Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Mbunge
wa Kigoma Kaskazini-CDM amesema Mzee Edwin Mtei amefilisika kimawazo
kwa kauli yake kwamba tume ya Katiba ina Waislam wengi kuliko wakristo.
Source:JAMBO LEO.

Siamini kuwa Zitto anaweza kuwa hana akili kiasi hiki...!
Hilo gazeti haliaminiki.
 
We ni muongo tena wa kupindukia!
Lipumba amekemea tena live kwenye mkutano kule UNGUJA na amesema anayetaka kuwagawa watanzania kwa misingi ya kimaeneo na kikanda ALAANIWE.
Kuhusu Zitto ana haki kufanya hivyo maana mzee MTEI anawakilisha chama na kumuacha bila kumjibu ni kukiharibu chama.
UMEELEWA?
Nenda mzalendo.net utakuta hiyo hotuba yote.

dah! Atilist kidogo leo umejibu kwa hoja kuliko siku nyingine huwa unajibu kama mvuta bangi.
Hongera mkuu lakini hili jamaa la kigoma kask (kabwela) mimi huwa nalishngaa sana kwani ni libishi sana but w bado unaliunga mkono 2 na sijui kwanini CDM bado wanalilea kama toto changa.
 
Mimi nadhani wamwagope Mtei kama wanataka na sio CHADEMA.
 
Muislam asiyefahamu chadema ni wakristo anatumika...kama toilet paper
 
Mkuu huogopi kupigwa Ban? Maana utaambiwa we ndo mdini na unaleta siasa chafu JF.Halafu pamoja na kuwa uliyosema ni 100% sawa lakn subiri uone matusi yatakavyoporomoshwa na wadini original waliomo humu JF. Kwa kauli ya Mtei basi imedhihirika 100% CDM ni wadini na waislam itabidi kuiogopa CDM.
 
Wote mnaojadili dini humu nadhani mtakuwa mmekunywa gongo,MTEI ANA HAKI KUTOA MAONI BINAFSI.so mkapa alivyoita watu wa arusha panya ni kauli ya ccm
 
Kama ni kweli hii kauli ni ya Zito Zuberi Kabwe, Basi huyu kijana hana tofauti na Lusinde. Mzazi akikosea, huhitajiki kumtukana, unahitaji kutumia busara zaidi. Tukumbuke Uhuru wa maoni kwa wote. Zitto kama ni kweli Omba msamaha, utatupoteza wengi ambao tulikuwa followers.
 
Kauli ya Mtei ni pigo kwa Chadema na harakati zao za kupingana na udini...sasa itabidi tuanze kuangalia idara zote za Serikali kuwe na uwiano wa dini ili twende sawa.
 
Jamani hivi kusema ukweli ni udini? kwani ni uongo kuwa kwenye ile tume waislam ni wengi kuliko wakristo? Kosa la Mtei ni lipi?. Nani anaweza kusema Mtei ni Muongo?
 
We ni muongo tena wa kupindukia!
Lipumba amekemea tena live kwenye mkutano kule UNGUJA na amesema anayetaka kuwagawa watanzania kwa misingi ya kimaeneo na kikanda ALAANIWE.
Kuhusu Zitto ana haki kufanya hivyo maana mzee MTEI anawakilisha chama na kumuacha bila kumjibu ni kukiharibu chama.
UMEELEWA?
Nenda mzalendo.net utakuta hiyo hotuba yote.

Kidini je, alizungumzia? Ndilo swali la jamaa kwa ZITTO.
 
..ukweli ni kwamba CDM imeanzia maeneo ambayo Wakristo ni pre-dominant.

..CDM watakapoweza kuenea mpaka maeneo kama Tanga,Mtwara,Lindi,Tabora, bila shaka tutaanza kuona Waislamu ktk safu mbalimbali ndani ya CDM.
 
..ukweli ni kwamba cdm imeanzia maeneo ambayo wakristo ni pre-dominant.

..cdm watakapoweza kuenea mpaka maeneo kama tanga,mtwara,lindi,tabora, bila shaka tutaanza kuona waislamu ktk safu mbalimbali ndani ya cdm.
kwa hivyo arusha hakuna waislam? Moshi jee. Au mpaka 99 asilimia ya wakazi wawe waislam?
 
Mkuu mleta mada nadhani hapa unachanganya hoja! Viongozi wa vyama vya siasa pamoja na wabunge wanagombea na kuchaguliwa kwa njia ya ushindani na sifa zao; ili mtu achaguliwe kwanza lazima awe mwanachama, aombe nafasi hiyo na awe na sifa. Sasa katika hoja yako Muislam au mkristo hawezi kuwa kiongozi au mbunge kama hajaomba nafasi hiyo na kukidhi mahitaji. Kwa CHADEMA hatuwezi kuwalaumu kwa safu ya uongozi au idadi ya wabunge wakristo pasipo sisi kujiuliza je wasio wakristo waliomba nafasi hizo, na kama waliomba walikuwa na sifa, n.k. Tofauti yake na swala la tume ya katiba ni kwamba hawa wameteuliwa; hivyo mteuzi alikuwa na nafasi ya kuzingatia vigezo kama vya uwiano wa kidini endapo angeona inafaa!
 
kazi ipo Tz...... ila kuna dalili za udini kweli yatubidi CDM tubadilike
 
Mkuu upo sahihi!
Tatizo limekuja kutokea baada ya baadhi ya watu kama Mzee MTEI kuona maslah binafsi yake hayatotimizwa! Hili ni tatizo kwa kuwa sisi tunaangalia maslah ya TANZANIA sio ya mtu binafsi.

vu.ba.bu kama huvu bora vukae vule pension zao.vudini kwelikweli we fikiria k.i.babu cha miaka zaid ya 70 anachangia nini ktk mchakato wa katiba ya miaka 50 ijayo?.bahat mbaya anakuja na pointless .inasikitisha sana wakuu.
 
..ukweli ni kwamba CDM imeanzia maeneo ambayo Wakristo ni pre-dominant.

..CDM watakapoweza kuenea mpaka maeneo kama Tanga,Mtwara,Lindi,Tabora, bila shaka tutaanza kuona Waislamu ktk safu mbalimbali ndani ya CDM.

Mawazo kweli kabisa tatizo linakuwa ikifika kuingilia CUF utakuwa very different;

Hapo ndipo mnapoficha ajenda zenu hadi Mungu anaumbua kama alivyofanya kwa Mzee Mtei;

Mtei ni mdini na mkabila wa kuogopwa Tanzania; ikulu si kanisani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom