innocent j
Member
- Jan 17, 2012
- 58
- 9
hii dhambi ya kubaguana itatumaliza watanzania. Refer to late j k nyerere speech.
sidhani kuambiwa ukweli ni sawa na kutukana
huwezi kusema Dr slaa kajinyea au lema kapata bwana ni sawa na zitto alichofanya
kwa hili Zitto kasema ukweli ingawa yeye ndiye bingwa wa kubwabwaja matapishi; kuna tatizo na kauli ya Mtei, there are certain things we dont say in public
Sasa wewe ulitaka rais aanze kutafuta mkristo wa kutoka Zanzibar amuweke kwenye tume huoni huo kama ndio udini wenyewe?
Swala lilikuwa sio kupata watu wa dini fulani , malengo ni kupata watu watakaosaidia kusimamia mchakato wa katiba mpya na rais aliweka wazi watu watume majina, kwanini nyie hamkutafuta majina ya wakristo wa Zanzibar mkampelekea rais? Mbona jina la Mwesiga Baregu mlipeleka?
Sasa hapa kama unavyoona swala la dini halipo na halisaidii.
Kama hali ya udini ndiyo iko hivi kama tunavyoshuhudia hapa JF tutegemee nini huko mtaani? Ningependa tujadili wajumbe wa hii tume based on intellectual capacity and not otherwise.
Mimi ni Mkristu/Roman Catholic na sioni tatizo kwa tume kuwa na waislam wengi.Cha msingi huwa ninaangalia competency kwanza ndipo busara nyingine za uwiano zifuate.Ni jambo la hatari kujadili udini na ukabila katika mazingira yanayoweza kutugawa na kutuondolea utaifa wetu.Uzalendo wetu uko mashakani.Kwa picha hii ninayoiona CIA,MOSSAD,M15 na wengineo wakituchomekea hii dhana ya Udini tutamalizana wenyewe kwa wenyewe.Hatua ambayo Nigeria imefikia ndipo tunakoelekea sasa.Wanasiasa,viongozi wa dini,na watu wenye ushawishi katika jamii tuache kutoa matamshi bila kufikiria athari.tuna maadui ambao tunahitaji umoja wa kitaifa kupambamana nayo kama matabaka na mapengo ya kiuchumi,ombwe la fikra na uongozi,social vices kama ufisadi na ukosefu wa maadili.tunahitaji utaifa kuliko mgawanyiko wa kiimani au kikabila kukabiliana na haya.Mahakama ya kadhi au kujiunga na OIC sio issue,ili mradi Refferundum imependekeza hivyo.Tuache uoga na hoja nyepesi bila kuzingatia athari
We are a people bedevilled by so many challenges which of course, we've barely scratched the surface of. The leadership deficit has aggravated our economic decline and retardation, and threatens not only our social cohesion but our very identity as a people. In times like these, a strong and transformational leadership is what is required to mobilize our abundant human and natural resources for us to realize our full potentials, but this deficit forms the bane of our problems. Paradoxically, while we acknowledge the failure of leadership, and the incapacity or inability of the present crop of leaders to do much to salvage our pathetic situation, we are still waiting on them
Whatever the case, it is our generation which will suffer most because the present crop of leaders have little to lose; we will live with the consequences of their actions while our childrens future becomes increasingly uncertain
We are in a terminal decline, the question is are we doing enough to address this? What can we or should we do to reverse this certain reality?
wew ni mkristo wa jina, kama ungekuwa mkristo anaye fahamu imani yake vyema usingesema hakuna tatizo kwa tume kuwa na waislamu wengi.
Haya kaka ZZK tunasubiri hekima zako ambazo bado ni Tajiri.
Hiyo Tume sio tu imejaa uislam bali hata idadi ya uzanzibari haulingani na matakwa ya katiba husika maana kwa asilimia kubwa katiba husika haitawahusu hao wa Zanzibari kwa sababu masuala ya Muungano hayatajadiliwa.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini-CDM amesema Mzee Edwin Mtei amefilisika kimawazo kwa kauli yake kwamba tume ya Katiba ina Waislam wengi kuliko wakristo.
Source:JAMBO LEO.