Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Uwongo kwani!!! Zitto nadhani ana lake jambo hapo. Au naye ni mwislam? Unajua linapokujaga suala la kutetea dini ya mtu uwezo wa kufikiri na kutambua HUZAMA nadni ya CHOO cha shimo na kufukiwa!!!

Kama ambavyo Mtei alivyozama kwenye choo cha dini ya ukristo au siyo?
 
jamani mimi naombeni msaada wenu wana jf. nahitaji kuwaletea hoja nzito na nzuri sana ila sasa sijui niiandike wapi kwa maana kwamba jui kufungua ukurasa wa jf ili niandike. nimejaribu kuomba kwenye great thinkers imegoma na wala sioni palipoandikwa type new message sasa nafaanzia wapi?
 
wewe kama hauoni tatizo kwa nchi kuingia oic na kuwa nchi ya kiislamu,mimi siwezi kukubali hii kitu niishudie kwa macho yangu ikibidi ata kumwaga damu yangu kuzuia hii movement ya kuibadili nchi yetu kuwa ya kiislamu...kama jk ameteua masheikh wenzake kutimiza azma inayoubiriwa kila siku na redio iman basi ajue amechemsha..tutapambana mpaka cell ya mwisho..

Ben achana na Zitto uyo,hana lengo zuri tizama ata watu wanaomuunga mkono,alafu ufikirie mara mbilimbili..

Hivi mbona Tanzania ina uhusiano wa kidiplomasia na VATICAN?Mbona hatupigi kelele?

Tuache fikra za kutazama mambo kikabila na kidini.Mahakama ya kadhi itatuathiri nini kama wakristo,watu wenye dini za asili au wasio na dini?Hata wasio na dini wana haki zao......

Tuache fikra hizi.Tujifunze kujadili uwezo wa watu kuliko kujadili dini na makabila yao.Ni jambo laa aibu kabisa maslahi ya taifa kuwekwa chini ya dini na makabila.Dini hizi tulizoletewa zitatumaliza.Na kuna kitu kinachotuunganisha sisi waafrika,tuna mfannano fulani.We are extreme i n everything,iwe dini ama siasa.Dini inayofundisha kumchukia au kumkataa mwingine hiyo haina maana kwangu,Dini inayofundisha nisiwe raia mzalendo kwa taifa langu na ustaarabu wa kuishi na makundi au jamii nyingine duniani hiyo kwangu nitaona siyo dini.

Waafrika walio wengi na hasa Watanzania tunashangaza sana.Pamoja na usomi wa hali ya juu na umri mkubwa tunaweza kueneza chuki katika kujadili mustakabali wa Taifa letu au Afrika kwa kuangalia mawazo ya watu based on religion or tribe.

Wanaibuka wafuasi na kudai wako tayari kumwaga damu kwa mitazamo ya aina hii? Nimesema dini ikipokelewa au ikitumika vibaya inaweza kugeuka kuwa uchawi mmoja mbaya sana.Kwa staili ya aina hii tunaanza kuwa taifa la mifarakano ya kidini kama ilivyo Nigeria.Hebu tutangulize U-Tanzania mbele..viongozi na watu wenye ushawishi kwenye jamii mtumie busara tunapojadili masuala ya kitaifa

It is understandable that a lot of you are appalled with the level of decadence in the polity now, the senility of the present government and the boisterous looter of yesterday screamin in our faces! However, patriotism does not stem out of the reactions to all there ill situations, it is a true love for the motherland regardless of the present anomalies. There is a funny cycle here that has kept us in chains for a while:

Tanzanians are suffering because we are not patriotic, and we are not patriotic because we are suffering. We are part of a hypocritical mill, those self denying traitors that pack their bags and run to the west only find out they are an inferior breed and soon run back flauntin their distorted speech in our faces like they were made kings over there, we know better. Until we are ready to collectively regain our freedom from the imperialistic monarchy personalized by CCM we shall keep moarning and playing the self-pity role in this film.

Tunahitaji kujikomboa fikra ! Tuache kufikra ndani ya box la udini na ukabila ili tuwe objective....tuende beyond.Tuongelee utanzania kwanza
 
Hivi mbona Tanzania ina uhusiano wa kidiplomasia na VATICAN?Mbona hatupigi kelele?

Tuache fikra za kutazama mambo kikabila na kidini.Mahakama ya kadhi itatuathiri nini kama wakristo,watu wenye dini za asili au wasio na dini?Hata wasio na dini wana haki zao......

Tuache fikra hizi.Tujifunze kujadili uwezo wa watu kuliko kujadili dini na makabila yao.Ni jambo laa aibu kabisa maslahi ya taifa kuwekwa chini ya dini na makabila.Dini hizi tulizoletewa zitatumaliza.Na kuna kitu kinachotuunganisha sisi waafrika,tuna mfannano fulani.We are extreme i n everything,iwe dini ama siasa.Dini inayofundisha kumchukia au kumkataa mwingine hiyo haina maana kwangu,Dini inayofundisha nisiwe raia mzalendo kwa taifa langu na ustaarabu wa kuishi na makundi au jamii nyingine duniani hiyo kwangu nitaona siyo dini.

