firstcollina
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 349
- 21
Alitaka, kwa mfano, NMC irudi kwa akina Chande. Wao wamiliki 51% na serikali ibaki na 49%. Mzee Mtei alichokuwa anasisitiza ni serikali iache menejimenti ya mashirika haya. Na hili wala halikuwa wazo lake lilikuwa ni wazo la IMF na WB. Mkapa alikubali karibu kila kitu. Tumeishia wapi?
Mkapa alikubali wakati mashirika yanachechemea au yako hoi bin taaban, then what did you espect....! Tibu ugonjwa just unapojitokeza na hiyo ndio tiba na action sahihi, but ukichelewa..., tiba na action zake lazima zitakuwa tofauti na hivyo kupelekea hata matokeo ya tiba na hatua hizo zilizochukuliwa kuwa tofauti.
Ikumbukwe kwamba wakati huo, JKN na Mtei walikuwa right at the source of the current baddens. Hivyo chochote sahihi wakati ule kama kingefanyika hopeful tatizo lingetibika.
Soma signature yangu below to get the significance of this post/Discussion
Thank you