Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,420
- 40,398
- Thread starter
- #81
ha ha ha haHivi kwani mada imesemaje!??
Mada haijasema tutume picha.
Brother wanawake hawaingii kwenye mahisiano ili mradi tu.
Hao wenye 30 sio Kama wameshindwa kuengage ila tu hawajaamua.
Wanajua nn wanafanya.
Kwa hiyo msije mkadhani wanaumia