Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Kauli ya Mtei ni pigo kwa Chadema na harakati zao za kupingana na udini...sasa itabidi tuanze kuangalia idara zote za Serikali kuwe na uwiano wa dini ili twende sawa.

Uende sawa na nani... Kumbuka mbwembwe zinaishia 2015. Lazima karandinga lipandwe...
 
katika tume hii JK amewapendelea wakristo Tanganyika kati ya wajumbe 15 wanne ndio waislam??

Mimi sihesabu wazenj kwasababu hakuna wakristo wazenj wanaolalamika meaning wamerizika au hawapo; au kama wapo ni wafagizi wa magofu ya makanisa hivyo si wataalamu..

Hapo kwenye red, Sio rahisi sana kufahamu kila anayelalamika anatoka upande gani wa nchi! watu wengi hawana majukwaa ya kutoa kauli zao! hivyo hatuwezi ku-rule out kuwa wakristo wazenj hawalalamiki maana hatuna namna ya kuratibu swala hili!
 
Mmenena! Lazima tuamue kama kama nchi, tuangalie jinsi sera za nchi yetu zinavyojali wataalam waliopo, tunavyoendesha vyuo pamoja na matumizi ya rasilimali fedha jinsi zinavyo tumika kuendeleza sayansi na siyo siasa.

Inauma leo korea warusha roketi kwenda wenzini wakati sisi hata chura wa kihanzi anapelekwa marekani kutunza kwa hela ya mtz. Sua tunawataalam, udsm tunao sasa nini kimebaki.
 
"Nikihesabu Waislamu katika hii Tume kwa kuzingatia majina naona zaidi ya theluthi mbili ni Wao. Wengine ni Wakristo au watu wasiokuwa na dini yoyote" HII NDIO KAULI YA BABU MTEI

jee nadni ya Chadema waislam wategemeee nini?
90 asilimia ya viongozi wakuu, wabunge na hata kamati zao ni wa dini ya kikiristo . jee mtei anakusudia nini?

Viongozi wakuu wa Chadema
Mwenyekiti: Mbowe (Mkiristo)
Katibu Mkuu: Dk slaa (Mkiristo)
Naibu katibu Mkuu: Zitto
Mweka hazina : Kom (Mkiristo)


Wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA ambao majina yao yamepitishwa na mikoa wanayotoka kwenye mabano ni pamoja na Lucy Owenya (Kilimanjaro), Esther Matiko (Mara) Mhonga Luhanywa (Kigoma), Anna Mallac (Katavi), Paulina Gekul (Manyara) na Conchesta Rwalumulaza (Kagera).

Wengine ni Suzan Kiwanga (Morogoro), Grace Kiwelu (Kilimanjaro), Suzan Lyimo (Kilimanjaro), Regia Mtema (Morogoro), Christowaja Mtinda (Singida), Anna Komu (Dar es Salaam), Mwanamrisho Abama (Zanzibar), Joyce Mukya (Arusha), Leticia Mageni Nyerere (Mwanza) na Naomi Kaihula (Dar es Salaam).

Majina mengine ya wateule hao ni Chiku Abwao (Iringa), Rose Kamili (Manyara), Christina Lissu (Singida), Raya Ibrahim Khamis (Zanzibar), Philipa Mturano ((Dar es Salaam), Mariam Msabaha (Zanzibar) na Rachel Mashishanga (Dar es Salaam).


Wabunge wa Majimbo
Wakiristo ni asilimia 96
Viongozi wa jumua zake zote chadema asiliamia 96 ni wakiristo. jee waislam waikatae chadema?


[TD="class: table2"][/TD]

kwanza unachanganya issues, mtei is private citizen na pia anayo haki ya kutoa mawazo yake kama raia pamoja na kwamba ni mmoja wa waanzilishi wengi wa chadema maneno yake siyo maneno ya chadema na wala yeye si msemaji wa chadema nafikiri msemaji wa chadema bw.mnyika alishatoa kauli ya chama kuhusu hilo.

ktk listi yako umeacha viongozi kibao naogopa kukuita kama ni mdini au vipi?

umeacha watu hawa kwenye listi yako na wote uliowaacha ni waislamu.

m-kiti wa chadema taifa amezungukwa na makamu mwenyekiti wawili wote ni waislamu.
makamu m-kiti wa kwanza saidi arifi
makamu m-kiti wa pili mzanzibar (sikumbuki jina lake)

katibu mkuu wa chadema amezungukwa na naibu katibu mkuu wote waislamu
naibu katibu wa kwanza bw. ahmed yusuf
naibu katibu wa pili bw.zitto kabwe ( umemtaja)
kuhusu swala la wabunge ni kura za watu ndio zinazoamua majomboni dini ya mtu has nothing do with that.
na hili pia katika viti maalum ambao nao pia kura ndio zilizoamua kwahiyo huwezi kuchaguliwa kuwa kwa sababu
ya dini yako. nafasi zote hizo asilimia kubwa ya watu wanachaguliwa hawateuliwi kwa kura.
jitahidi next time kuwa fair na uwahukumu chadema kwa mambo/vitendo vyao vinaathiri uislamu na siyo kwa
kauli za watu wengine. i hope kesho mtei akifumaniwa hautadai kuwa chadema imefumaniwa ?
 
kwa hivyo arusha hakuna waislam? Moshi jee. Au mpaka 99 asilimia ya wakazi wawe waislam?

Kunguru Mweusi,

..Moshi, na Arusha, wapo Waislamu lakini kwa uchache.

..napenda kuamini kwamba Waislamu wa maeneo hayo labda hawajatafuta uongozi ndani ya CDM, ndiyo maana hatuwaoni.

..Chadema tayari wana mbunge Muislamu ktk mkoa wa Arusha, Mustafa Akoonay, mbunge wa Mbulu, jimbo lenye historia kubwa sana ya Ukatoliki.
 
Mkuu Ben, Salaam!!
Amini usiamini, huku mtaani udini wa kipuuzi kama huu wa JF mtaani haupo na kama ungekuwepo basi nchi hii isingekalika! Udini Tanzania upo miongoni mwa wasomi lakini si watu wa kawaida!! Kama udini mitaani upo basi ni mitaa ile ile ya class ilibarikiwa....mitaa ya wasomi na wenye neema! Huku uswahilini, ni ngumu sana kukuta suala la udini kama huu wa JF!!

Mkuu wangu kwa kweli hata mie uwa nashangaa sana mitaani kwetu tunaishi kwa amani hakuna udini wowote humu JF sijui kwa nini hatupendani...mie binafsi marafiki zangu wengi ni Wakiristo kuliko Waislam, na juzi wamenialika pasaka..
 
Tatizo la waislamu huwa hampendi kusomesha alafu mnataka post za juu eboo!!! Yani wenzenu wakristo wanahangaika kusomesha watoto wao shule bora za seminary alafu nyie ndio kwanza hamna habari kazi kutwa nzima kucheza midundiko, kupiga stor kwenye kahawa, kusali swala tano mpaka siku nzima inaisha hivi kwa kusali 2. Alafu eventually mnategemea mpewe post kubwa na wakati mmespecialize quran (korani)? Hilo swala haliwezekani labda muende makka ndo mtaajiliwa kizembe hivyo, alafu jiulizeni swali hivi ni kwanini nyie ndo kila siku mnalalama na wakati uongozi wote wa juu mmejipa nyie wazee wa nyota na mwezi?

Naona umeamua kujamba!
 
Kunguru Mweusi,

..Moshi, na Arusha, wapo Waislamu lakini kwa uchache.

..napenda kuamini kwamba Waislamu wa maeneo hayo labda hawajatafuta uongozi ndani ya CDM, ndiyo maana hatuwaoni.

..Chadema tayari wana mbunge Muislamu ktk mkoa wa Arusha, Mustafa Akoonay, mbunge wa Mbulu, jimbo lenye historia kubwa sana ya Ukatoliki.

I KWA 100. na huyo jamaa hata simsikii ndani ya Chadema, yaani ni figure kama Safari na Arfi. zito ni jitihada zake mwenyewe
 
Waislamu wana ubinafsi sana.Hayo majina yangekuwa vice versa tusingelala kwa maandamano na mihadhara.Washukuru wakristo wa Tz ni wapole sana na wana hekima.
Aliyosema Mtei ni kweli kabisa.
Lakn hata wakiweka wajumbe wote wawe waislamu....Mungu wa Ibrahimu ,Isaka na Yakobo huwa anajitetea na anatetea watu wake.Hakuna lolote watakalofanya kinyume na mpango wa Mungu.

NB:KILA GOTI LITAPIGWA KWA JINA LA YESU NA KILA ULIMI UTAKIRI KUWA YESU NI BWANA....
 
Mawazo kweli kabisa tatizo linakuwa ikifika kuingilia CUF utakuwa very different;

Hapo ndipo mnapoficha ajenda zenu hadi Mungu anaumbua kama alivyofanya kwa Mzee Mtei;

Mtei ni mdini na mkabila wa kuogopwa Tanzania; ikulu si kanisani

Topical,

..hebu na wewe uonyeshe basi kwamba u r better than Mtei unayemlaani.

..hivi kweli unatafakari unachoandika?

..unamlaumu Mtei lakini mabandiko yako yamesheheni ubaguzi na udini kuliko hata huo wa Mtei.
 
Waislamu wana ubinafsi sana.Hayo majina yangekuwa vice versa tusingelala kwa maandamano na mihadhara.Washukuru wakristo wa Tz ni wapole sana na wana hekima.
Aliyosema Mtei ni kweli kabisa.

si wakiristo wamemtuma Mtei kwa niaba ya Chadema?
 
Topical,

..hebu na wewe uonyeshe basi kwamba u r better than Mtei unayemlaani.

..hivi kweli unatafakari unachoandika?

..unamlaumu Mtei lakini mabandiko yako yamesheheni ubaguzi na udini kuliko hata huo wa Mtei.
hivi waislam hawana subira? kama hawana subira nadhani pale NACTA na ofisi nyengine nyingi kungalikuwa hakutoshi sasa
 
si wakiristo wamemtuma Mtei kwa niaba ya Chadema?

Mwacheni baba wa watu.Mtei kaongea kwa maoni yake kama mkristo na sio kutumwa na wakristo.
Waislamu wanatamani hii nchi ingekuwa ya kwao peke yao.wanaweza fanya lolote hata majambia kuhakikisha wapo peke yao.sijui ndo wanafundishwa hivo au ni nini????nashangaa
 
I KWA 100. na huyo jamaa hata simsikii ndani ya Chadema, yaani ni figure kama Safari na Arfi. zito ni jitihada zake mwenyewe

Kunguru Mweusi,

..binafsi nadhani it is a good start.

..labda huifahamu wilaya ya Mbulu, lakini it was a bold move kwa CDM kumsimamisha Muislamu huko.

..mimi naamini hata hao wengine wakiwa na "juhudi" kama alizonazo Zitto basi tutaanza kuwasikia ndani ya CDM.

..kuhusu Mzee Arfi huyu anaheshimika sana ndani ya CDM na ndiye Makamu Mwenyekiti wao.
 
Du mm nilisikia vifaranga, kumbe panya tena! au mkuu umechanganya na Col Ghadaff?
 
Mwacheni baba wa watu.Mtei kaongea kwa maoni yake kama mkristo na sio kutumwa na wakristo.
Waislamu wanatamani hii nchi ingekuwa ya kwao peke yao.wanaweza fanya lolote hata majambia kuhakikisha wapo peke yao.sijui ndo wanafundishwa hivo au ni nini????nashangaa
hahaha, Mtei kaagizwa kutoa kauli kupitia kanisa, ndio maana hata wahariri wameambiwa kauli ile waifiche wasiitoe kama walivyoitoa ya Jussa
 
Kunguru Mweusi,

..binafsi nadhani it is a good start.

..labda huifahamu wilaya ya Mbulu, lakini it was a bold move kwa CDM kumsimamisha Muislamu huko.

..mimi naamini hata hao wengine wakiwa na "juhudi" kama alizonazo Zitto basi tutaanza kuwasikia ndani ya CDM.

..kuhusu Mzee Arfi huyu anaheshimika sana ndani ya CDM na ndiye Makamu Mwenyekiti wao.

lkn hujui kama Chadema imeanzishwa na waislam? lkn sasa wanaonekana ni vifuta jasho? wakiristo wameidakia tu chadema kati kati?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom