Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

hivi waislam hawana subira? kama hawana subira nadhani pale NACTA na ofisi nyengine nyingi kungalikuwa hakutoshi sasa

Kunguru Mweusi,

..nakubaliana na wewe kwamba Waislamu ni watu wenye staha na subira.

..Topical ukimsoma mabandiko yake yamejaa ubaguzi na udini tu.

..mimi naamini angeweza kabisa kuwasilisha madai yake bila kujitumbukiza kwenye ubaguzi wa waziwazi.
 
Mwacheni baba wa watu.Mtei kaongea kwa maoni yake kama mkristo na sio kutumwa na wakristo.
Waislamu wanatamani hii nchi ingekuwa ya kwao peke yao.wanaweza fanya lolote hata majambia kuhakikisha wapo peke yao.sijui ndo wanafundishwa hivo au ni nini????nashangaa

Kwa nini aachwe? Baba gani asiye kuwa na busara? Yeye ni baba kwa Mbowe na kwake lakini hapa ni ka vulana.
 
lkn hujui kama Chadema imeanzishwa na waislam? lkn sasa wanaonekana ni vifuta jasho? wakiristo wameidakia tu chadema kati kati?

Kunguru Mweusi,

..that is even better.

..shime Waislamu wajiunge na CDM kwasababu walishiriki kukianzisha.
 
Maneno kuhusu mtei kafilisika kimawazo kayaandika Zitto kwenye twitter yake.na sisi waislamu tutaanza kuuliza kwanini baraza la mawaziri, wakurugenzi wakuu mashirika ya umma,makatibu wakuu,wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa halmashauri za miji 85% ni wakiristo.hakuna waislamu wenye elimu na uwezo wa kuongoza.huu ni udini mkubwa sana mnauleta.na hata tukipata waziri au mkurugenzi mmoja wa kiislamu basi vijimaneno haviishi.MTAKUFA NA VIJIBA VYA ROHO MBAYA.
 
hivi waislam hawana subira? kama hawana subira nadhani pale NACTA na ofisi nyengine nyingi kungalikuwa hakutoshi sasa

Ajira haitolewi kwa kuangalia dini ya mtu bali taaluma yake. Kwa mantinki hiyo ulichokisema hakihusiani na kinachojadiliwa hapa!
 
hahaha. sasa kimeshikwa na kanisa. waislam hawana nafasi.

Kunguru Mweusi,

..kingekuwa kimeshikwa na kanisa wasingemsimamisha Mustafa Akoonay kule Mbulu tena dhidi ya Philip Marmo[mkristo].

..msiwakatishe tamaa Waislamu ktk kushiriki harakati za ukombozi zinazoongozwa na CDM.
 
Ajira haitolewi kwa kuangalia dini ya mtu bali taaluma yake. Kwa mantinki hiyo ulichokisema hakihusiani na kinachojadiliwa hapa!

hahah. usipoteze malengo. wakiristo mkipewa nafasi mnabeba ndugu zenu kwa kutumia udini. licha ya waislam wengi kusoma lkn wanajikuta wanakuwa madereva tu.ndio maana ukiona muislam kapenya kwenywe katume basi mnalalmika sana tu
 
Kunguru Mweusi,

..kingekuwa kimeshikwa na kanisa wasingemsimamisha Mustafa Akoonay kule Mbulu tena dhidi ya Philip Marmo[mkristo].

