Mtazamo binafsi

Hivi kwani mada imesemaje!??
Mada haijasema tutume picha.

Brother wanawake hawaingii kwenye mahisiano ili mradi tu.
Hao wenye 30 sio Kama wameshindwa kuengage ila tu hawajaamua.
Wanajua nn wanafanya.

Kwa hiyo msije mkadhani wanaumia
ha ha ha ha
 
Kitamaduni wanaume wa Afrika walikuwa wanaoa mke zaidi ya mmoja. Walipokuja wamisionari wakaleta taratibu mpya ya kuoa mke mmoja. Leo watu kama wewe wakion mwanaume anazingatia tamaduni ya kiafrika ya kuoa wake wengi unasema ni umalaya.

Kwa hiyo niliposema umalaya ni subjective nilimaanisha kwamba polygamy inaweza kutafsiriwa kama umalaya au kinyume chake kutegemea na viewpoint yako.
 
Basi ndo uhamie kwenye hizo dini na tamaduni pendelezi kwa wanaume na kandamizi kwa wanawake ila siyo kulazimisha na dini na tamaduni nyingine ziwe kama hivyo
Nimesema neno ndoa za polygamy u Malaya unatoka wapi hapo hujui kuna dini na tamaduni wanaruhusu hii kitu?
 
Unaamini kama Mungu yupo na wewe ni kama Kiranga?
Kitamaduni wanaume wa Afrika walikuwa wanaoa mke zaidi ya mmoja. Walipokuja wamisionari wakaleta taratibu mpya ya kuoa mke mmoja. Leo watu kama wewe wakion mwanaume anazingatia tamaduni ya kiafrika ya kuoa wake wengi unasema ni umalaya.

Kwa hiyo niliposema umalaya ni subjective nilimaanisha kwamba polygamy inaweza kutafsiriwa kama umalaya au kinyume chake kutegemea na viewpoint yako.
 
Naamini Mungu yupo.
Tena
Mungu wa Abraham baba wa Imani
Mungu Isaka
na Mungu wa Jacob /Israeli baba wa wana wa israeli.
Sawa basi huyo Mungu hata awe Mungu wa nani hajaruhusu mwanaume kusaliti ndoa wala kuoa mke zaidi ya mmoja nipe andiko hata moja linaloruhusu mfanye hivyo na mimi nitakupa maandiko hata matatu yanayokataza mfanye hivyo naomba usinitolee mifano ya kina Abraham wala Jacob wala Solomon wala David maana najua ndiyo reference yenu wanaume wengi

Bila kujua kwamba kuwa nabii au mtume hakumzuii mtu kufanya dhambi maana hakuna binadamu mkamilifu hao wote pamoja na kusaliti ndoa au kuoa mke zaidi ya mmoja kila mmoja yalimpata ya kumpata na walipozeeka walikuja kutubu kwahiyo usinitolee mifano ya hao nipe andiko lilisimama kama sheria linaloruhusu mwanaume kusaliti ndoa au kuoa mke zaidi ya mmoja nasubiri
 
Sawa basi huyo Mungu hata awe Mungu wa nani hajaruhusu mwanaume kusaliti ndoa wala kuoa mke zaidi ya mmoja nipe andiko hata moja linaloruhusu mfanye hivyo na mimi nitakupa maandiko hata matatu yanayokataza mfanye hivyo naomba usinitolee mifano ya kina Abraham wala Jacob wala Solomon wala David maana najua ndiyo reference yenu wanaume wengi

Bila kujua kwamba kuwa nabii au mtume hakumzuii mtu kufanya dhambi maana hakuna binadamu mkamilifu hao wote pamoja na kusaliti ndoa au kuoa mke zaidi ya mmoja kila mmoja yalimpata ya kumpata na walipozeeka walikuja kutubu kwahiyo usinitolee mifano ya hao nipe andiko lilisimama kama sheria linaloruhusu mwanaume kusaliti ndoa au kuoa mke zaidi ya mmoja nasubiri
Sitafanya kazi ya kukupa vifungu vya biblia vyenye ku advocate polygamy ila nachoweza kukwambia ni kwamba polygamy is a kin to African culture hutaki nenda Ulaya.
 
Sitafanya kazi ya kukupa vifungu vya biblia vyenye ku advocate polygamy ila nachoweza kukwambia ni kwamba polygamy is a kin to African culture hutaki nenda Ulaya.
Kwahiyo tamaduni za mababu ndo zina mamlaka kuliko sheria za Mungu?
 
Mbona hili suala la wadada walio single linawaumiza watu wengine kuliko wahusika wenyewe?
Wahusika wanaumia sana mkuu.

Last week i found one lady who has two kids but still anaishi kwao though anafanya kazi na sio kuwa anaishi kwao eti hajiwezi kiuchumi la anaweza ila nakataa uhuru uliopitiliza kwa sababu wanaume wakigundu tu kuwa ana watoto wanasepa wengine wanakubali mwanzo ila wakishakula papuchi tu wanasepa mmoja wapo mimi .

Aliniambia kuwa sasa hvi atakuwa yeye na tango/ndizi damu damu kwa sababu anaumia sana hali ya upweke na anajua kabisa kuwa kila mwanaume anataka tu kuonja kipochi manyoya chake.
 
Wahusika wanaumia sana mkuu.

Last week i found one lady who has two kids but still anaishi kwao though anafanya kazi na sio kuwa anaishi kwao eti hajiwezi kiuchumi la anaweza ila nakataa uhuru uliopitiliza kwa sababu wanaume wakigundu tu kuwa ana watoto wanasepa wengine wanakubali mwanzo ila wakishakula papuchi tu wanasepa mmoja wapo mimi .

Aliniambia kuwa sasa hvi atakuwa yeye na tango/ndizi damu damu kwa sababu anaumia sana hali ya upweke na anajua kabisa kuwa kila mwanaume anataka tu kuonja kipochi manyoya chake.
Kwa hiyo kama huyo anaumia ni kila mtu?
 
Back
Top Bottom