johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,977
- 141,986
Zile kelele za Chadema Chama cha familia ya Mtei, oooh Chadema chama cha Wachagga mara ohooo Chadema ni Chama Cha Waluteli sasa hautazisikia tena kwa sababu Wana wa Wenye CCM wataanza kuendeshwa na magari yenye bendera kuanzia Chipukizi
Nikiwa Chipukizi ndipo nilipata bahati ya kushikana mikono na Rais Samora Machel wa Msumbiji akiwa na mwalimu Nyerere Uwanja wa Samora paluhengo
Chipukizi ni Taasisi kubwa sana wengi hawajui tu na ndio iliyowaibua hawa akina Makonda na Jokate
Ila sina hakika kama Chipukizi ile ya Kale na hii ya kidigitali zinafanana
Chadema hawana haja ya kuiga CCM wawe tu kama Wapentecoste Ubatizo ni wa Maji Mengi ukubwani unamkataa shetani ikiwa tayari unamjua
Ahsanteni!
Nikiwa Chipukizi ndipo nilipata bahati ya kushikana mikono na Rais Samora Machel wa Msumbiji akiwa na mwalimu Nyerere Uwanja wa Samora paluhengo
Chipukizi ni Taasisi kubwa sana wengi hawajui tu na ndio iliyowaibua hawa akina Makonda na Jokate
Ila sina hakika kama Chipukizi ile ya Kale na hii ya kidigitali zinafanana
Chadema hawana haja ya kuiga CCM wawe tu kama Wapentecoste Ubatizo ni wa Maji Mengi ukubwani unamkataa shetani ikiwa tayari unamjua
Ahsanteni!