Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 416
zomba,
..Rwandan genocide took place after the genocide in Bosnia, and Kosovo.
..It is not that I have "forgotten too soon." How could I, while I have friends who lost relatives during the genocide in Rwanda?
..What saddens me the most, is the fact that Kagame's regime has been involved in the massacre of millions of innocent Congolese ppl.
..I dont support most of Mtikila's views, but lets be honest here: Between Mtikila and Kagame, who has killed more ppl?
cc: Kwetunikwetu, RUTAJUMBUKIRWA, Kabaridi, Jasusi, gombesugu
Ni jambo lisilo ubishi kuwa Mtikila ni kibaraka fulani anayetumiwa na watu wengi kulingana na nyakati......rejea enzi zile za Mrema alivyogeuka na kuishambulia NCCR Mageuzi, kutumiwa na CCM wakati wa kifo cha Wangwe, kutumiwa hivi karibuni kuhusu mlipuko wa Arusha.....ni kama condom ya CCM....wanamtumia na kumtupa...! Ingawaje baadhi ya mambo aliyoyasema yana ukweli.....rejea video iliyomnukuu Kagasheki akikiri kumsaidia meya wa Bukoba kupata hati ya kusafiria ya ndugu zake ambao sio raia wa Tanzania....!
Ni jambo lisilo na ubishi kuwa viongozi wengi wanajihusisha na mauaji (hata Obama, Kikwete n.k. ni wauaji pia) kutonakana na nature ya mamlaka yao. Lakini sasa kuna threshold ikifika ambapo mauji yanakuwa ya halaiki na mtu bila kuwa conscious na mauaji yanavyoendelea huwezi bado kumtetea. Kagame ni muuaji mkubwa at the scale ambayo haijawahi kutokea katika eneo lote la maziwa makuu. Ameaua watu deliberately Wahutu ndani ya Rwanda wakati wa genocide (ndio maana watu wenye uelewa wanakiri kutokea kwa double genocide) na sio Tutsi genocide alone. Pia aliua watutsi wenzake wengi ndani ya Rwanda ambao walikuwa well-off kwa kudai kuwa walikuwa accomplices wa utawala ya Habyarimana. Pia alienda mbali zaidi na kuua Wahutu nje ya Rwanda kule Congo hata wale ambao walihama Rwanda miongo mingi iliyopita ili mradi ni wahutu. Akaenda mbali zaidi na kusababisha vifo vingi vya wakazi wa mashariki ya Congo ambao sio wahutu, kwa taarifa ni kwamba hata watutsi walikuwa targeted kule Congo. Ndio maana ingawa hili halisemwi sana, wakati wa Kimia II na Umoja Wetu operations Watutsi wengi waliside na FDLR kukabiliana na vikosi vya Rwanda na Congo. Hayo yote kuhusu mauji ambayo Kagame amesababisha yako well documented in public domain, nilishaambatanisha indictment ya Spain judge iliyohusu mauaji ndani ya Rwanda.
Sasa hayo mengi yalikuwa ni historia, lakini tatizo liko hivi kwanini Kagame anaendelea kuendesha mauaji na kusababisha chaos mashariki ya Congo mpaka sasa? Jumuiya ya kimataifa itaendelea kukaa kimya mpaka lini? Nimeweka hiyo report ya UN Experts inayoelezea jinsi Kagame anavyojihusisha na M23 na kiini cha SADC kusema sasa basi, mshenzi tumwite mshenzi na kenge tumwite kenge....!