na Mo dewji ambaye anaitwa Gullam Dewji alikuwa kichwa kweli kweli katika shule ya kishua ya IST.

Alipomaliza high school alifanya vizuri sana katika mtihani wake wa SAT na ACT ambayo scores zake ndizo kipimo kinatumika kuingia vyuo vikubwa marekani na vyuo vikuu vya nchi kubwa zilizoendelea kama oxfords etc. Maksi alizopata chuo kikuu namba 1 duniani kinachoitwa MIT kilimpa admission with full ride scholarship.. yaani kila kitu buree kazi yake kusomaa tu.

Cha kushangaza mtoto huyo alikataa hiyo offer ya MIT kwa sababu alipaswa aende kufundishwa jinsi ya kuendesha biashara za familia yao huko nchini india.

Tangu shule ya IST imeanzishwa hakujawai kutokea mwanafunzi wa ki Tanzania aliyekataa full ride scholarship ya chuo kikuu cha ivy league zaidi ya huyo mtoto wa gullam dewji.

Najiuliza tu hivi kuna mzazi Tanzania ama Mtoto anaweza kataa mwanae asiende kusoma hata udsm tu sababu anapaswa kufundishwa biashara ya familia ?

ARWA GULLAM ABASS DEWJI alishangaza mpaka walimu wa IST kwa hiyo jeuri
Wewe unamshangaa huyo na Bill gates aliyeachana na Chuo chenyewe kabisa?
 
Sioni cha ajabu chochote.

Ingekua maajabu kama angekataa scholarship halafu akaanza sifuri, siyo kusimamia biashara za home.

Mbona Bakhresa watoto wake walisoma ndio wakarudi kwenye biashara za Baba yake.

Hata Mo dweji alienda shule Kwanza ndio akarudi kwenye biashara
 
Back
Top Bottom