..msiwakatishe tamaa Waislamu ktk kushiriki harakati za ukombozi zinazoongozwa na CDM.
hujui siasa mkuu, unajarabu kutka kuonyesha tu. lkn 98 asilimia ya viongozi na wabunge wa CDM ni wakiristo ndio maana wanatetewa na makanisa. maneno ya mtei yanaukweli 100
 
Mleta mada umesema kitu cha maana sana, tatizo ni kwamba serikali yetu haina upeo wa kuelewa umuhimu wa maabara za kisayansi. Serikali yetu haiko kwa ajili ya kuwekeza, iko kwa ajili ya mahitaji ya leo na sio kesho!!! ndio maana inaona wanasiasa ni wa maana sana kuliko wataalamu!!
 
hujui siasa mkuu, unajarabu kutka kuonyesha tu. lkn 98 asilimia ya viongozi na wabunge wa CDM ni wakiristo ndio maana wanatetewa na makanisa. maneno ya mtei yanaukweli 100

Kunguru Mweusi,

..asilimia 99% ya wenyeji wa Mbulu ni Wakristo, lakini CDM walikuwa na ujasiri kumsimamisha Muislamu Mustafa Akoonay kwa nafasi ya ubunge na ushindi ukapatikana.

..pia kama ulivyosema CDM imeanzishwa na Waislamu, hivyo hakuna sababu ya Waislamu kutokushiriki kwa moyo mmoja ktk kuieneza CDM na kuleta ukombozi nchi nzima.

..lakini mimi nadhani wananchopaswa kufanya CDM ni kuonyesha mfano kwa kupeleka maendeleo ya kweli ktk majimbo wanayoyashikilia sasa hivi. baada ya hapo itakuwa rahisi sana kuwashawishi maeneo mengine wawaunge mkono.
 
hahah. usipoteze malengo. wakiristo mkipewa nafasi mnabeba ndugu zenu kwa kutumia udini. licha ya waislam wengi kusoma lkn wanajikuta wanakuwa madereva tu.ndio maana ukiona muislam kapenya kwenywe katume basi mnalalmika sana tu

Maneno mazito sana haya mkuu wangu.
 
Mods, naona wamejichanganya hii thread wameipeleka jukwaa la Celebrities.
 
Maneno kuhusu mtei kafilisika kimawazo kayaandika Zitto kwenye twitter yake.na sisi waislamu tutaanza kuuliza kwanini baraza la mawaziri, wakurugenzi wakuu mashirika ya umma,makatibu wakuu,wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa halmashauri za miji 85% ni wakiristo.hakuna waislamu wenye elimu na uwezo wa kuongoza.huu ni udini mkubwa sana mnauleta.na hata tukipata waziri au mkurugenzi mmoja wa kiislamu basi vijimaneno haviishi.MTAKUFA NA VIJIBA VYA ROHO MBAYA.

Matola, hii post ilikuwa jukwaa gani?
 
Kama kweli mzee Mtei katamka hivyo, nina muunga mkono na miguu Zitto kwamba ni kweli kabisa Mtei kaishiwa mawazo kabisa aka mufilisi.

Matola, na hii post ina uhusiano gani na kifo cha Kanumba?
 
Matola, na hii post ina uhusiano gani na kifo cha Kanumba?
Kama shida yako ni jukwaa la siasa usipate tabu wewe toka humu rudi kule jukwaa la siasa kuna thread nyingi tu za kuchangia au kapumzike Facebook usiku umeshaingia huu!!
 
Mzee Mtei alishatoka kwenye 'Executive' ya CDM siku nyingi sana.
Vilevile, kama raia yeyote anavyoweza kutoa mawazo yake, ndo kama mzee mtei alivyofanya.
Tutambue kuwa, maneno hayo hakuyasema kwenye majukwaa ya siasa ya cdm.
Lakini hule u.pu.uzi alioongea mzee mkapa ni kauli ya ccm kwani aliongea kwenye jukwaa la siasa la ccm.
Au hivi leo, kutwa kucha JK yupo misibana au kwenye matamasha, lkn kwenye critical issuez za inchi anaingia mitini, hii ni personal ishu ya kwake, na si ilani ya ccm kulala misibani.
Kwa hiyo mzee mtei yupo sahihi, kwani hayo ni mawazo yake binafsi, kama raia.

Matola, siyo kila kitu kubishana ninachokuambia mods wamejichanganya hii thread yako na thread ya Mtei inakuwa ngumu mtu kuchangia...haya bana ngoja mie niondoke nifuate ushauri wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom