Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,845
Makuzi.. There is something terribly wrong with his past...
Makuzi.. There is something terribly wrong with his past...
Raha unajipa mwenyewe; hayo unamsemeaMbeleni atajutia maamuzi yake
Uko sahihi kwa umri huo lazima kuna kitu kime mdissapoint haiwezekani awe mkaidi hivyo.wazee wake wamfuatilie na kwenda naye taratibu arejee skulKuna haja ya kuchunguza shule alokuwa anasoma ili kujua tatizo lipo wapi
Shule ya msingi ni muhimu. Kwengine huko siyo lazima.Wala siyo kweli. Nina mifano hai
Mwenyewe najuta muda mwingi niliopoteza shuleni ni bora ningeishia Form 4 nikaenda VETA.
Dunia imebadilika sana kwa sasa. Tumekaririshwa ukisoma ndiyo utakuwa na maisha mazuri. Hii ni dhana potofu
Kuna watu wamemaliza chuo kikuu (wana degree zao) lkn maisha yao yanasikitisha. Maisha ya sasa ili ufanikiwa lazima uwe na ujuzi wowote km vile ufundi magari, nyumba, seremala, kuendesha gari n.k
Km umemaliza kwenye ualimu, uanasheria n.k utajikuta unasota mtaani utakapokosa kazi.
Mpelekee VETA akajifunze fani za maisha na siyo kukariri vitabu.
Kwa maelezo yako ni sahihi kabisa ila kwa umri wa uyo dogo ni bado Sana kuacha shule tusije pata taifa la vilaza kwaihiyo ni Bora afike form 4 ni hatua nzuri tu ya kielimu after that apige mishe zakeWala siyo kweli. Nina mifano hai
Mwenyewe najuta muda mwingi niliopoteza shuleni ni bora ningeishia Form 4 nikaenda VETA.
Dunia imebadilika sana kwa sasa. Tumekaririshwa ukisoma ndiyo utakuwa na maisha mazuri. Hii ni dhana potofu
Kuna watu wamemaliza chuo kikuu (wana degree zao) lkn maisha yao yanasikitisha. Maisha ya sasa ili ufanikiwa lazima uwe na ujuzi wowote km vile ufundi magari, nyumba, seremala, kuendesha gari n.k
Km umemaliza kwenye ualimu, uanasheria n.k utajikuta unasota mtaani utakapokosa kazi.
Mpelekee VETA akajifunze fani za maisha na siyo kukariri vitabu.
Umeona sehemu nimeandika elimu haina umuhimu. Elewa mantiki.
Raha unajipa mwenyewe; hayo unamsemea
Kama huna akili nyingi VETA panafaa kwasababu panakuandaaa kufanya vibaruaWala siyo kweli. Nina mifano hai
Mwenyewe najuta muda mwingi niliopoteza shuleni ni bora ningeishia Form 4 nikaenda VETA.
Dunia imebadilika sana kwa sasa. Tumekaririshwa ukisoma ndiyo utakuwa na maisha mazuri. Hii ni dhana potofu
Kuna watu wamemaliza chuo kikuu (wana degree zao) lkn maisha yao yanasikitisha. Maisha ya sasa ili ufanikiwa lazima uwe na ujuzi wowote km vile ufundi magari, nyumba, seremala, kuendesha gari n.k
Km umemaliza kwenye ualimu, uanasheria n.k utajikuta unasota mtaani utakapokosa kazi.
Mpelekee VETA akajifunze fani za maisha na siyo kukariri vitabu.
atakuwa tajiri huyo akiaxa kutafuta pesa sasa hivi ndo akina kasheku wa baadae, mbunge wakahamaMbeleni atajutia maamuzi yake
Shida ni Degree uliyoipata kwa mkumbo, kisa umepangiwa na TCU na wewe ukaingia kichwa kichwa, wenzio waliosoma Vitu vya maaana wanakula maisha wanakazi ya kusign tu wewe fundi mchundoMm mwenyewe nina degree lkn nakula kupitia ujuzi mwingine ambao sijasomea darasani ambapo ningeanza muda kbla sijaenda form 5 ningekuwa mbali sana.
Niwe na chuki na wenye degree wakati wapo mtaani wanafanya kazi mpaka za watu waliomaliza darasa la 7. Wapo wana wengi tu ninaowafahamu wanalia njaa na degree zao
Mshakalili kua kusoma ni kufika chuo kikuu, huko veta unaenda kufanya nini kama sio kusoma pia, iyo form four ni nini kama sio kusoma huko.Wala siyo kweli. Nina mifano hai
Mwenyewe najuta muda mwingi niliopoteza shuleni ni bora ningeishia Form 4 nikaenda VETA.
Dunia imebadilika sana kwa sasa. Tumekaririshwa ukisoma ndiyo utakuwa na maisha mazuri. Hii ni dhana potofu
Kuna watu wamemaliza chuo kikuu (wana degree zao) lkn maisha yao yanasikitisha. Maisha ya sasa ili ufanikiwa lazima uwe na ujuzi wowote km vile ufundi magari, nyumba, seremala, kuendesha gari n.k
Km umemaliza kwenye ualimu, uanasheria n.k utajikuta unasota mtaani utakapokosa kazi.
Mpelekee VETA akajifunze fani za maisha na siyo kukariri vitabu.
Shida ni Degree uliyoipata kwa mkumbo, kisa umepangiwa na TCU na wewe ukaingia kichwa kichwa, wenzio waliosoma Vitu vya maaana wanakula maisha wanakazi ya kusign tu wewe fundi mchundo
Aachwe banaKwa hiyo tuwe na kauli moja kua aachwe