Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Mkuu mleta mada nadhani hapa unachanganya hoja! Viongozi wa vyama vya siasa pamoja na wabunge wanagombea na kuchaguliwa kwa njia ya ushindani na sifa zao; ili mtu achaguliwe kwanza lazima awe mwanachama, aombe nafasi hiyo na awe na sifa. Sasa katika hoja yako Muislam au mkristo hawezi kuwa kiongozi au mbunge kama hajaomba nafasi hiyo na kukidhi mahitaji. Kwa CHADEMA hatuwezi kuwalaumu kwa safu ya uongozi au idadi ya wabunge wakristo pasipo sisi kujiuliza je wasio wakristo waliomba nafasi hizo, na kama waliomba walikuwa na sifa, n.k. Tofauti yake na swala la tume ya katiba ni kwamba hawa wameteuliwa; hivyo mteuzi alikuwa na nafasi ya kuzingatia vigezo kama vya uwiano wa kidini endapo angeona inafaa!

kwanini Chadema haikumpeleka Abdalla safari?
 
We hujui kusoma? Hiyo list hapo juu hujaiona ilivyokusanya kanisa na madhabahu yake?

kusoma ninajua, list nimeiona, je wewe unajua kusoma title yako uliyoandika? Nimejibu kama ilivyo title yako.
 
Kauli ya Mtei ni pigo kwa Chadema na harakati zao za kupingana na udini...sasa itabidi tuanze kuangalia idara zote za Serikali kuwe na uwiano wa dini ili twende sawa.

Sioni ni kwa namna gani maoni ya mtu binafsi yanaweza kuwa pigo kwa chama!! hatahivyo, ukweli utabaki kuwa ukweli katika kauli yake.
 
Mkapa ni mwenyekiti mstaafu na ccm ilimtuma kuzindua kampeni,kushindwa kwa ccm arumeru mashariki ni dhambi ya mkapa akizungumza kwa niaba ya ccm kuwa 'chadema' ni panya bila kujua ukitaja cdm umewataja raia wote.Baada ya kauli hiyo iloenea kwa kasi mkoa wote wa arusha ndio maana watu wameichukia ccm na kufikia hatua ya watu kudai kuwa kwa context iyo hata cdm wakiweka 'PANYA' watatoa kura kwani kauli ya ccm imewaudhi.mytake KAULI YA MKAPA NI KAULI YA CHAMA CHA MAGAMBA,IMETUUMA SANA WATU WA ARUSHA ndo maana huwa tunaamini kuwa 'WHATEVER IS EXCELLENT'
 
Tatizo la waislamu huwa hampendi kusomesha alafu mnataka post za juu eboo!!! Yani wenzenu wakristo wanahangaika kusomesha watoto wao shule bora za seminary alafu nyie ndio kwanza hamna habari kazi kutwa nzima kucheza midundiko, kupiga stor kwenye kahawa, kusali swala tano mpaka siku nzima inaisha hivi kwa kusali 2. Alafu eventually mnategemea mpewe post kubwa na wakati mmespecialize quran (korani)? Hilo swala haliwezekani labda muende makka ndo mtaajiliwa kizembe hivyo, alafu jiulizeni swali hivi ni kwanini nyie ndo kila siku mnalalama na wakati uongozi wote wa juu mmejipa nyie wazee wa nyota na mwezi?
 
Mkuu mleta mada nadhani hapa unachanganya hoja! Viongozi wa vyama vya siasa pamoja na wabunge wanagombea na kuchaguliwa kwa njia ya ushindani na sifa zao; ili mtu achaguliwe kwanza lazima awe mwanachama, aombe nafasi hiyo na awe na sifa. Sasa katika hoja yako Muislam au mkristo hawezi kuwa kiongozi au mbunge kama hajaomba nafasi hiyo na kukidhi mahitaji. Kwa CHADEMA hatuwezi kuwalaumu kwa safu ya uongozi au idadi ya wabunge wakristo pasipo sisi kujiuliza je wasio wakristo waliomba nafasi hizo, na kama waliomba walikuwa na sifa, n.k. Tofauti yake na swala la tume ya katiba ni kwamba hawa wameteuliwa; hivyo mteuzi alikuwa na nafasi ya kuzingatia vigezo kama vya uwiano wa kidini endapo angeona inafaa!

katika tume hii JK amewapendelea wakristo Tanganyika kati ya wajumbe 15 wanne ndio waislam??

Mimi sihesabu wazenj kwasababu hakuna wakristo wazenj wanaolalamika meaning wamerizika au hawapo; au kama wapo ni wafagizi wa magofu ya makanisa hivyo si wataalamu..
 
wana jf mtei kwa mawazo yake,naunga mkono hauhitaji phd kujua kuna idadi ngapi ya waislam and wakiristo
 
Mzee mtei ametoa mawazo yake na Mhe.Zitto ametoa mawazo yake.WaTZ ni lini tutaacha kuwajadili watu badala ya maswala? mawazo yao yaheshimiwe tusubiri tamko la chama.Chama kama taasisi si Mtei na si Zitto.Hapa hakuna matusi kama ya akina Lusinde,.ni maswala sensitive ambayo pengine hatuwezi kuyakwepa ktk mchakato wa kuandika katiba mpya.Tusiwe wanafiki,tuite panga,panga tusikwepekwepe kuyatoa yaliyo mioyoni mwetu,ni hapo tu ndipo tunaweza kupata mwafaka wa kitaifa bila kuwa na manung'uniko.
 
Huyu mzee ni mdini mkubwa na tumsamehe bure
Anazeeka vibaya kama akina Mkapa...................
 
Mzee Mtei alishatoka kwenye 'Executive' ya CDM siku nyingi sana.
Vilevile, kama raia yeyote anavyoweza kutoa mawazo yake, ndo kama mzee mtei alivyofanya.
Tutambue kuwa, maneno hayo hakuyasema kwenye majukwaa ya siasa ya cdm.
Lakini hule u.pu.uzi alioongea mzee mkapa ni kauli ya ccm kwani aliongea kwenye jukwaa la siasa la ccm.
Au hivi leo, kutwa kucha JK yupo misibana au kwenye matamasha, lkn kwenye critical issuez za inchi anaingia mitini, hii ni personal ishu ya kwake, na si ilani ya ccm kulala misibani.
Kwa hiyo mzee mtei yupo sahihi, kwani hayo ni mawazo yake binafsi, kama raia.
 
..tumewekeza sana kwenye mashindano ya uzuri na mambo mengine yasiyo na maana.

..nakuunga mkono ni lazima tujirudi na kuwekeza kwenye SAYANSI,TEKNOLOJIA,na MAHESABU.
 
kwanini Chadema haikumpeleka Abdalla safari?


Hakuna mwenye uhakika, CHADEMA walipeleka majina mangapi! huenda huyo unayemtaja alikuwa mmoja wa waliopendekezwa na chama, lakini hakuteuliwa kutokana na sababu za mteuzi. Siamini kwamba CHADEMA walipeleka jina moja tu!
 
Nadhani ZITTO kasema ukweli wake, uasisi sidhani kama ni rungu la kuwanyima watu uhuru wa kutoa maoni
Ngoja wakikutana wakati Mzee Mtei yuko kwenye kiti chake cha mwenyekiti wa wazee wa CDM ndipo atakapojua kama Mzee amefilisika kimawazo ama ala.
 
Tatizo la waislamu huwa hampendi kusomesha alafu mnataka post za juu eboo!!! Yani wenzenu wakristo wanahangaika kusomesha watoto wao shule bora za seminary alafu nyie ndio kwanza hamna habari kazi kutwa nzima kucheza midundiko, kupiga stor kwenye kahawa, kusali swala tano mpaka siku nzima inaisha hivi kwa kusali 2. Alafu eventually mnategemea mpewe post kubwa na wakati mmespecialize quran (korani)? Hilo swala haliwezekani labda muende makka ndo mtaajiliwa kizembe hivyo, alafu jiulizeni swali hivi ni kwanini nyie ndo kila siku mnalalama na wakati uongozi wote wa juu mmejipa nyie wazee wa nyota na mwezi?
kwa bahati nzuri. kikwete amewateua wasomi wa kiislam. lkn Chadema imejitia nongwa
 
Kama ni kweli hii kauli ni ya Zito Zuberi Kabwe, Basi huyu kijana hana tofauti na Lusinde. Mzazi akikosea, huhitajiki kumtukana, unahitaji kutumia busara zaidi. Tukumbuke Uhuru wa maoni kwa wote. Zitto kama ni kweli Omba msamaha, utatupoteza wengi ambao tulikuwa followers.
kwa hiyo uhuru wa kutoa maoni anao Mtei peke yake, Zitto akitoa maoni yake basi aombe msamaha!!
 
Mzee Mtei alishatoka kwenye 'Executive' ya CDM siku nyingi sana.
Vilevile, kama raia yeyote anavyoweza kutoa mawazo yake, ndo kama mzee mtei alivyofanya.
Tutambue kuwa, maneno hayo hakuyasema kwenye majukwaa ya siasa ya cdm.
Lakini hule u.pu.uzi alioongea mzee mkapa ni kauli ya ccm kwani aliongea kwenye jukwaa la siasa la ccm.
Au hivi leo, kutwa kucha JK yupo misibana au kwenye matamasha, lkn kwenye critical issuez za inchi anaingia mitini, hii ni personal ishu ya kwake, na si ilani ya ccm kulala misibani.
Kwa hiyo mzee mtei yupo sahihi, kwani hayo ni mawazo yake binafsi, kama raia.

Kwa hali hii chadema inapokea maagzizo ya kanisa
 
katika tume hii JK amewapendelea wakristo Tanganyika kati ya wajumbe 15 wanne ndio waislam??

Mimi sihesabu wazenj kwasababu hakuna wakristo wazenj wanaolalamika meaning wamerizika au hawapo; au kama wapo ni wafagizi wa magofu ya makanisa hivyo si wataalamu..
Mkuu makamo mwenyekiti wa Tume anatoka wapi? Siyo mkristo? Wakristo wataalamu wapo mkuu acha kuwatolea kashfa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom