Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,681
Sasa mlivyokuwa mnalalamika CCM inawatukana kumbe ni Mwigulu na Lusinde yalikuwa mawazo yao binafsi.
sidhani kuambiwa ukweli ni sawa na kutukana
huwezi kusema Dr slaa kajinyea au lema kapata bwana ni sawa na zitto alichofanya
kwa hili Zitto kasema ukweli ingawa yeye ndiye bingwa wa kubwabwaja matapishi; kuna tatizo na kauli ya Mtei, there are certain things we dont say in public