Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,189
- 39,954
- Thread starter
- #21
ha ha ha haMkuu umewaza vizuri sana ila kabla hatujafika huko tutokomeze kwanza zero
ha ha ha haMkuu umewaza vizuri sana ila kabla hatujafika huko tutokomeze kwanza zero
ha ha ha nafsi inaongea
Okok naona umeamua kuwa msemaji wa wanawake basi sawaKwani malalamiko yanatolewa kwa vikundi?
kila mmoja anaonesha kukosa amani kulalamika kwa wakati wake. Ila mitandaoni kila mmoja atajifanya ni super woman.
ha ha ha sio hivyo mkuu...hata mkiota usiku hayo mawazo huwa yanawaijia,sema hamtaki kusema ukweliAaah boss hizo ramli sasa
Si ndio hapo, ndio maana hata wao kuna wenye hela na kuna wanaume suruali teh povu ruksa
ha ha ha ha mama wa hoja nzito karibu😂😂😂😂halafu ambavyo hawapendi kuambiwa ukweli lazima waje na mapovu na kauli zao za kujifariji zile
Wengine hatuna shaka tumeridhika na tulivyo kuanza kudhania kwamba Kuna kitu tunamiss hizo ni ramli kwa nini useme nafsi zetu??? Ilhali wenyewe tunawaza vingine tofauti na uwazavyo wewe?ha ha ha sio hivyo mkuu...hata mkiota usiku hayo mawazo huwa yanawaijia,sema hamtaki kusema ukweli
Kwani wewe upo single na umegonga 30+ ?
Tunaishi na nyie huku mitaani kwa hiyo changamoto mnazotupatia tunazijua..Wengine hatuna shaka tumeridhika na tulivyo kuanza kudhania kwamba Kuna kitu tunamiss hizo ni ramli kwa nini useme nafsi zetu??? Ilhali wenyewe tunawaza vingine tofauti na uwazavyo wewe?
ha ha ha ha mama wa hoja nzito karibu
Safi
Mheshimu mumeo
hilo linawaumiza wavulana, sio sisi wanaumeMbona hili suala la wadada walio single linawaumiza watu wengine kuliko wahusika wenyewe?
Teh kwa hiyo unamaanisha mtoa mada ni mvulana?hilo linawaumiza wavulana, sio sisi wanaume
ha ha ha haUkiwa na 30 plus haufai kwa matumizi ya mda mrefu
ha ha ha mkuu nakusalimia,karibu upate glass angalau ya maziwa fresh...Teh kwa hiyo unamaanisha mtoa mada ni mvulana?
Si ndio hapo, ndio maana hata wao kuna wenye hela na kuna wanaume suruali teh povu ruksa
kumbe, jibu unalo mkuuTeh kwa hiyo unamaanisha mtoa mada ni mvulana?
sithubutuDuniani ni kusaidiana wakuu,kunachangamoto ya wadada kutokuwa na wapenzi hasa wale wenye umri mkubwa(30+).Kutokana na upungufu wa Me,mi nilikuwa naona njia ya kuwasaidia ni kuingia makubaliano ya hiari...miezi 6 unakuwa kwa equation x,miezi sita mingine kwa mwingine n.k lakini hakuna kupiga mizinga.Mnaonaje hilo wakuu?