Waafrika walio wengi na hasa Watanzania tunashangaza sana.Pamoja na usomi wa hali ya juu na umri mkubwa tunaweza kueneza chuki katika kujadili mustakabali wa Taifa letu au Afrika kwa kuangalia mawazo ya watu based on religion or tribe.

Wanaibuka wafuasi na kudai wako tayari kumwaga damu kwa mitazamo ya aina hii? Nimesema dini ikipokelewa au ikitumika vibaya inaweza kugeuka kuwa uchawi mmoja mbaya sana.Kwa staili ya aina hii tunaanza kuwa taifa la mifarakano ya kidini kama ilivyo Nigeria.Hebu tutangulize U-Tanzania mbele..viongozi na watu wenye ushawishi kwenye jamii mtumie busara tunapojadili masuala ya kitaifa

It is understandable that a lot of you are appalled with the level of decadence in the polity now, the senility of the present government and the boisterous looter of yesterday screamin in our faces! However, patriotism does not stem out of the reactions to all there ill situations, it is a true love for the motherland regardless of the present anomalies. There is a funny cycle here that has kept us in chains for a while:

Tanzanians are suffering because we are not patriotic, and we are not patriotic because we are suffering. We are part of a hypocritical mill, those self denying traitors that pack their bags and run to the west only find out they are an inferior breed and soon run back flauntin their distorted speech in our faces like they were made kings over there, we know better. Until we are ready to collectively regain our freedom from the imperialistic monarchy personalized by CCM we shall keep moarning and playing the self-pity role in this film.

Tunahitaji kujikomboa fikra ! Tuache kufikra ndani ya box la udini na ukabila ili tuwe objective....tuende beyond.Tuongelee utanzania kwanza

Anayepinga Waislam kuwa na mahakama yao ya kadhi ni mwendawazimu.Kisichokubaliwa asilani ni mahakama hizi kupachikwa kwenye katiba ya nchi na kugharamiwa na serikali.Mbona wakatoliki wanaendesha mahakama zao kwa sadaka za waumini wao na hakuna anayelalamika? Pia nimekuwa nikiwashangaa watu wavivu wa kufikiri wamekuwa wakihusisha ubalozi wa Vatican na utetezi dhaifu.Mbona wanapolalamikia ubalozi wa vativan hawalalamikii pia ubalozi wa Jamhuri ya Kiislam ya Saudia au Iran? Ujinga huu wa ulalamishi wa kipuuzi utafikisha taifa letu wapi?
 
Ni kweli Mtu mzima kama Mzee Mtei, hakutakiwa kusema jambo kama hili. hapa mzee amedhihirisha jinsi alivyo mdini
 
Anayepinga Waislam kuwa na mahakama yao ya kadhi ni mwendawazimu.Kisichokubaliwa asilani ni mahakama hizi kupachikwa kwenye katiba ya nchi na kugharamiwa na serikali.Mbona wakatoliki wanaendesha mahakama zao kwa sadaka za waumini wao na hakuna anayelalamika? Pia nimekuwa nikiwashangaa watu wavivu wa kufikiri wamekuwa wakihusisha ubalozi wa Vatican na utetezi dhaifu.Mbona wanapolalamikia ubalozi wa vativan hawalalamikii pia ubalozi wa Jamhuri ya Kiislam ya Saudia au Iran? Ujinga huu wa ulalamishi wa kipuuzi utafikisha taifa letu wapi?

Mollemo labda hujamwelewa Ben,

Tunatakiwa kuweka utanzania wetu mbele na kufikiria nje ya box la dini zetu. Mahakama ya kadhi waislamu wanachodai ni kuwepo kwa mahakama yenye kufata misingi ya sheria za kiislamu. Now kwakuwa Tanzania ni secular society kuna mambo lazima waislamu wasacrifice kama masuala ya jinai na civil matters. Hata hivyo kuna mambo serikali inaweza kuwapatia waislamu kama huduma ya kisheria ya ndoa na mirathi. Mahakama ya kadhi mbona ilikuwapo kabla ya uhuru na baada ya uhuru ikaja kufutwa na nyerere miaka 70 je unaweza kutwambia ni kwanini aliifuta kimya kimya? Hivyo wanachodai waislamu ni haki yao ya kimsingi ya kikatiba nayo ni KUPATIWA HUDUMA YA KISHERIA NCHINI MWAO!!!! Na mahakama ya kadhi ndio solution kwasababu mahakama zilizopo have failed severely na evidence zipo kutokana na mlundikano wa kesi za mirathi na matatizo ya ndoa za waislamu.

