Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Sasa mlivyokuwa mnalalamika CCM inawatukana kumbe ni Mwigulu na Lusinde yalikuwa mawazo yao binafsi.

sidhani kuambiwa ukweli ni sawa na kutukana

huwezi kusema Dr slaa kajinyea au lema kapata bwana ni sawa na zitto alichofanya

kwa hili Zitto kasema ukweli ingawa yeye ndiye bingwa wa kubwabwaja matapishi; kuna tatizo na kauli ya Mtei, there are certain things we dont say in public
 
CUF inahusikaje wapi wewe? CUF inasimama kwenye HAKI SAWA KWA WOTE; hakuna udini

Umewahi kusikia muasisi wa CUF akisema mambo UDINI kama Muasisi wa Chadema?

muasisi wa CUF ni nani, kuna mtu ananinong'oneza hapa eti muasisi wake ni 'uislamu'. Leo katika hii thread naona hadi mume wenu CCM anawasapoti.
 
Hivi hizi habari za UUWIANO kuwa ni jambo la busara zimetoka wapi?..Nionyesheni nchi hata moja hutumia UUWIANO katika uteuzi au uchaguzi wa aina yoyote. Mimi naiona Tanzania tu na sielewi imetoka wapi kitu hii...
Jamani tusichanganye kupewa haki sawa ni kuwepo kwa uuwiano hata kidogo ila kama swala la kupendelewa kundi moja dhidi ya jingine tunaweza kabisa kuendeleza mjadala huu..

Nachopenda kufahamishwa ni kwamba:- Kama ukipewa wewe nafasi ya kuchagua wajumbe wa Zanzibar ni kina nani utawaweka ktk list yako, tupeni majina yao halafu tuyatazame kwa vigezo vyovyote mvitakavyo..
 
Wote wamepewa mitihani kwenye practice ni vilaza sana mtu wangu ndio maana rais kawashtukia?

unasema uongo mchana kweupe, zile shule kumi za kiislamu zilizoshika mkia, kweli kuna mtoto pale utasema ni kichwa?. Kuna rafiki yangu mmoja alibahatika kutoka zanzibar, kila alipokuwa akichangia pointi darasani lazima anakiri na vifungu vya Quaran. Ali-disco vibaya sana.
 
Hakiyamungu Magamba sasa yanaanza kuwakamata baadhi ya wana CDM, hizo zote ni kauli za uchonganishi, naamini wameunganisha kauli za zito na za mtei wakaconclude kwamba km zito alisema hivi baadhi kwa maana nyingine anatuambia mzee mtei kafilisika kimawazo, Magamba wakumbuke leo cdm ina wabunge Kanda magharibi(kigoma na mpanda), Nyanda za juu kusini(mbeya) mashariki(dar) Kanda ya ziwa(mwanza, shinyanga, musoma) na kaskazini ambako Magamba wanaamini cdm ipo huko na hivyo kukichonganisha na zito wa magharibu wanaamini watakuwa wamekiua chama-WAMEPOTEA NJIA. no one is farmous than a party! CDM DAIMA ITASONGA MBELE!
 
Mbunge wa Kigoma Kaskazini-CDM amesema Mzee Edwin Mtei amefilisika kimawazo kwa kauli yake kwamba tume ya Katiba ina Waislam wengi kuliko wakristo.

Source:JAMBO LEO.

Jani udini tutaumaliza lini lama kila siku ndo unaonadiwa tena zaidi kwenye siasa ilianza kama upele na sasa imekuwa kidonda ambacho kinatibika tuwe makini kabla hakijafikia kuitwa kidonda ndugu kwani itakuja kugarim wengi
 
KAMA KUNA MTU NDANI HUMU ANAMUUNGA MKONO MZEE MTEI KWA HOJA YAKE BASI HAFIKIRII SAWASAWA...................
Hivi ni nani anaeweza kusema kua Kikwete ni mdini? na vp Mzee Mkapa wakati wa utawala wake? vp mzee nyerere? kama kigezo cha udini ni kua na waislamu wengi katika idara fulani basi huko ni kukosea kukubwa sana! Milemo hakuna hatari yoyote ya kumwambia muasisi kama amekosea maana mzee mtei amekosea na amekosea pakubwa sana na lazima akubali kukosolewa huko ni kuligawa taifa!
NINAKOSA IMANI NA CHADEMA KAMA WAZEE WAASISI WAKE TUNAOTEGEMEA WATUPE DIRA YA UELEKEO WA CHAMA CHAO LEO NDO WANAKUA WA KWANZA KUBEBA BANGO LA UDINI................NI KICHEFUCHEFU
 
Jambo leo ni gazeti la propaganda za CCM. Zitto hawezi kupingana na mzee mtei hadharani hivyo akijua fika kufanya hivyo ni kuiangamiza CDM.
 
Asante Zito hicho ndo ninachokupendea humumunyi maneno.Nadhani ujumbe umemfikia
 
KAMA KUNA MTU NDANI HUMU ANAMUUNGA MKONO MZEE MTEI KWA HOJA YAKE BASI HAFIKIRII SAWASAWA...................
Hivi ni nani anaeweza kusema kua Kikwete ni mdini? na vp Mzee Mkapa wakati wa utawala wake? vp mzee nyerere? kama kigezo cha udini ni kua na waislamu wengi katika idara fulani basi huko ni kukosea kukubwa sana! Milemo hakuna hatari yoyote ya kumwambia muasisi kama amekosea maana mzee mtei amekosea na amekosea pakubwa sana na lazima akubali kukosolewa huko ni kuligawa taifa!
NINAKOSA IMANI NA CHADEMA KAMA WAZEE WAASISI WAKE TUNAOTEGEMEA WATUPE DIRA YA UELEKEO WA CHAMA CHAO LEO NDO WANAKUA WA KWANZA KUBEBA BANGO LA UDINI................NI KICHEFUCHEFU

Utakosaje imani kwa CDM kwa sababu ya maoni binafsi ya E. Mtei? CDM ni taasisi wala siyo Mtei
 
Kwani mtei kasema anaongea kama mwasisi wa chama au kama raia yeyote wa tz
 
We mgeni chadema ZITTO ndiye aliyekijenga chama, hao wakina slaa ni wageni chadema,
Zitto ana haki ya kumkosoa MTEI kwa kukiharibu chama.
Zitto anapaswa kupongezwa kwa kukemea maovu katika chama bila kujali superiority ya mtu.
slaa ni mbunge via cdm since 95
 
Nani asiyejua udini ndio sera ya Chadema? Kwa mujibu wa CIA 99% ya wakazi wake ni waislamu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Islam is the most prominent religion on the island of Zanzibar. According to the CIA Factbook, Zanzibar is more than 99% Muslim.


jee ni makosa wajumbe wote 15 kuwa waislamu? Zitto amesema ukweli kabisa. Hata hivyo katika kutafuta wawakilishi kinachoangaliwa wanatoka makundi gani mf. vyama vya siasa, NGO.

CDM hawawezi kuepuka kauli ya mwasisi, kauli ya mwasisi=kauli ya chama
[TABLE="align: left"]
[TR="class: afr_light"]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Mkuu tatizo hapa sio kumzuia mtu kutoa maoni yake....HAPANA
Tatizo hapa ni aina ya maoni unayotoa.

Unadhani akina shekh Ponda na basaleh huwa hawatoi maoni yao wanaposema wanataka
uwiano sawa mawaziri, wakuu wa mikoa, makatibu wakuu, wakuu wa idara, mabalozi, ajira serikalini,
uwiano sawa wa billions tunazopewa taasisi za kikristo kuendesha hospital na mashule

Unajua tunacho wajibu humu.........ni zaidi ya matusi
So why not Mtei?

Hapa umepiga point Mzazi, ofcz sitaki kuchangia chochote juu ya hichi kinachoitwa "katiba mpya" sababu najua tutakapoangukia.....
Hamna muandika katiba hapa.
Tuombe uzima, mda na uwepo wa hili jamvi.... TUTAYAONA!
 
ZZK yupo sawa hiyo sio kejeli. jambo la msingi viongozi wachunge kabla hawajaongea jambo ambalo linaweza kuwa na athari kwao wenyewe na taasisi zao.
 
tanzanians are religious divided people, hata jk anajua alitakiwa awaandae wabongo ili kelele zisiwe nyingi. ni ukweli usiopingika watanzania tunatizamana kwa dini zetu, hata zito wakati chadema wanatoka bungeni alisema asingeweza kumfanyia hivyo muislamu mwenzie ndo maana yeye siku ile hakuingia bungeni kabisa.
 
jaman jaman wana jf,mchakato mzima wa katiba unahusisha ukusanyaji wa maoni kutoka kwa kila mtanzania regardless udini,ukabila rika jinsia,tume kazi yao ni kuratibu maon na c kutoa,hivyo kauli ya mtei iwe kama irani kwa hao waratibu wasije rubunika kwa namna yoyote kwan watanzania tuko macho hatutovumulia kuyumbishwa kwa mchakato mzima.
tuheshimu maoni na mawazo ya kila mtu ili kwa pamoja tufikie lengo.
 
Zitto anaivuruga CDM, au chadema inamvuruga zitto?? Zitto anapanbana na maadui zake ndani ya chadema wasiotaka kuona chama kinatoka minoni mwa wenye malengo maalum!! Mtoeni zitto ili chama chenu kife ili tanzania iendelee kuwa na amani


Uhai wa CDM ulishikiliwa na zito lini? Kazi ya zito aliyotumwa na ccm inaeleweka.
But let us go back to the basics; katika wajumbe 32 wa tume, waislamu ni wangapi na wakristu ni wangapi?
Angalieni tusiendekeze idadi ya watu wanaoingia vyuo vya elimu ya juu bila kujua kusoma na kuhesabu!
 
Zitto ni bomu linalosubiliwa kulipuka, ni vyema CDM wakaweka taadhari juu ya huyu mtu. Naamini wanamjua. Tatizo Zitto anafikiri ni tishio ndani ya chama, anajiangaisha sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom