Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Izi takwimu zinajulikana ulimwenguni kote...shughulisha ubongo wako au subiri sensa ya mwezi Agosti utabaini ukweli.

Mkuu JF sio sehemu ya porojo huwezi kuja na maneno matupu bila data wala facts zozote kuna Great Thinkers...usipende kuokota maneno mitaani na kuleta JF mkuu wangu.
 
Huyu mzee Mtei amefikia mwisho angeenda kupumzika tu kwenye mashamba yake huko, awe anasubiri ruzuku. lakini Zitto ameongea objectively au kwa sababu ni mwislam?
 
Mkuu JF sio sehemu ya porojo huwezi kuja na maneno matupu bila data wala facts zozote kuna Great Thinkers...usipende kuokota maneno mitaani na kuleta JF mkuu wangu.

sasa ritz hapo porojo zipo wapi?mbona ivi vitu viko wazi tu kama mlango wako wa nyuma,ebu pita kwenye masekondari mavyuoni na maofisini uhone kumejaa kina nani,anzia hapo kwanza...au we facts mpaka ziandikwe zikisomwa kuanzia kulia kwenda kushoto!?
 
sasa ritz hapo porojo zipo wapi?mbona ivi vitu viko wazi tu kama mlango wako wa nyuma,ebu pita kwenye masekondari mavyuoni na maofisini uhone kumejaa kina nani,anzia hapo kwanza...au we facts mpaka ziandikwe zikisomwa kuanzia kulia kwenda kushoto!?

No research no right to speak.
 
Duh,

Naelewa ni ngumu kwako kuwa objective kwenye mjadala kama huu ulioburuza watu wengi kuingia kwenye hisia

Hivi mkuu huoni connection yoyote ya VATICAN,OIC na labda ili uelewe vizuri Jumuiya ya Madola ambayo mkuu wake ni Malikia ambaye ni mkuu wa kanisa la Anglican?Waislam wakijenga hoja katika ulinganisho huo bado hutaelewa?

Objectivity is in the eye of the beholder.

Kwangu mimi mtu anayelinganisha The Holy See na OIC si objective wala kidogo. Moja ni nchi na nyingingine ni jumuia. Ni kama kulinganisha maembe na machungwa. Halafu mtu huyo huyo aendelee Jumuia ya Madola ni ya kikristu kwa vile symbolic head wake ni Malkia wa Uingereza ambae ni Mkuu wa Church of England (sio Anglican Church, ambalo halina Mkuu. Kiongozi wake ni Askofu wa Canterbury). Huyu mtu objective aseme hivyo bila kuangalia historia ya Jumuia hiyo kuwa ilitokana na kujiunga kwa hiari kwa nchi zilizokuwa chini ya tawala ya dol ya Uingereza na sasa hivi wigo huo umepanuliwa kuruhusu nchi kama Msumbiji kujiunga. Kwa mtzamo wako huo basi, kwa vile rais wa nchi yetu ni muislamu basi nchi yetu ni ya kiislamu! Labda ndio maana masuala ya OIC na Mahakama ya Kadhi yanapigiwa sana kelele wakati uongozi unakuwa wa kiislamu maana waislamu wanaona nchi imekuwa yao. Hiyo ndio objectivity unayoizungumzia, mkuu?

Amandla........
 
Kusema kwamba tume ina waislam wengi hapo ni kweli, na kimsingi hakuna mwenye tatizo na hili kuwa wako wengi
Tatizo ni maoni yake kwanini wako wengi, toka lini tumeanza kutumia kigezo cha dini?

Muulize Mtei CDM viti maalum kwanini wameteu wakristo wengi
Muulize kwanini uongozi CDM una wakristo wengi
Muulize kwanini wamemsimamisha Padri kugombea urais
Muulize kwanini kanisa mara zote lipo upande mmoja kimsimamo na CDM
Au muulize kwanini inadaiwa wakanda ya kaskazini wanajiona wanyechama

Majibu atakayo kujibu ndio hayo alitakiwa kutumia busara kutambua kwanini tume ile ina waislam wengi
Maana kimsingi maswali hayo yataulizwa tu na mtu anayeangalia mambo kwa mtazamo wa kidini na kikanda, vinginevyo maswali yote niliyataja hapo juu hayana mashiko kama maoni yake yasivyo na mashiko.

Nakuhakikishia tukianza na uwiano wa dini hatutaishia hapo......makabila na hadi koo zitaingia
FIKIRI MARAMBILI MKUU.......

Big up nimependa post yako!
 
  • Thanks
Reactions: Axe
Cdm isipo kuwa makini hatasiku moja haiwezi kushinda uchaguzi 2015 ikiwa waasisi wa Chama wanatoa kauli Kama hizi za udini. chadema inahitaji kura za waislamu pia. Wataishia kua Kama cuf kupata kura isyozidi 23% siasa+dini=harakati za bure!
 
Mkuu labda nikujibu tena na tena. Nachosema Hospital za Bugando KCMC na nyinginezo zijiendeshe zenyewe kama private Hospital na wananchi wanaotibiwa hapo ndio wapewe nafuu kwa kulipiwa kiwango fulani cha huduma zipatikanazo. Tunachopinga sisi ni serikali kuwa mbia na kanisa wakati katiba inapinga swala hilo. Sasa kama wameweza kurudisha shule na hospital zote za makanisa wameshindwa nini kurudisha shule za AghaKhan kama Tambaza?.. na iweje shule za waislaam na watu wengine waliojitolea kufungua shule na kutoa huduma kwa watu wote zisiwe na fungu la kupewa fedha isipokuwa zile za kanisa? Tazama shule za waislaam na Private nyinginezo zinapokea tu watoto waliofail mitihani na kuwapa nafasi ya kujiendeleza wakati za kikristu zinachukua walioshinda mitihani kwa ushirika na serikali kwa kutumia fedha za walipa kodi lakini zile nyingine kila mtu anajitegemea yeye mfuko wake..Huoni kasoro hapo halafu unasema ni Huruma?

Kila mara mnapenda sana kuepa ukweli, wewe huwezi kuishi nyumba ya kupanga ati kwa sababu unapewa huduma hiyo, utapenda ujenge chako na wewe uwe na sehemu yako. Unafikiri shule na hospital nyinginezo hawapendi kuziboresha hospital zao ili wapate kuhudumia watu wote kwa ufanisi bila kuwatenga kwa dini au makabila yao?.. Eeeh, nakuuliza wewe inakuwaje serikali bado inajenga shule na Hospital zake ambazo ziko chini ya kiwango halafu tunaambiwa ati walishindwa kuzihudumia ndio maana makanisa wakarudishiwa, sasa zile za waislam au za watu private serikali iliweza kuzihudumia au ndio wametengwa kiaina.

_ Namalizia kwa kusema muafaka wa MoU haufai, aidha shule na hospital zote nchini ziwe na mfumo mmoja na wapewe wote nafasi sawa za kifedha na kadhalika au kila shule na hospital isiyokuwa ya serikali ijiendeshe yenyewe (ktk ushindani) na serikali ijikite ktk kuwasadia wananchi wanaokwenda kusoma au kutibiwa huko.


Hii ni story ya kweli at Mbagala Mission (La Sainte Union Sisters)

Kuna siku masheikh kadhaa waliendesha mhadhara karibu na hii hospitali maarufu sana mbagala
masheikh hawa walitukana sana ukristo na wakawatukana masisters wa ile hopsitali kuwa hawana lolote, ni wahuni tu, na ni wake wa mapadre! bila wao kujua kuwa hao masister wanajua kiswahili vizuri tu

Vipaza sauti vikaendela kutoa maneno yote mabaya! pamoja na kuwa eti wanapendelewa na serikali kwa mambo mengi..kama ulivyosema!

siku ya pili yake wagonjwa wengi wakaja kama kawaida yao

sister akaanza kuwauliza majina na dini zao

ukisema Asha na ni mwislamu anasema toka nje kwani waislamu wametutukana sana jana, siku hiyo ya alhamisi alifanya hivyo kwa waislamu wote waliokuja hopsitali na alisema hakutakuwa na huduma ya hospitali kwa waislamu!....wakastuka

wakristo waliokuwepo walikuwa wachache sana....labda asilimia 20 ya walioondoka!

wale akina mama waislamu wakaenda kuwaeleza waume zao (kumbuka ina hudumia sana akina mama na watoto) na mkutano mkubwa ukaitishwa wa kuwaomba msamaha masister..tangu kipindi kile mpaka wa leo hii hakuna tena mihadhara na huduma zinaendelea kama kawaida

Kwa hiyo mr. Mkandara unachokisema ni sahihi kwako ila kwa waislamu wa mbagala hawatakuelewa.

capital cost ya kujenga hospitali nani anaitoa?? je zinapata ruzuku ya serikali on time?

Nimekupa mfano tu.....hii hospitali tajwa hapo juu inaserve asilimi 80 ya waislamu ambao ndio wengi huku mbagala!

Njoo na hoja zako hapo juu umweleze mwanamke anayeumwa au mzazi anayeuguliwa na mtoto......uone utakavyotukanwa

Mwisho:

sikutegemea mtu kama wewe utatoa mawazo ya kijinga na kipumbavu kama haya ambayo hata zuzu Kikwete ameyakataa!! yaani unatoa wazo mpaka mwislamu mwenzako anakuona mjinga!! what a shame!

grow up!! nikiona unaendeleza ujinga huu na sumu hii, nitadeal na wewe nina hasira na wewe maana ni kingunge humu, unajua JF ilivyo na bado unaleta vi-element vya udini udini, tofauti yako wewe Mtei na Jusssa ni nini??

usirudie
 
Hii ni story ya kweli at Mbagala Mission (La Sainte Union Sisters)

Kuna siku masheikh kadhaa waliendesha mhadhara karibu na hii hospitali maarufu sana mbagala
masheikh hawa walitukana sana ukristo na wakawatukana masisters wa ile hopsitali kuwa hawana lolote, ni wahuni tu, na ni wake wa mapadre! bila wao kujua kuwa hao masister wanajua kiswahili vizuri tu

Vipaza sauti vikaendela kutoa maneno yote mabaya! pamoja na kuwa eti wanapendelewa na serikali kwa mambo mengi..kama ulivyosema!

siku ya pili yake wagonjwa wengi wakaja kama kawaida yao

sister akaanza kuwauliza majina na dini zao

ukisema Asha na ni mwislamu anasema toka nje kwani waislamu wametutukana sana jana, siku hiyo ya alhamisi alifanya hivyo kwa waislamu wote waliokuja hopsitali na alisema hakutakuwa na huduma ya hospitali kwa waislamu!....wakastuka

wakristo waliokuwepo walikuwa wachache sana....labda asilimia 20 ya walioondoka!

wale akina mama waislamu wakaenda kuwaeleza waume zao (kumbuka ina hudumia sana akina mama na watoto) na mkutano mkubwa ukaitishwa wa kuwaomba msamaha masister..tangu kipindi kile mpaka wa leo hii hakuna tena mihadhara na huduma zinaendelea kama kawaida

Kwa hiyo mr. Mkandara unachokisema ni sahihi kwako ila kwa waislamu wa mbagala hawatakuelewa.

capital cost ya kujenga hospitali nani anaitoa?? je zinapata ruzuku ya serikali on time?

Nimekupa mfano tu.....hii hospitali tajwa hapo juu inaserve asilimi 80 ya waislamu ambao ndio wengi huku mbagala!

Njoo na hoja zako hapo juu umweleze mwanamke anayeumwa au mzazi anayeuguliwa na mtoto......uone utakavyotukanwa

Mwisho:

sikutegemea mtu kama wewe utatoa mawazo ya kijinga na kipumbavu kama haya ambayo hata zuzu Kikwete ameyakataa!! yaani unatoa wazo mpaka mwislamu mwenzako anakuona mjinga!! what a shame!

grow up!! nikiona unaendeleza ujinga huu na sumu hii, nitadeal na wewe nina hasira na wewe maana ni kingunge humu, unajua JF ilivyo na bado unaleta vi-element vya udini udini, tofauti yako wewe Mtei na Jusssa ni nini??

usirudie

Weberoya naona unampiga mkwala Bob Mkandara..
 
No research no right to speak.

ha ha ha ha ha!yani we mtu unachekesha kweli,mkuu huwa nakufananisha na Bambo au Kingwendu kwa michango yako umu ilivyo kikomedi,yani ulivyo kituko inabidi ujiunge na Futui mkuu..sasa sijui ni pilau,biriani au yale mamoshi ya udi mnayojifukizia mkikaa kwenye busati ndio yanawafanya ata mkienda shule bado mnakuwa kama chekechea!!
Ngoja nikae kando nicheki michango ya wengine pia nikuache uendelee kutuchekesha..
 
ha ha ha ha ha!yani we mtu unachekesha kweli,mkuu huwa nakufananisha na Bambo au Kingwendu kwa michango yako umu ilivyo kikomedi,yani ulivyo kituko inabidi ujiunge na Futui mkuu..sasa sijui ni pilau,biriani au yale mamoshi ya udi mnayojifukizia mkikaa kwenye busati ndio yanawafanya ata mkienda shule bado mnakuwa kama chekechea!!
Ngoja nikae kando nicheki michango ya wengine pia nikuache uendelee kutuchekesha..

JF sio sehemu ya porojo umeipata wapi kuwa wakisto Tanzania ni 70% ?tunasubiri jibu kwa faida ya JF.
 
JF sio sehemu ya porojo umeipata wapi kuwa wakisto Tanzania ni 70% ?tunasubiri jibu kwa faida ya JF.

wewe unaepinga ndio uje na data zako zinazotofautiana na izi..JF huwa tunapinga kwa data mbadala.
 
hii ni story ya kweli at mbagala mission (la sainte union sisters)

kuna siku masheikh kadhaa waliendesha mhadhara karibu na hii hospitali maarufu sana mbagala
masheikh hawa walitukana sana ukristo na wakawatukana masisters wa ile hopsitali kuwa hawana lolote, ni wahuni tu, na ni wake wa mapadre! Bila wao kujua kuwa hao masister wanajua kiswahili vizuri tu

vipaza sauti vikaendela kutoa maneno yote mabaya! Pamoja na kuwa eti wanapendelewa na serikali kwa mambo mengi..kama ulivyosema!

Siku ya pili yake wagonjwa wengi wakaja kama kawaida yao

sister akaanza kuwauliza majina na dini zao

ukisema asha na ni mwislamu anasema toka nje kwani waislamu wametutukana sana jana, siku hiyo ya alhamisi alifanya hivyo kwa waislamu wote waliokuja hopsitali na alisema hakutakuwa na huduma ya hospitali kwa waislamu!....wakastuka

wakristo waliokuwepo walikuwa wachache sana....labda asilimia 20 ya walioondoka!

Wale akina mama waislamu wakaenda kuwaeleza waume zao (kumbuka ina hudumia sana akina mama na watoto) na mkutano mkubwa ukaitishwa wa kuwaomba msamaha masister..tangu kipindi kile mpaka wa leo hii hakuna tena mihadhara na huduma zinaendelea kama kawaida

kwa hiyo mr. Mkandara unachokisema ni sahihi kwako ila kwa waislamu wa mbagala hawatakuelewa.

Capital cost ya kujenga hospitali nani anaitoa?? Je zinapata ruzuku ya serikali on time?

Nimekupa mfano tu.....hii hospitali tajwa hapo juu inaserve asilimi 80 ya waislamu ambao ndio wengi huku mbagala!

Njoo na hoja zako hapo juu umweleze mwanamke anayeumwa au mzazi anayeuguliwa na mtoto......uone utakavyotukanwa

mwisho:

Sikutegemea mtu kama wewe utatoa mawazo ya kijinga na kipumbavu kama haya ambayo hata zuzu kikwete ameyakataa!! Yaani unatoa wazo mpaka mwislamu mwenzako anakuona mjinga!! What a shame!

grow up!! Nikiona unaendeleza ujinga huu na sumu hii, nitadeal na wewe nina hasira na wewe maana ni kingunge humu, unajua jf ilivyo na bado unaleta vi-element vya udini udini, tofauti yako wewe mtei na jusssa ni nini??

usirudie

hii hadithi wapelekee kindergarten labda ndo watakusikiliza na kukupa attention.
Mkandara hajazungumzia suala la kutukana wakiristo, au masister, au mapadre au bruda- mkandara kazungumzia suala la pesa za wananchi kutumika katika miradi ya taasisi binafsi za kidini zinazojiendesha kibiashara kupitia mgongo wa mou.

Serikali inashindwa kuboresha maslahi ya madaktari na vitendea kazi katika hospitali zake lakini inapata billioni kumi kila mwaka kugharimia miradi ya kanisa, hivi wewe huoni tatizo hapo?.

Mkandara yuko right, na wala hasimamii katika udini, anasimamia katika katiba ya nchi ambayo inatamka wazi kwamba serikali haitatumia resources za umma kupendelea kundi fulani juu ya lingine.

Najua wadini wengi wa kikristo linapokuja suala hili la mou, wanafunika kombe mwanaharamu apite, kwa maana wanajua ni tricky guarantee ya kumaintain agenda yao.

Serikali isiyo na kauli katika miradi inayoifinance maana yake ni kwamba inaweka mustakbali wa umma katika hisani ya taasisi za vikundi. Na maadamu serikali haijishughulishi kujenga vya kwake maana yake siku moja kanisa linaweza kuiangusha serikali kwa kuacha japo kwa muda fulani kutoa huduma kwa umma kwa visingizio vya matengenezo n.k, hali itakayofanya chaos itokee nchini na serikali kujikuta matatani. Hii inaweza kutokea at any time kanisa litakapoona serikali haitekelezi matakwa yake!. Sasa sidhani kwamba wananchi wa nchi hii wako tayari kuona serikali yao inakuwa blackmailed na taasisi za namna hii. Dawa ni serikali kutumia fungu hili inaloligawa kwa taasisi za kanisa na kujenga vya kwake.

Halafu kitu kingine, wacha kutisha tisha watu wewe, hapa ni uwaja wa hoja na mantiki siyo kupigishana mkwara, ukileta matusi au hoja zisizo na mshiko kama hadithi yako hapo juu wana JF watakudharau na utakosa attention utakayokuwa unaitafuta.
 
Lazima zittoo imuume kwani hata yeye nimjahidina. harafu mzee mtei ameona tume hiyo mbona mabalozi,wakuu wa mikoa,wakurugenzi,makatibu,majaji hasemi? ukweli ndo huo ila vilevile waislamu ni wengi tanzania kuliko wakristo kitakwimu ila kielimu wakristo wamesoma. fanya tafti hiyo waislamu waliopewa nafasi wakati wa mheshimiwa ni balaaaaaaaaaaaaaa!!
 
hii hadithi wapelekee kindergarten labda ndo watakusikiliza na kukupa attention.
Mkandara hajazungumzia suala la kutukana wakiristo, au masister, au mapadre au bruda- mkandara kazungumzia suala la pesa za wananchi kutumika katika miradi ya taasisi binafsi za kidini zinazojiendesha kibiashara kupitia mgongo wa mou.

Serikali inashindwa kuboresha maslahi ya madaktari na vitendea kazi katika hospitali zake lakini inapata billioni kumi kila mwaka kugharimia miradi ya kanisa, hivi wewe huoni tatizo hapo?.

Mkandara yuko right, na wala hasimamii katika udini, anasimamia katika katiba ya nchi ambayo inatamka wazi kwamba serikali haitatumia resources za umma kupendelea kundi fulani juu ya lingine.

Najua wadini wengi wa kikristo linapokuja suala hili la mou, wanafunika kombe mwanaharamu apite, kwa maana wanajua ni tricky guarantee ya kumaintain agenda yao.

Serikali isiyo na kauli katika miradi inayoifinance maana yake ni kwamba inaweka mustakbali wa umma katika hisani ya taasisi za vikundi. Na maadamu serikali haijishughulishi kujenga vya kwake maana yake siku moja kanisa linaweza kuiangusha serikali kwa kuacha japo kwa muda fulani kutoa huduma kwa umma kwa visingizio vya matengenezo n.k, hali itakayofanya chaos itokee nchini na serikali kujikuta matatani. Hii inaweza kutokea at any time kanisa litakapoona serikali haitekelezi matakwa yake!. Sasa sidhani kwamba wananchi wa nchi hii wako tayari kuona serikali yao inakuwa blackmailed na taasisi za namna hii. Dawa ni serikali kutumia fungu hili inaloligawa kwa taasisi za kanisa na kujenga vya kwake.

Halafu kitu kingine, wacha kutisha tisha watu wewe, hapa ni uwaja wa hoja na mantiki siyo kupigishana mkwara, ukileta matusi au hoja zisizo na mshiko kama hadithi yako hapo juu wana JF watakudharau na utakosa attention utakayokuwa unaitafuta.

Mkuu nashukuru kwa kuisoma hadithi ijapokuwa ni ya kindergarten! nimekuelewa na nipo pamoja nawe

swali ni MOU huwa inaingia wakati gani? wakati hospitali imejengwa au wakati inaanza operation?

do you know anything about PPP??
 
hii hadithi wapelekee kindergarten labda ndo watakusikiliza na kukupa attention.
Mkandara hajazungumzia suala la kutukana wakiristo, au masister, au mapadre au bruda- mkandara kazungumzia suala la pesa za wananchi kutumika katika miradi ya taasisi binafsi za kidini zinazojiendesha kibiashara kupitia mgongo wa mou.

Serikali inashindwa kuboresha maslahi ya madaktari na vitendea kazi katika hospitali zake lakini inapata billioni kumi kila mwaka kugharimia miradi ya kanisa, hivi wewe huoni tatizo hapo?.

Mkandara yuko right, na wala hasimamii katika udini, anasimamia katika katiba ya nchi ambayo inatamka wazi kwamba serikali haitatumia resources za umma kupendelea kundi fulani juu ya lingine.

Najua wadini wengi wa kikristo linapokuja suala hili la mou, wanafunika kombe mwanaharamu apite, kwa maana wanajua ni tricky guarantee ya kumaintain agenda yao.

Serikali isiyo na kauli katika miradi inayoifinance maana yake ni kwamba inaweka mustakbali wa umma katika hisani ya taasisi za vikundi. Na maadamu serikali haijishughulishi kujenga vya kwake maana yake siku moja kanisa linaweza kuiangusha serikali kwa kuacha japo kwa muda fulani kutoa huduma kwa umma kwa visingizio vya matengenezo n.k, hali itakayofanya chaos itokee nchini na serikali kujikuta matatani. Hii inaweza kutokea at any time kanisa litakapoona serikali haitekelezi matakwa yake!. Sasa sidhani kwamba wananchi wa nchi hii wako tayari kuona serikali yao inakuwa blackmailed na taasisi za namna hii. Dawa ni serikali kutumia fungu hili inaloligawa kwa taasisi za kanisa na kujenga vya kwake.

Halafu kitu kingine, wacha kutisha tisha watu wewe, hapa ni uwaja wa hoja na mantiki siyo kupigishana mkwara, ukileta matusi au hoja zisizo na mshiko kama hadithi yako hapo juu wana JF watakudharau na utakosa attention utakayokuwa unaitafuta.

Natumaini unapozungumzia wadini wa kikristu unazungumzia wakina Fundi Mchundo. Kwa hali hiyo, ngoja nikujibu, ewe mdini wa kiislamu:
  1. Hadithi ya Waberoya mahali pake si shule za vidudu bali humu humu kwenye wale wanaojiita Great Thinkers. Hadithi imeweka wazi kuwa tofauti na nyie ( wewe, Mkandara n.k.) ambavyo mngetaka kutuaminisha, ni waislamu wengi tu wanaofaidika na hizo huduma zinazotolewa na makanisa.
  2. Kwa hiyo serikali inapotoa agizo kuwa majengo yake yahakikishwe kuwa yanaweza kutumiwa na wenye ulemavu kwa kuwawekea lifti n.k. inavunja hiyo ibara ya katiba ambayo mnai-misinterpret kwa makusudi? Au inapoelekeza juhudi zake katika kuwapatia makabila yanayohamahama elimu na huduma basi nako ni kukiuuka hiyo ibara!
  3. Mnashindwa kutueleza kwa namna gani serikali kwa kuchangia (mnavyodai) juhudi za tiba na elimu zinazofanywa na maknisa ni upendeleo kwa wakristu. Hivi hizo shule na hospitali zinatibia wakristu peke yake? Au mnaona ni upendeleo kwa sababu tu hizo hospitali na shule ni za wakristu?
  4. Mnatuambia kuwa serikali inatoa Sh. bilioni 10 kwa mwaka kuhudumi shule hizi mkisahau kuwa ukarabati wa nyumba za mnaibu magavana wa BOT uligharimu takriban bilioni 5. Sasa bilioni kumi kwa jumuia yenye vyuo vikuu (Tumaini, St. Augustine, St. Joseph, n.k), mahospitali makubwa (Bugando, KCMC n.k.), shule za sekondari kibao (Loyola, St. Joseph, St. Marian n.k.), vijidispensari kibao nchi nzima zitafika wapi!
  5. Wakati mkilalamikia mnachoita upendeleo huo, mnasahau kuwa unahusu shule, hospitali n.k. ambazo jumuia hizi zilijenga, zikatekwa n serikali, zikaachwa ziharibika halafu zikarejeshwa zikiwa hoi bin taaban! Mnasahau kuwa wislamu mlipewa bure Chuo kilichojengwa na shirika la umma bila wengine kulalamika.
  6. Mkandara anulizia kwa nini Tambaza haikurudishwa kwa Aga Khan. Mbona hostel imerudishwa? Mbona Zanaki imerudishwa? Halafu umetembelea hivi karibuni hiyo Tambaza uone hali yake? Haujiulizi kuwa pengine Aga Khan aliweka masharti magumu ambayo serikali iliyashindwa kwa Tambaza. Haujiulizi mbona Azania, Kisutu na Jangwani hazijarejeshwa? Wakati huo huo mnasahau kuwa wakati St. Xavier inageuzwa Kibasila, St. Joseph inageuzwa Forodhani; Mzizima (Aga Khan), Shaaban Robert na Kinondoni Muslim ndio zilikuwa shule pekee za sekondari za private jijini Dar es Salaam. Yote hayo hamkuona kama upendeleo unaosigana na Katiba!
  7. Tutolee mfano mmoja duniani ambako mashirika ya kikristu yamekataa kutoa huduma kwa ajili ya kushinikiza serikali. Mmoja tu. Kuna nchi nyingi tu ambako mashirika haya yanafanya kazi katika mazingira magumu (wengine wameuawa kwa kuonekana wanapingana na serikali) lakini hawajakataa kutoa huduma maana wanaona huo ni wito kutoka kwa Mungu wao. Tuambie wakati wa mgomo wa madaktari wazalendo wenye uchungu na nchi, hospitali ngapi zinazoendeshwa jumla na wamisheni zilikataa kutoa huduma! Zilizojiunga katika upuuzi huo zilikuwa ni zile ambazo serikali ina hisa.
  8. Unasema dawa ni serikali kuchukua hizo bilioni 10 na kujenga hospitali, dispensari, shule na vyuo vyake. Hivi unadhani hospitali ngapi zinaweza kujengwa, kuwekewa vifaa na kuendeshwa kwa hizo bilioni 10?

Ukiondoa lugha aliyoitumia hapo mwisho, Waberoya amewaambia ukweli ambao hamtaki kuusikia. Kama huo si udini mnaojifanya kuupiga vita, basi sijui maana yake.

Amandla.......
 
hii hadithi wapelekee kindergarten labda ndo watakusikiliza na kukupa attention.
Mkandara hajazungumzia suala la kutukana wakiristo, au masister, au mapadre au bruda- mkandara kazungumzia suala la pesa za wananchi kutumika katika miradi ya taasisi binafsi za kidini zinazojiendesha kibiashara kupitia mgongo wa mou.

Serikali inashindwa kuboresha maslahi ya madaktari na vitendea kazi katika hospitali zake lakini inapata billioni kumi kila mwaka kugharimia miradi ya kanisa, hivi wewe huoni tatizo hapo?.

Mkandara yuko right, na wala hasimamii katika udini, anasimamia katika katiba ya nchi ambayo inatamka wazi kwamba serikali haitatumia resources za umma kupendelea kundi fulani juu ya lingine.

Najua wadini wengi wa kikristo linapokuja suala hili la mou, wanafunika kombe mwanaharamu apite, kwa maana wanajua ni tricky guarantee ya kumaintain agenda yao.

Serikali isiyo na kauli katika miradi inayoifinance maana yake ni kwamba inaweka mustakbali wa umma katika hisani ya taasisi za vikundi. Na maadamu serikali haijishughulishi kujenga vya kwake maana yake siku moja kanisa linaweza kuiangusha serikali kwa kuacha japo kwa muda fulani kutoa huduma kwa umma kwa visingizio vya matengenezo n.k, hali itakayofanya chaos itokee nchini na serikali kujikuta matatani. Hii inaweza kutokea at any time kanisa litakapoona serikali haitekelezi matakwa yake!. Sasa sidhani kwamba wananchi wa nchi hii wako tayari kuona serikali yao inakuwa blackmailed na taasisi za namna hii. Dawa ni serikali kutumia fungu hili inaloligawa kwa taasisi za kanisa na kujenga vya kwake.

Halafu kitu kingine, wacha kutisha tisha watu wewe, hapa ni uwaja wa hoja na mantiki siyo kupigishana mkwara, ukileta matusi au hoja zisizo na mshiko kama hadithi yako hapo juu wana JF watakudharau na utakosa attention utakayokuwa unaitafuta.

Punguza udini wako mkuu.Utakufa pressure bure!
 
Natumaini unapozungumzia wadini wa kikristu unazungumzia wakina Fundi Mchundo. Kwa hali hiyo, ngoja nikujibu, ewe mdini wa kiislamu:
  1. Hadithi ya Waberoya mahali pake si shule za vidudu bali humu humu kwenye wale wanaojiita Great Thinkers. Hadithi imeweka wazi kuwa tofauti na nyie ( wewe, Mkandara n.k.) ambavyo mngetaka kutuaminisha, ni waislamu wengi tu wanaofaidika na hizo huduma zinazotolewa na makanisa.
  2. Kwa hiyo serikali inapotoa agizo kuwa majengo yake yahakikishwe kuwa yanaweza kutumiwa na wenye ulemavu kwa kuwawekea lifti n.k. inavunja hiyo ibara ya katiba ambayo mnai-misinterpret kwa makusudi? Au inapoelekeza juhudi zake katika kuwapatia makabila yanayohamahama elimu na huduma basi nako ni kukiuuka hiyo ibara!
  3. Mnashindwa kutueleza kwa namna gani serikali kwa kuchangia (mnavyodai) juhudi za tiba na elimu zinazofanywa na maknisa ni upendeleo kwa wakristu. Hivi hizo shule na hospitali zinatibia wakristu peke yake? Au mnaona ni upendeleo kwa sababu tu hizo hospitali na shule ni za wakristu?
  4. Mnatuambia kuwa serikali inatoa Sh. bilioni 10 kwa mwaka kuhudumi shule hizi mkisahau kuwa ukarabati wa nyumba za mnaibu magavana wa BOT uligharimu takriban bilioni 5. Sasa bilioni kumi kwa jumuia yenye vyuo vikuu (Tumaini, St. Augustine, St. Joseph, n.k), mahospitali makubwa (Bugando, KCMC n.k.), shule za sekondari kibao (Loyola, St. Joseph, St. Marian n.k.), vijidispensari kibao nchi nzima zitafika wapi!
  5. Wakati mkilalamikia mnachoita upendeleo huo, mnasahau kuwa unahusu shule, hospitali n.k. ambazo jumuia hizi zilijenga, zikatekwa n serikali, zikaachwa ziharibika halafu zikarejeshwa zikiwa hoi bin taaban! Mnasahau kuwa wislamu mlipewa bure Chuo kilichojengwa na shirika la umma bila wengine kulalamika.
  6. Mkandara anulizia kwa nini Tambaza haikurudishwa kwa Aga Khan. Mbona hostel imerudishwa? Mbona Zanaki imerudishwa? Halafu umetembelea hivi karibuni hiyo Tambaza uone hali yake? Haujiulizi kuwa pengine Aga Khan aliweka masharti magumu ambayo serikali iliyashindwa kwa Tambaza. Haujiulizi mbona Azania, Kisutu na Jangwani hazijarejeshwa? Wakati huo huo mnasahau kuwa wakati St. Xavier inageuzwa Kibasila, St. Joseph inageuzwa Forodhani; Mzizima (Aga Khan), Shaaban Robert na Kinondoni Muslim ndio zilikuwa shule pekee za sekondari za private jijini Dar es Salaam. Yote hayo hamkuona kama upendeleo unaosigana na Katiba!
  7. Tutolee mfano mmoja duniani ambako mashirika ya kikristu yamekataa kutoa huduma kwa ajili ya kushinikiza serikali. Mmoja tu. Kuna nchi nyingi tu ambako mashirika haya yanafanya kazi katika mazingira magumu (wengine wameuawa kwa kuonekana wanapingana na serikali) lakini hawajakataa kutoa huduma maana wanaona huo ni wito kutoka kwa Mungu wao. Tuambie wakati wa mgomo wa madaktari wazalendo wenye uchungu na nchi, hospitali ngapi zinazoendeshwa jumla na wamisheni zilikataa kutoa huduma! Zilizojiunga katika upuuzi huo zilikuwa ni zile ambazo serikali ina hisa.
  8. Unasema dawa ni serikali kuchukua hizo bilioni 10 na kujenga hospitali, dispensari, shule na vyuo vyake. Hivi unadhani hospitali ngapi zinaweza kujengwa, kuwekewa vifaa na kuendeshwa kwa hizo bilioni 10?

Ukiondoa lugha aliyoitumia hapo mwisho, Waberoya amewaambia ukweli ambao hamtaki kuusikia. Kama huo si udini mnaojifanya kuupiga vita, basi sijui maana yake.

Amandla.......

Duh! Mkuu mimi mwalimu lakini wewe umenizidi

unajua nimeishakata tamaa ya kumuelewesha Mkandara & co

Kunavitu vinaandikwa humu ndani lakini reality yako is not tangible, tunaandika wishes na ndoto . Hili hali mchana kweupe hatuwezi hata kufunua midomo yetu kusema haya! hakika udini unapofusha sana

ukikuta mwislamu safi na mkristo safi huwa hawana ubaguzi kwa dini zingine, ndio maana leo hii tuna maprofessor waislamu waliosoma seminary, na kutibiwa hapo!

kila kona nchi hii hautasikia ubaguzi wa kidini kwenye hizi hospitali

NAAMINI ikitokea hospitali ya kiislamu ambayo ikawa kama Peramiho , n.k haiwezi kubagua watu wa dini nyingine unless that hospital does not believe in humanity!

Hospitali ya mbagala mission kwa mfano mgonjwa akizidiwa hawa masister wanatumia magari yao ( sio ambulance) kuwapeleka hospitali zingine!

Some work hard in these kind of places (hospitals) to keep people alive!! others discourage this idea!!

Nilikutana na mzee mmoja kisarawe siku za karibuni wakati naenda kukagua mambo fulani ya kiwanda cha explosive kisarawe...alilaumu sana sana KUWA WALIFANYA KOSA KUBWA SANA KUIKATAA HOSPITALI YA KCMC...ambayo historically ilitakiwa kujengwa kisarawe, ilikataliwa kwa misingi ya kidini!! mzee mtu mzima anasema kwa huzuni kuwa ngau siku hizi kuna barabara nzuri miaka ile ya tisini na 2000 mwanzoni walijuta kwa nini waliikataa ile hospitali kwa misingi ya kidini!! wabunge wa kipindi kile majina yao yapo na wanalaumiwa hata leo hii...siyo hospitali tu, kuna projects nyingi zilikataliwa kwa same reasons...kisarawe isingekuwa hivi ilivyo leo

Huwa najiuliza hivi watu wenye vi-element vya udini (either side) do they have time to make this world a better place??

Asante FM.
 
Mkuu Waberoya,
Hivi wangapi kati yetu ambao kabla ya ndugu yao kufanyiwa operesheni, tunadai tupewe majina ya wahusika wote ili tuhakikishe wahusika ni wa dini yetu?
Wangapi ambao tukivamiwa tunawauliza dini wale wote ambao wanajitokeza kutusaidia ili tumjue mbaya wetu mapema?
Wangapi watakaowatoa watoto kwenye shule ambayo ina walimu kutoka dini isio yake?
Wangapi watakaokataa kibarua kwa vile tu katika wafanyakazi wenzake wako wenye dini tofauti na yake?
Au hawatapanda ndege, bajaj, dala dala au teksi inayoendeshwa na mtu wa dini nyingine?
Au wakataa kula chakula hotelini hadi wajue dini ya wapishi na watoa huduma wote?

Udini ni upuuzi. Lakini kwa vile tumefikishwa hapa na wapuuzi hao basi inatubidi tuujadili kwa undani wake ili tuwaumbue wote wanaouleta.

Amandla.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom