Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Muungwana unaharibiwa ndugu yangu kila sehemu sasa watengaji wako wameanguka
wewe nchi yako si marekani labda hiyo haijaoza!si ndiyo inayokupa mkate wa kila siku au?Si kweli... nchi yetu haijaoza kila pembe...
Hivi si 1978 'pepa' ilivuja?Kama ni kweli hii inatisha kweli kweli. Mtumieni JK hayo maswali, ubabaishaji umezidi. Mrudisheni prof. Mmari baraza la mitihani hata kama ni kwa part time ili aokoe jahazi.
Taifa kweli liko njia panda.
Do me a favor, scan the front page ONLY and post it here, kama huwezi then scan it, send a copy to invisible@jamiiforums.com and I will promptly bring it here... Otherwise inatuwia ngumu kuamini hii habari, ni serious sana kiasi inaweza kupelekea watu kumwaga unga wao!
kutokana na watu humu ndani kudai kwamba mitihani imekuwa inavuja kila mwaka na kilichobadilika ni aina ya teknolojia inayotumika kuivujisha,nimeamua kuweka mtihani Historia wa taifa wa kidato cha nne utakaofanyika kesho ili kwamba kila mwenye kuuhitaji basi ajipakulie hapa, asije akafeli bure!!
Kitu!!
1. Why did British adopt indirect rule system in their colonies?
2. Explain the factor of the rise and consolidation of the centralized states in different African societies
3. how did the outbreak of World War I and world War II intensify the rise of nationalism in Africa
4. Describe various methods used in the establishment of colonial economy
5. explain the factor of exploitation in mode of production in Africa around 15th Century
6. Political instability is inevitable to Africa. Verify this statement and measures taken to prevent them
7. Factors of abolition of slave trade
8. how did USA support the decolonization of African colonies
9. In which way colonial education destroy African culture
10. Effective mass education maintained resistance against colonialism .Discuss
11. Discuss form and the motive of African nations reaction against colonial occupation
And then there is a map on which a candidate needed to spot the East Africa costal cities historical Sites and answer the Questions about African resistance against Colonialism and who was involved
wewe nchi yako si marekani labda hiyo haijaoza!si ndiyo inayokupa mkate wa kila siku au?
Duh,siku hizi hawafuati ile format tena? Na kama wali-change wanafunzi waliarifiwa au kazi kuvuruga exaination format kiholela tu?
wenzako walijaribu kunichagulia nchi; nina nchi moja tu na haijaoza kile pembe!
......toka lilipoingia lile li-Mungai.........elimu yetu imekuwa holela holela
wewe nchi yako si marekani labda hiyo haijaoza!si ndiyo inayokupa mkate wa kila siku au?
Hivi si 1978 'pepa' ilivuja?
Na si 1998 ikavuja hivihivi?
Pia na 2008 yanakuwa yaleyale?
What's wrong with 8 then?
Duh,ngoja kesho tuone.Hah! Kama itakua hivi au ukiwa huu huu basi kwa nguvu zote nitajitolea kuhakikisha Maghembe na Ndalichako wanaipata fresh.
Ungescan hiyo karatasi halafu uiweke ingependeza sana
Kigarama kama uko dar es salaam wilaya ya kinondoni au ilala nijulishe nitakuelekeza kwa kwenda kuscan na utume hapo hapo bure kabisa
First Lady, jaribu basi kuwa unasikiliza taarab walau kidogo.... kufanya hivyo kutakupa nyezo ya kufumbua mafumbo mengi sana yaandikwayo hapa JF ndugu.
Unisamehe, nimeandika kwasababu nimeona post zako kama mbili tatu hivi umezijibu at a face value hali kilichomaanishwa kikiwa sivyo. Ni mawaidha tu, ahsante.
Kigarama kama uko dar es salaam wilaya ya kinondoni au ilala nijulishe nitakuelekeza kwa kwenda kuscan na utume hapo hapo bure kabisa
mmekosea mngeleake hii pepa ..muda mfupi kabla ya mtihani...hapa hamtawapata mmewapa muda wa kutangaza kuahirishwa kwa huu mtihani [kama ni kweli]