When we return to OIC na debate ya Vatican is a matter of diplomacy. Mbona Tanzania imejiunga na jumuiya mbali mbali za kikristo sasa what is wrong with them joining OIC. Vatican is one of them si nchi na wala haitambuliki kama nchi kwasababu ya mgongano baina ya Holy see na Vatican City. Sasa kama wakatoliki wanafurahia kuwapo kwa vatican kuna kibaya gani waislamu nao wakafaidika na kuwepo kwa OIC? Besides, Tanzania nzima itafaidika na kuwepo katika jumuiya hii kwani nchi wanachama hufaidika na mfano misaa ya kimaendeleo, mikopo isio na riba, mauzo ya mafuta at reasonable price etc which I think we are in desperate need of them.

Ukifikiria nje ya box nadhani utaipata picha halisi ya Ben. Lakini ukitawaliwa na udini hautaielewa hata siku moja na sadly to say ndio wengi wenu mmejaa humo.
 
Anayepinga Waislam kuwa na mahakama yao ya kadhi ni mwendawazimu.Kisichokubaliwa asilani ni mahakama hizi kupachikwa kwenye katiba ya nchi na kugharamiwa na serikali.Mbona wakatoliki wanaendesha mahakama zao kwa sadaka za waumini wao na hakuna anayelalamika? Pia nimekuwa nikiwashangaa watu wavivu wa kufikiri wamekuwa wakihusisha ubalozi wa Vatican na utetezi dhaifu.Mbona wanapolalamikia ubalozi wa vativan hawalalamikii pia ubalozi wa Jamhuri ya Kiislam ya Saudia au Iran? Ujinga huu wa ulalamishi wa kipuuzi utafikisha taifa letu wapi?

Tuache wananchi waamue.Competency ya wajumbe itumike intellectually bila kuwa biased na imani zao.Kama ingekuwa ni maoni basi maoni yangu ni kwamba serikali iruhusu mahkama za kiimani ila Fedha za walipa kodi zisitumike.

Balozi za Vatican,Saudia,Iran,Malaysia,Pakistan,Israel n.k hazina tatizo.Vatican na Iran ndiyo the only theocracies zinazo-exist so far.Zinaongozwa na viongozi wa kidini.Zinatambulika kwenye sheria za kimataifa.Lateran Pact 1929 kati ya VATICAN na Mussolin iliingiza moja kwa moja VATICAN kwenye utambulisho.Hadi sasa mataifa zaidi ya 200 yana uhusiano wa kidiplomasia na VATICAN,kodi za wananchi wa mataifa husika zinatumika kulipia watumishi wa ubalozi kule vatican zikiwemo kodi za raia ambao ni waumini wa kiislam au wasio na dini.Suala la VATICAN limehusishwa na kujiunga na OIC.Hebu soma maandishi kwa utulivu.

Hizi chuki za kidini zinatuonyesha jinsi waafrika tunavyovamia imani kizuzu tu. Watu haangalii competency ya mtu tunaanza kuangalia imani zao.Ningefurahi sana kama watu wangejenga hoja za msingi kuhusu uwezo wa wajumbe,imani (confidence) kwa wajumbe,uhalali wa kisheria kwa tume kufanya kazi chini ya muongozo wa katiba hii inayompa Rais Mamlaka ya ki-mungu mtu katika mchakato mzima wa katiba
 
Mollemo labda hujamwelewa Ben,

Tunatakiwa kuweka utanzania wetu mbele na kufikiria nje ya box la dini zetu. Mahakama ya kadhi waislamu wanachodai ni kuwepo kwa mahakama yenye kufata misingi ya sheria za kiislamu. Now kwakuwa Tanzania ni secular society kuna mambo lazima waislamu wasacrifice kama masuala ya jinai na civil matters. Hata hivyo kuna mambo serikali inaweza kuwapatia waislamu kama huduma ya kisheria ya ndoa na mirathi. Mahakama ya kadhi mbona ilikuwapo kabla ya uhuru na baada ya uhuru ikaja kufutwa na nyerere miaka 70 je unaweza kutwambia ni kwanini aliifuta kimya kimya? Hivyo wanachodai waislamu ni haki yao ya kimsingi ya kikatiba nayo ni KUPATIWA HUDUMA YA KISHERIA NCHINI MWAO!!!! Na mahakama ya kadhi ndio solution kwasababu mahakama zilizopo have failed severely na evidence zipo kutokana na mlundikano wa kesi za mirathi na matatizo ya ndoa za waislamu.

When we return to OIC na debate ya Vatican is a matter of diplomacy. Mbona Tanzania imejiunga na jumuiya mbali mbali za kikristo sasa what is wrong with them joining OIC. Vatican is one of them si nchi na wala haitambuliki kama nchi kwasababu ya mgongano baina ya Holy see na Vatican City. Sasa kama wakatoliki wanafurahia kuwapo kwa vatican kuna kibaya gani waislamu nao wakafaidika na kuwepo kwa OIC? Besides, Tanzania nzima itafaidika na kuwepo katika jumuiya hii kwani nchi wanachama hufaidika na mfano misaa ya kimaendeleo, mikopo isio na riba, mauzo ya mafuta at reasonable price etc which I think we are in desperate need of them.

Ukifikiria nje ya box nadhani utaipata picha halisi ya Ben. Lakini ukitawaliwa na udini hautaielewa hata siku moja na sadly to say ndio wengi wenu mmejaa humo.

Mdondoaji,

Umenielewa vyema sana mkuu wangu.Ningekuwa sijapost hiyo hapo juu (post namba 468) basi baada ya kuona hili bandiko lako nisingepost tena

Tatizo nililioona hapa ni watu kuwa na emotions halafu zinachanganyika na extrimism.Ndiyo hayo niliyosema kwamba Dini ikipokelewa vibaya inaweza kugeuka uchawi. Ni vigumu mtu kuwa objective anapojifungia ndani ya sanduku la udini na ukabila au ubaguzi wa Rangi,Jinsia n.k
 
Hivi mbona Tanzania ina uhusiano wa kidiplomasia na VATICAN?Mbona hatupigi kelele?

Tuache fikra za kutazama mambo kikabila na kidini.Mahakama ya kadhi itatuathiri nini kama wakristo,watu wenye dini za asili au wasio na dini?Hata wasio na dini wana haki zao......

Tuache fikra hizi.Tujifunze kujadili uwezo wa watu kuliko kujadili dini na makabila yao.Ni jambo laa aibu kabisa maslahi ya taifa kuwekwa chini ya dini na makabila.Dini hizi tulizoletewa zitatumaliza.Na kuna kitu kinachotuunganisha sisi waafrika,tuna mfannano fulani.We are extreme i n everything,iwe dini ama siasa.Dini inayofundisha kumchukia au kumkataa mwingine hiyo haina maana kwangu,Dini inayofundisha nisiwe raia mzalendo kwa taifa langu na ustaarabu wa kuishi na makundi au jamii nyingine duniani hiyo kwangu nitaona siyo dini.

Waafrika walio wengi na hasa Watanzania tunashangaza sana.Pamoja na usomi wa hali ya juu na umri mkubwa tunaweza kueneza chuki katika kujadili mustakabali wa Taifa letu au Afrika kwa kuangalia mawazo ya watu based on religion or tribe.

Wanaibuka wafuasi na kudai wako tayari kumwaga damu kwa mitazamo ya aina hii? Nimesema dini ikipokelewa au ikitumika vibaya inaweza kugeuka kuwa uchawi mmoja mbaya sana.Kwa staili ya aina hii tunaanza kuwa taifa la mifarakano ya kidini kama ilivyo Nigeria.Hebu tutangulize U-Tanzania mbele..viongozi na watu wenye ushawishi kwenye jamii mtumie busara tunapojadili masuala ya kitaifa

It is understandable that a lot of you are appalled with the level of decadence in the polity now, the senility of the present government and the boisterous looter of yesterday screamin in our faces! However, patriotism does not stem out of the reactions to all there ill situations, it is a true love for the motherland regardless of the present anomalies. There is a funny cycle here that has kept us in chains for a while:

Tanzanians are suffering because we are not patriotic, and we are not patriotic because we are suffering. We are part of a hypocritical mill, those self denying traitors that pack their bags and run to the west only find out they are an inferior breed and soon run back flauntin their distorted speech in our faces like they were made kings over there, we know better. Until we are ready to collectively regain our freedom from the imperialistic monarchy personalized by CCM we shall keep moarning and playing the self-pity role in this film.

Tunahitaji kujikomboa fikra ! Tuache kufikra ndani ya box la udini na ukabila ili tuwe objective....tuende beyond.Tuongelee utanzania kwanza

we Ben ebu acha kujitoa ufahamu..we unafananisha OIC na Vatican?kwa oic ni nchi!mbona tuna uhusiano wa kibalozi na Iran na Saudi Arabia nchi za kiislamu na mioyo yetu myeupe,ndio kama kuwa na uhusiano na Vatican nchi ya kikristo..hapa ishu ni nchi yenye wakristo 70% kuwa mwanachama wa jumuia ya nchi za kiislamu ilo atuwezi kukubali kwani hii nchi sio ya kiislamu.

Mahakama ya kadhi wala hatuwakatazi kuanzisha ata leo wakitaka,si ata mwenzao Jk ameshawaruhusu...tatizo wanataka eti igharamiwe kwa kodi za wananchi ambao asilimia kubwa ni wakristo..ilo atuwezi kukubali kodi zetu zikagharamie IBADA ya kiislamu......wamezugazuga na uyo jk wao wameona hii ndio sehemu ya kukamilisha mission yao..mbona kitaeleweka tu na sisi safari hii tutawaonyesha ubavu wetu,tumeshawanyamazia sana.

Alafu hapa hakuna mtu anaemchukia mtu kwa Dini yake wala Kabila,mtu anachukiwa kwa UNAFIKI wake.
 
Mollemo labda hujamwelewa Ben,

Tunatakiwa kuweka utanzania wetu mbele na kufikiria nje ya box la dini zetu. Mahakama ya kadhi waislamu wanachodai ni kuwepo kwa mahakama yenye kufata misingi ya sheria za kiislamu. Now kwakuwa Tanzania ni secular society kuna mambo lazima waislamu wasacrifice kama masuala ya jinai na civil matters. Hata hivyo kuna mambo serikali inaweza kuwapatia waislamu kama huduma ya kisheria ya ndoa na mirathi. Mahakama ya kadhi mbona ilikuwapo kabla ya uhuru na baada ya uhuru ikaja kufutwa na nyerere miaka 70 je unaweza kutwambia ni kwanini aliifuta kimya kimya? Hivyo wanachodai waislamu ni haki yao ya kimsingi ya kikatiba nayo ni KUPATIWA HUDUMA YA KISHERIA NCHINI MWAO!!!! Na mahakama ya kadhi ndio solution kwasababu mahakama zilizopo have failed severely na evidence zipo kutokana na mlundikano wa kesi za mirathi na matatizo ya ndoa za waislamu.

When we return to OIC na debate ya Vatican is a matter of diplomacy. Mbona Tanzania imejiunga na jumuiya mbali mbali za kikristo sasa what is wrong with them joining OIC. Vatican is one of them si nchi na wala haitambuliki kama nchi kwasababu ya mgongano baina ya Holy see na Vatican City. Sasa kama wakatoliki wanafurahia kuwapo kwa vatican kuna kibaya gani waislamu nao wakafaidika na kuwepo kwa OIC? Besides, Tanzania nzima itafaidika na kuwepo katika jumuiya hii kwani nchi wanachama hufaidika na mfano misaa ya kimaendeleo, mikopo isio na riba, mauzo ya mafuta at reasonable price etc which I think we are in desperate need of them.

Ukifikiria nje ya box nadhani utaipata picha halisi ya Ben. Lakini ukitawaliwa na udini hautaielewa hata siku moja na sadly to say ndio wengi wenu mmejaa humo.

Kama kawaida majibu rahisi kwa maswali magumu!
Kwani kazi ya serikali ni kueneza Dini? au kuchonga misalaba na kupeleka watu hija? tatizo sio oic tatizo katiba ya oic! Kama kidume weka hapa katiba ya oic!
Nchi hii nahisi tumelaaniwa hatujui hata vipaumbele!
 
Kama kawaida majibu rahisi kwa maswali magumu!
Kwani kazi ya serikali ni kueneza Dini? au kuchonga misalaba na kupeleka watu hija? tatizo sio oic tatizo katiba ya oic! Kama kidume weka hapa katiba ya oic!
Nchi hii nahisi tumelaaniwa hatujui hata vipaumbele!

Kwani umesikia mahakama ya kadhi ni ibada wewe vp? Mahakama ya kadhi ni huduma ya kisheria kama anavyopelekwa Lulu kupatiwa haki yake mahakama kuu ya Tanzania. Ukitaka katiba ya OIC kaitafute mwenyewe sina muda wa kupoteza ila kama unataka kuifahamu vizuri soma link hapo chini

Organisation of Islamic Cooperation - Wikipedia, the free encyclopedia

Halafu ujiulize kwanini nchi kama Russia na Thailand ni member wakati waislamu hawafiki hata asilimia 10 ndio utapata jibu nini ni OIC!!!!
 
Tuache wananchi waamue.Competency ya wajumbe itumike intellectually bila kuwa biased na imani zao.Kama ingekuwa ni maoni basi maoni yangu ni kwamba serikali iruhusu mahkama za kiimani ila Fedha za walipa kodi zisitumike.

Balozi za Vatican,Saudia,Iran,Malaysia,Pakistan,Israel n.k hazina tatizo.Vatican na Iran ndiyo the only theocracies zinazo-exist so far.Zinaongozwa na viongozi wa kidini.Zinatambulika kwenye sheria za kimataifa.Lateran Pact 1929 kati ya VATICAN na Mussolin iliingiza moja kwa moja VATICAN kwenye utambulisho.Hadi sasa mataifa zaidi ya 200 yana uhusiano wa kidiplomasia na VATICAN,kodi za wananchi wa mataifa husika zinatumika kulipia watumishi wa ubalozi kule vatican zikiwemo kodi za raia ambao ni waumini wa kiislam au wasio na dini.Suala la VATICAN limehusishwa na kujiunga na OIC.Hebu soma maandishi kwa utulivu.

Hizi chuki za kidini zinatuonyesha jinsi waafrika tunavyovamia imani kizuzu tu. Watu haangalii competency ya mtu tunaanza kuangalia imani zao.Ningefurahi sana kama watu wangejenga hoja za msingi kuhusu uwezo wa wajumbe,imani (confidence) kwa wajumbe,uhalali wa kisheria kwa tume kufanya kazi chini ya muongozo wa katiba hii inayompa Rais Mamlaka ya ki-mungu mtu katika mchakato mzima wa katiba

Ben
Tuko pamoja asilimia mia moja.Mahakama hizi za kidini zianzishwe lakini katu senti ya mlipakodi isitumike.
 
Acha kutisha watu wewe,

Na sisi waislamu hatutaki kuendelea kuwa nchi inayotumika na kanisa. Hii ni nchi yetu sote tutapambana na wewe hadi tone la mwisho la damu yetu. Fikiria mara mbili kauli zako hizo. Nimewauliza katika thread ya mahakama ya kadhi na OIC nipeni hasara za OIC hamna? Nimewauliza mbona Uganda na Nigeria wapo OIC nyie kinawazuia nini? Mbona wamarekani wameomba kuwa observatory member nyie kisebusebu cha nini???

Tuondoleee ujinga wako hapa hii tanzania yetu sote tutapambana na wewe hadi cell ya mwisho.

hakuna anaekutisha,kwani nani aliekwambia sisi tunatishia,kama unafikiri tunatishia kawaulize Iraq,Libya,Syria,Afghan etc..
Mnachong'ang'ania kuingia OIC ni nini?kwani msipokuwa OIC mnapungukiwa nini..kama shida ni misaada ya tende,mnaweza kuandaa bajeti yenu alafu muipeleke pale mt joseph baharini kuliko uchokonozi mnaotaka kuuanzisha...
Ivi mnafikiri sisi atujui kuwa Jk anatekeleza maadhimio mliofikia kwenye kikao chenu cha Diamond Jubilee,ilo mlilopanga la kuslimisha Tanzania ni ndoto za mchana...tumenyamazia mengi sana,naona mnaanza kutuchukulia poa ila kwa ili ikibidi ata crusade..
 
Kama kawaida majibu rahisi kwa maswali magumu!
Kwani kazi ya serikali ni kueneza Dini? au kuchonga misalaba na kupeleka watu hija? tatizo sio oic tatizo katiba ya oic! Kama kidume weka hapa katiba ya oic!
Nchi hii nahisi tumelaaniwa hatujui hata vipaumbele!



Now religion is also destroying the country on the same level as tribalism if not more. Many Tanzanians can not tolerate the fact that some people belong to another religion, many feel their religions are superior and all others completely lack legitimacy, after all the bible says that whoever that does not believe in its stories and creed is condemned already, many Christians look at non Christians as condemned people and treat them as such because their word of God says so.

The Holy Koran states that Allah does not like the unbelievers and many Muslims are happy to treat non Muslims as the enemies of Allah because the Koran says so

Kwa mfano: Kuna kipindi kulizuka mapigano nchini Nigeria kwa sababu Marekani (wakristu) wamevamia taifa la kiislam.Sisi waafrika (pamoja na watanzania hususan wa hapa JF) tuko tayari ku-pledge allegiance na Saudi Arabia na Marekani au Vatican kuliko Tanzania.Jambo la ajabu kabisa na utumwa wa hali ya juu kifikra na kiimani

Hatuangali vipaumbele kama Taifa bali tunaangalia vipaumbele kama mkusanyiko wa watu fulani tuliochanganyikiwa

Of course,religion is NOT the only problem Tanzania is facing, we have very high level of corruption, tribalism, lack of patriotism greed and insensitivity to one another as Tanzanians, but the problem that religion(blindly fanatic) causing is at par with corruption and tribalism.The type of passive religion practiced in Tanzania that believes that God will solve all the problems the nation is facing is killing the country and making the people lazy and complacent
 
"Kila mahala mnazungumzia waislaam hivi ama vile kwa kutukisia waislaam wana njama yao.. Je what if! Mtei anachoogopa ni kuvunjwa kwa muafaka wa MuO ikiwa hakuna wakristu wengi ndani ya kamati hii kuulinda muafaka!..Hili ni jambo ambalo linatutatiza sisi waislaam kuona serikali ikishirikiana na kanisa ktk kutoa huduma za ELIMU na AFYA! Je kuna mkristu hata mmoja ambaye anaona serikali haitakiwi kushirikiana na kanisa ktk maswala haya? sidhani, kila mmoja wenu anaiona haki ya kanisa kwanza kwa sababu ni chombo chenu kinachofanya kazi kama Non governmental Organisation (NGO) ambayo kwa maajabu ni mbia na serikali.. hata maana ya neno hili linafutwa ghafla kwa muafaka."
Wakuu kama haya ndio mawazo ya wasomi walioko kwenye bunge la JF basi kuna haja kubwa sana ya wazo la Mzee Mtei kufanyiwa kazi haraka iwezekanavyo kabla mambo hayajaharibika zaidi. Kwa bahati mbaya sana wengi wa waislamu wanashare this misconception, kwao kuliko KCMC, Bugando, Marangu, Haydom, Huruma na hospitali nyingine nyingi zinazoendeshwa na makanisa ziwepo ni afadhali zifutwe tukose wote, hata kama hospitali hizi zinahudumia wenye dini na wasio na dini. Huu ni ulimbukeni na ndio unaofanya wengi wetu tuwe na shaka na tume iliyoundwa. Whats wrong to have religious institutions which provide healthcare services to all citizens without religious discrimination? What is preventing our muslim brothers to build a referal hospital in Dodoma so that we wananchi from central areas of the country can have these kind of services too? Kama thinking ya waislamu ndio hii ambayo siamini kama kweliwengi wana mtizamo huu,kushindwa kutenganisha dini yao na maswala yasiyohitaji dini tutarajie matatizo makubwa kwenye tume ya katiba.

Ndio maana nimesisitiza wajumbe wa hii tume wawe waislamu au wakristo wasahau kama wana dini, wasahau kama wananchi wa Tanzania wana dini, ndio njia pekee ya kuwa na katiba ya maana. Kama huu hautakuwa msingi wa tume hii, tumekwisha maana sioni ni kwa namna gani tume yenye wajumbe wengi wa dini ya kiislamu wataacha kuingiza maswala la mahakama ya kadhi kwenye katiba. It is unconceivable to believe religious beliefs will not influece thinking and decision making, and whoever wants people not to talk about this is short sightened. We need to caution members of the committee to abandon their beliefs and ideologies so that they can discuss issues with much needed freedom and perspectives. Their reliogious beliefs will without any doubt constrain their ability to thnk and digest issues the way they are supposed to.
 
Duh! sasa naona Udini umekolea kwa sababu ya maneno ya Mzee Mtei tu..Haya nambieni mtaweza kukubaliana kutokubaliana kwtk Udini kama sii kuijenga chuki zaidi?

Fundi mchundo, sintokujibu lolote maana unazungumka tu ktk hoja ambazo tumeshazipitia muda mrefu. hakuna mahala serikali ilisema imeshindwa kuendesha shule zake - HAKUNA.. na kama ingekuwepo leo wasingendelea kujenga shule kila kata halafu wanashindwa kuwalipa walimu na kuweka vifaa wakati wanatoa bil 90 kila mwaka kuwezesha za kanisa. Madaktari wamegoma hatuna vifaa, walimu wanagoma wengine hawajalipwa mishahara miezi mitatu kisha JK anasimama na kusema yeye sio mdini kama angekuwa mdini mbona kawapa kanisa bil 600 kwa muda alokuwa madarakani?.. Statement hii peke yake inaonyesha wazi ili asionekane mdini kawapendelea kanisa kwa kuwapa bil 600 (appro..Bil 90 kila mwaka). Fikiria kwa makini maneno hayo na nakuomba rudi kaisome katiba vizuri.. ubishi huu siuwezi tena.

Anyway kifupi ni kwamba Katiba ya zamani haina mapungufu mengi na kama utaisoma kwa makini ni NZURI na inapingana na mengi sana ambayo sisi wenyewe tumeyahahalisha kutokana na GREED, Udini, Ukabila na kila aina ya Ubaguzi.. Ubaguzi upo na hatuwezi kuuzungumzia kwa misingi ya kutotaka kuyavunja. Tumeshindwa kuondoa Umaskini, Ujinga na Maradhi kwa sababu ya Ubishi na ujuaji kama huu wakati katiba inajieleza wazi na clear kabisa.
 
nimekusikia mkuu. awali ya yote, na-declare position yangu kwenye hii debate..... mimi ni mkristo.

the irony behind my earlier post ni kwamba kuna mambo ambayo kwenye mchakato huu wa katiba mpya kama hatutayapekenyua to the finest details (inside-out, upside-down, back n forth, black n white), kuna uwezekano wa kupata katiba yenye mizizi ya kinafiki. so, let's put everything on the table now and chew it to the last bit.

uchokonozi aliouanzisha mtei usinge-attract a heated and intense debate like this kama uchokonozi huu ungekuwa umeanzishwa na a nobody like "m-mbabe". that's why nimependezewa sana kwamba ni mtei (or hata kama ingekuwa equivalent dignitaries like mkapa, lipumba, mwinyi, etc) ndiye aliyechokoza mada hii.

otherwise, arguments zako katika huu mjadala kuhusu position ya uislam ni more than valid.
This is not a heated debate ila ni kuonyesha jinsi Udini unavyoweza kutusambaratisha. Hakuna mtu hapa anakubaliana na mwenzake na wala hakuna mtu hapa anakubali kutokubaliana, isipokuwa Kujitenga na WAO kuwa wao against SISI.. Hii ndio hatari ya maneno baadhi ya maneno.

Mkuu wangu maana ya kupiga vita Ubaguzi wa aina yoyote imeelezwa vizuri sana ndani ya katiba iwe wanawake, Ukabila au Udini.. Nitatoa mfano japokuwa ni mbaya sana lakini yachukulieni kama maneno ya mwendawazimu kwa muda..

Nikisema:- "Wanawake hawafai kuongoza nchi maana ni wazembe na sehemu yao ni jikoni..."
Maneno haya yanaweza kuwa na ukweli kwa baadhi ya wanaume na yakazua heated debate kuhusiana na maneno haya lakini japokuwa yanaonekana kubeba ukweli fulani kwa baadhi ya watu lakini ni maneno ya mazito ya uchonganisha, kubeza na sio right kuyasema hata kama unafikiria ni haki yako kusema ukweli unaofikiria wewe. katiba inakataza na ndivyo inatakiwa hata ktk maswala ya Udini na Ukabila.

