Mtikila has extreme genocide ideology, says Kagame

Mtikila has extreme genocide ideology, says Kagame

Mtikila ni mshenzi kabisa......siasa za ndani zimemshinda sasa anaenda kuchokoza kusiko muhusu kabisa, badala ya haya makaelele kwa nn asiongelee basi maendeleo ya rwanda yaliyoletwa na kagame na ss tukaige? sasa huu waraka nia yake ni niini, halafu iweje??? huyu kenge anatafuta umaarufu wa harakaharaka ktk international level .....na haya yote kwa nn hakuyasema mapema aje aseme leo.......na huu waraka ni serikali inabidi ifanye kitu....
 
Kagame anataka serikali ya Tanzania iingilie kati kuhusu waraka ulioandkikwa na mtu anayejiita Mchungaji Mtikila. Labda Kagame angeonesha angesema alifanya nini wakati magazeti ya serikali yake yalipoanza kuandika mashambulizi kwa rais Kikwete?

Upo sahihi kaka iwe kweli isiwe kwel wasituletee ujinga utaifa kwanza.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mtikila is a Tutsi and Indian people hater number one,na kwa nini JF wana promote hizi hate speech za kina Mtikila,na mnao support hizi garbage za Mtikila be careful what you wish for!!

Nina wasiwasi na wewe mkuu mbona povu linakutoka sana?
 
Kagame anataka serikali ya Tanzania iingilie kati kuhusu waraka ulioandkikwa na mtu anayejiita Mchungaji Mtikila. Labda Kagame angeonesha angesema alifanya nini wakati magazeti ya serikali yake yalipoanza kuandika mashambulizi kwa rais Kikwete?

FJM

Ikiwa magazeti ya nchi yanaikosowa serikali, hilo ni kuonesha uwazi wa nchi, demokrasia na uhuru wa kutowa maoni. Pia na ukumbuke kuna kitu kinaitwa INTERNAL AFFAIRS......hata ikiwa Kagame akasirike na hao waandishi ni sawa tu lakini bado inabakisha kuwa ni masuala ya ndani ya nchi

lakini akitokezea kiongozi wa nchi nyengine akianza kuishutumu serikali ya nchi nyengine ni lazima pawe na ushahidi kamili ikiwa sio hivo matamshi hayo yanaweza kuonekana na kuchukuliwa kama ni ushawishi.

Na ikiwa kiongozi alojitokeza kuleta madai yenye kuleta fitna baina ya watu wa jamii fulani ni kiongozi wa dini, basi serikali ya kiongozi huyo wa dini inalazimika kumkemea kwasababu faitna hizo zinaweza kuleta uchochozi mkubwa wa jamii inayolengwa hususan ikiwa mada ni ya kikabila.
 
Mtikila is a Tutsi and Indian people hater number one,na kwa nini JF wana promote hizi hate speech za kina Mtikila,na mnao support hizi garbage za Mtikila be careful what you wish for!!
Huna jipya kilaza na wakala wa watuts nchini kwetu.
 
Mtikila ni mshenzi kabisa......siasa za ndani zimemshinda sasa anaenda kuchokoza kusiko muhusu kabisa, badala ya haya makaelele kwa nn asiongelee basi maendeleo ya rwanda yaliyoletwa na kagame na ss tukaige? sasa huu waraka nia yake ni niini, halafu iweje??? huyu kenge anatafuta umaarufu wa harakaharaka ktk international level .....na haya yote kwa nn hakuyasema mapema aje aseme leo.......na huu waraka ni serikali inabidi ifanye kitu....
kweli Tanzania ni kinyeo cha fungo (kilamtu ni kwake hata mhamiaji haramu) kiumbe kama wewe ni kinyaa hata kusoma ulicho andika, zaidi nahisi kusisimka na kupandwa na ghadhabu tu
 
Mtikila ni mshenzi kabisa......siasa za ndani zimemshinda sasa anaenda kuchokoza kusiko muhusu kabisa, badala ya haya makaelele kwa nn asiongelee basi maendeleo ya rwanda yaliyoletwa na kagame na ss tukaige? sasa huu waraka nia yake ni niini, halafu iweje??? huyu kenge anatafuta umaarufu wa harakaharaka ktk international level .....na haya yote kwa nn hakuyasema mapema aje aseme leo.......na huu waraka ni serikali inabidi ifanye kitu....

Mbona hata Marekani anaingilia siasa za nchi nyingine.
 
Mtikila ni mshenzi kabisa......siasa za ndani zimemshinda sasa anaenda kuchokoza kusiko muhusu kabisa, badala ya haya makaelele kwa nn asiongelee basi maendeleo ya rwanda yaliyoletwa na kagame na ss tukaige? sasa huu waraka nia yake ni niini, halafu iweje??? huyu kenge anatafuta umaarufu wa harakaharaka ktk international level .....na haya yote kwa nn hakuyasema mapema aje aseme leo.......na huu waraka ni serikali inabidi ifanye kitu....

Maendeleo analeta lakini kuna blood za watu ndani yake,,anaiba madini nchini Congo au pia hujui ilo mkuu?
 
wana JF, Hiv karibuni mtikila aliandika walaka kuhusu kagame kupenyeza watusi 35,000 na kuionya serikali juu ya hila chafu za kagame juu ya nchi yetu.Kiukweli mi ni mmoja wa wananchi waishio wilaya ya chato iliyoko karibu sana na pori la burigi. maeneo haya kuna watusi wengi sana wenye ng'ombe wengi ktk pori hili. nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana juu ya mienendo ya hawa jamaa juu ya watanzania, nmegundua kwamba yote yaliyoandikwa ktk walaka wa mtikila ni kweli kabisa, pia nmekuja kulingansha na hili la kagame kumtukana raisi kikwete na kusema ushauli wake ni wa kipuuzi na wakijinga. Pia jana kagame, mseven na uhuru wamekaa kuzungumzia mambo ya kiuchumi pasipo kuwaarika tz km moja ya EAC Country. hivyo hii yote ni ishara tosha kuwa kagame ni mtu hatari sana ktk taifa letu licha ya watu wake kurundikana tz.


My take,
serikali ifanye mchakato wa haraka kuwaondosha wanyarwanda wote wasio na vibali maalum na kuwarudisha makwao ili majasusi wengi wa kagame nchini kabla hawajaleta madhara katika nchi yetu.

 
kabisa, huyu mzee uchochezi ndo dili zake, sasa bongo kaona sijui kamaliza, kaona abip na nje..huyu atakua ni mchawi

Lini ameshachochea au tukio gani? Ikumbukwe ndo kiongozi aliyeshinda kesi zote dhidi ya Serikali.
 
Lini ameshachochea au tukio gani? Ikumbukwe ndo kiongozi aliyeshinda kesi zote dhidi ya Serikali.
Seems una short memory loss wewe,si ndio huyu na siasa zake za ugabachori alichochea wahindi wakapigwa mawe mtaani na akaishia kufungwa,mpe support tuu ila unrest zikianza usifikiri kwa sababu you support him utakuwa safe.
 
Maendeleo analeta lakini kuna blood za watu ndani yake,,anaiba madini nchini Congo au pia hujui ilo mkuu?
babu hizo story za wizi wa madini Congo is too old,wanaoiba madini ni hao hao wanajeshi wa Congo na different factions zinazopigana Congo in order to finance their adventures,Rwanda walishaondoka siku nyingi sana huko na the thing inabidi Congolese wamshukuru Kagame aliyewaondolea Mobutu aliyekuwa anawaibia kuwaweka jela kama kuku,bila Kagame Mobutu still angekuwa in power.
 
Mbona Kagame anarukia kila mtu siku hizi? Na jamiiforum yetu nayo inahusishwa? Ngoja Mtikila akitoka atakakotoka. Kagame anajitafutia kesi manake Saa ya Ukombozi kwa kesi hawezekani na bahati nzuri huwa anashinda? Ngoja Kagame aburuzwe Mahakama ya Afrika

Duh..! Bora arukie tuu..maana hata hii Jf arena nayo inamrukia!
 
"utter nonsense"mh ...upo kwenye kahawa au umepatwa na nini?jua kagame alipigana kustop genoside,angewezaje kuistop bila watu flani kuuawa?jua ile ilikuwa vita....tunachoangalia ni maisha ya watu wangapi aliokoa......
 
Hatari yao ni nini?kubali umeropoka na jua ukiwa na akili ya hivo utabaki wa kulalamika tu?
 
Back
Top Bottom