Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 16,315
- 33,811
Kagame analigeuza tatizo kuwa la Wahutu na Watusi kuificha ukweli.
Rwanda na Uganda zinafaidika sana kiuchumi kwa mgogoro wa Congo.
Ben Mkapa na Kofi walimwita Kagame Nairobi na kumpa ultimatum ya kumkamata Ntakaganda.
Kagame alimkata withini a week licha ya ukweli kuwa mataifa yalifanya jitihada za miaka.
Uhusiano wa Ntaganda na Kagame ni bosi na mtumishi.
Leo Ntaganda yupo Kigali anakula hewa, hana mashtaka wala nini kwasababu alikuwa anafanya kazi ya serikali ya Kagame
Kagame akatumia njia nyingine kurudi na ku-destabilize congo kwa kutumia hao mahasimu wao ili aendelee na shughuli za uchumi kama ilivyo kwa Museveni. Hata siku moja hawakubali uwepo wa vikosi vya UN kwasababu ni gharama kwa serikali zao (vita kati ya UN na wao)
Alichokisema JK ni ushauri na Rwanda ina haki ya kuukubali au kuukataa. Kukereka kwa Kagame kunatokana na chuki dhidi ya Tanzania ya kushiriki katika majeshi yanayopambana na interest zake.Kagame hapendi kuiona Congo tulivu.
Ukitaka kujua hana hoja ni pale anapotafuta habari za Mtikila ambaye ameshawahi kufungwa Tanzania kwa matamshi yake na kuihusisha na kauli za JK. Bila kujali motive ya JK au serikali reaction ya Kagame ni zaidi ya hapo.
Rwanda na Uganda zinafaidika sana kiuchumi kwa mgogoro wa Congo.
Ben Mkapa na Kofi walimwita Kagame Nairobi na kumpa ultimatum ya kumkamata Ntakaganda.
Kagame alimkata withini a week licha ya ukweli kuwa mataifa yalifanya jitihada za miaka.
Uhusiano wa Ntaganda na Kagame ni bosi na mtumishi.
Leo Ntaganda yupo Kigali anakula hewa, hana mashtaka wala nini kwasababu alikuwa anafanya kazi ya serikali ya Kagame
Kagame akatumia njia nyingine kurudi na ku-destabilize congo kwa kutumia hao mahasimu wao ili aendelee na shughuli za uchumi kama ilivyo kwa Museveni. Hata siku moja hawakubali uwepo wa vikosi vya UN kwasababu ni gharama kwa serikali zao (vita kati ya UN na wao)
Alichokisema JK ni ushauri na Rwanda ina haki ya kuukubali au kuukataa. Kukereka kwa Kagame kunatokana na chuki dhidi ya Tanzania ya kushiriki katika majeshi yanayopambana na interest zake.Kagame hapendi kuiona Congo tulivu.
Ukitaka kujua hana hoja ni pale anapotafuta habari za Mtikila ambaye ameshawahi kufungwa Tanzania kwa matamshi yake na kuihusisha na kauli za JK. Bila kujali motive ya JK au serikali reaction ya Kagame ni zaidi ya hapo.