Unapopinga Udini ni lazima uwe na kigezo cha kuonyesha UPENDELEO kwa waislaam/wakristu na ndivyo mzee wetu Mtei alitaka kuonyesha lakini alishindwa kuonyesha jinsi gani wajumbe wa Zanzibar wangeweza kuchaguliwa ili huo uuwiano uwepo. Na kisha hii habari ya UUWIANO ni kuni kavu au mafuta ktk kuchochea Udini ama Ukabila uliopo. Toka tumefanya Uuwiano ktk maswala ya Muungano ndivyo muungano wetu umekuwa na kero zaidi tofauti na nchi nyinginezo ambazo zimejenga sheria kuhakikisha kila mmoja wao anayo haki sawa ya kushiriki ama kupewa huduma na sio kutazama uuwiano baina yao.

Hata kuwezeshwa kwa watu weusi Marekani haikulenga ati watu weusi wapewe uuwiano sawa na weupe au wazungu isipokuwa haki sawa ya kushiriki bila kubaguliwa. Ukitazama affirmative action ya Marekani imewezeshwa kwa sababu shule zao nyingi ni Private na zinahitaji wanafunzi walipe karo (fedha), weusi wengi sii tu walitengwa ila pia kutokana na umaskini wao walishindwa kumudu karo za shule hizo hivyo affirmative action ililenga zaidi kuwawezesha watoto wa maskini kupata usajili wa shule nzuri na imetokea tu kwamba maskini wengi ni weusi japokuwa wapo wazungu ambao wanafaidika pia na sheria hiyo kuwezeshwa kuingia shule nzuri..

Kwa hiyo kinachotazamwa ni malengo, hapa tunajadili mzee Mtei pasipo kuwa na majawabu isipokuwa kulaani kitendo cha JK kuchagua wajumbe wa Zanzibar ambayo amepewa na Wazanzibar kuwakilisha nci ya Zanzibar kwa maslahi ya Wazanzibar na leo kuwa ati ni maslahi ya waislaam hali zanzibar yenyewe ina asilimia 99 waislaam. Inaingia akilini hii jamani?

Huu ni upumbavu mkubwa sana tunaufanya..Maana hakuna kati yetu anaweza kumtaja hata mkristu mmoja wa Zanzibar anayetakiwa kuwepo ktk wajumbe hao mbali kabisa na kwamba hawa wajumbe wamechaguliwa kutetea maslahi ya Zanzibar, sisi wabara tunaumia vichwa kwa sababu gani? Mbona wao hawatazami wajumbe wa Bara na kuanza kusema kuna wakristu wengi, kuliko waislaam hali bara wakristu na waislaam ni nusu kwa nusu!. Hakuna Mkerewe au Mgogo au wachagga wengi na kadhalika...inawahusu nini wajumbe wa Zanzibar kuzungumzia uchaguzi wa wetu ikiwa ni kwa maslahi ya bara?..

Halafu jamani hivi kweli mnapenda kuona Tanzania ambayo kesho itakuwa ikifuata Uuwiano ktk teuzi zake wakati watu hawa hawachaguliwi kusimamia maslahi ya kundi lao. Wewe unajenga nyumba yako unataka kusema kweli lazima mchora ramani na mjenzi awe Muislaam au Mkristu kwa sababu watakaoishi ndani ya nyumba hiyo ni waislaam au wakristu? Heee jamani tuache unafiki huu ni mbaya na hatari sana kwa Utaifa wetu...

Mwisho nasema hvi tumeshindwa kuijenga nchi yetu kwa katiba iliyopo ambayo ni KAVU inayokata kama kisu, tutaweza vipi kulijenga Taifa na katiba mpya ambayo itakuwa legelege. katiba itakayo ingiliwa na vyombo vya dini, makabila na jinsia wakivutia upande wao ilihali watu wote tunaitaka haki sawa?.. Kwa watu gani basi SISI watanzania maskini wanafiki wenye uchu na greed ya Utajiri sii ndio tutajimaliza kabisa!.
 
KWa hili MTEI amekosea SANA sidhani kuleta hoja hafifu km hizo ndo tumuone wa maana sana kisa ni muasisi...tukumbuke ata Nyerere ndani ya CCM alipingwa baadhi ya hoja zake....MTEI akiachiwa aongee kisa ni muasisi atakivuluga chama huu ni wakati wa vijana so MTEI pumzika babu unatuvuluga kwani unaonesha unavielement vya udini hii ni tume tu na sio yenyewe ambayo anaandika bali inakusanya mawazo ya waTanzania...kesho atatokea mwingine aseme mbona wale tena wengi ni wakanda ya ziwa......ZITTO ndugu panapo ukweli pasimamie kwani kua upinzani sio kupinga kila kitu utaonekana ZUZU kuna hoja zinazotuleta pamoja CCM,CDM,CUF nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom