Hebu jamani tujaribu kuangalia upande mwengine wa sarafu hapa,huyu jamaa kunauwezekano kachizika na sabau ni hizi sheria zao za kupendelea upande mmoja kati ya wana ndoa wawili.Huenda mahakamani walimnyang'anya mke na kuchukua au kumpa custody rights zote za ulezi mwanamke peke yake,wakati mwingine huwa zinaweza zikawa very brutal na harsh na kama kichwa chako hakiko sawa utaishia kuwa criminal kama Mr Mihayo.
Hawa wazungu tuwaangaliye hivi hivi,cha kwanza wanachokipenda kutoka kwetu sisi weusi ni sehemu ya kustareheshwa na ikitokea kapata mimba hiyo inakuwa sio mbaya na atazaa na pindi akishazaa starehe na yeye huwa inapunguwa na kawaida yao hutafuta mtu mpya na akiisha mpata visa vinaanza mpaka utaachia manyanga wewe mwenyewe hata kabla ya mahakama kuingilia kati.Mimi namuona Mr Mihayo kama yeye ni victim hapa katenda tendo bila kujijua na kuujua ubaya wake na sasa anajionea mwenyewe na ninauhakika ameisha tia akili kichwani mwake hivi sasa.Yaani mwanaume mzima utawezaje kuua damu yako mwenyewe?huyu jamaa katudhalilisha sisi wabongo wote na watu wote wa Africa mashariki kwa ujumla,matusi makubwa sana hayo.M/Mpamba.