MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Yaani Maty hawa wakaka leo wameamua tu kunichanganya dada yao! Mi nadhani wanatutania na kutujaribu tu kwa sababu ninaamini kabisa wao kwa wake zao ndio wanakuwaga wa kwanza kuwalalamikia......Wife siku hizi hunipendi kama zamani, hunifanyii, moja mbili tatu..........ah
I hope Babu hatoiona hii! Lol
Naja Maty shaka ondoa, nshapewa ruhsa ujue na kuchakachua ntajachapwa!
I hope Babu hatoiona hii! Lol
Naja Maty shaka ondoa, nshapewa ruhsa ujue na kuchakachua ntajachapwa!