Kuntakinte
JF-Expert Member
- May 26, 2007
- 701
- 31
nasikia kichefu chefu...!
cha msingi waungwana sisi kama wasemaji tuliyowazi kwaajili ya manufaa ya nchi ningependa labda tungependekeza nini kifanyike kuliko kuangusha lawama na kuwataka watu wajiuzulu. Maoni tuu