Mtanzania Charles Mihayo jela maisha

Mtanzania Charles Mihayo jela maisha

Du maskini machungu anayo mama yao kubeba mimba si mchezo mpaka uwafikishe hapo
 
Makaratasi ndo yawafanya waoe wazungu,jamani hawa malaika wameiliwa bila sababu

Kuna rfk yng kaoa kibibi kizee huko Sweden, huu mwk wa pili sasa ananeng'eneka na kibibi, kisa makaratasi, namuuliza papuchi ya bibi ni sawa kwa ladha km hz za wadada wa kibongo aliowaacha huku, anambia MNATO!
 
Sio mzima huyu haiwezekani mtu mwenye akili timam akafanya kituko kama hiki . Nasita kusema kua ni ukatili wa hali ya juu kwani nahisi jamaa mgonjwa . Masikini mama yao sijui anajutaje kuwapeleka watoto kwa baba yao aaah haya mambo uyasome tu mitandaoini usiwe victim.
 
Halafu kuna watu wanaamini kuna mungu kweli?

Anayeweza yote, mwenye upendo wote, kaumba ulimwengu huu, anampenda huyu baba na watoto wake aliowaua hawa?

I find that hard to believe.
 
Halafu watoto wanafanana na yeye,hata kama ni ugomvi ndio uue wanao ?tena watoto wadogo ambao hata kujitetea hawawezi,mbona yey wazazi wake hawakumua huyu bwana kwanza alitakiwa aachwe kwenye shimo lililojazwa nge ili naye apate maumivu hadi kifo chake,
 
[h=3]Dad sentenced to life in prison for killing his two daughters after fight with ex-wife[/h]

0.jpg
488678-b6baa8f4-8652-11e4-bf87-d1f7005bd55e.jpg
The Tanzania man, Charles Mihayo, 36, who murdered his two daughters at his home in Melbourne on April 20th 2014 and then dressed them in floral dresses in an act of revenge against his ex-wife has been sentenced to life in prison.

According to prosecutors, after his wife divorced him, an angry Charles killed his own children just to make their mother suffer. He smothered Savannah, 4, and Indianna, 3, after playing with them.

Though he was sentenced to life in prison, Charles is eligible for parole after 31 years. Charles, who has since regretted his action, has refused to go into details as to how and why he killed the little girls, only saying he deserves to be punished.


On the day of the murders, the girls mother dropped them off with him, he then took them shopping for new clothes and shoes. What happened next isn't clear but Charles called the police to his home.

When police arrived at his place, he told them "It's done. I've killed them. I've killed my kids. You'll have to ask (my former wife why)."

The police found the children lying dead on in the home dressed in the new clothes and shoes their dad just bought. Before killing his kids, Charles filmed them dancing to 'Let it go' a song from Disney movie, Frozen and even played with them. In the video which officers later saw, the killer told his girls to show their mum the clothes he just bought for them. The excited kids did, then Charles looked menacingly at the camera and said "We'll show mum something else in ten minutes". He then played hide and seek with then before smothering them with a pillow.

Unbelievable!
 
Kumkomoa Ex wake...nimesoma hii kwenye blog ya wapopo...
Ama kapeperusha bendera ya Tz...

Ndoa na wadhungu kwa wanaume wa kiafrika si mchezo...
Ukiwa na roho ngumu unachizika kama huyu...
Ndio mimi ninawaogopa kuwaowa Wazungu kwa hayo matatizo hakawi kukuambia hakutaki unaweza kuchukuwa hautuwa mbaya zaidi ya huyu Shetani wa kibongo kuwauwa watoto wake Mkuu nyumba kubwa Mapenzi ya kizungu Sisi Watu weuesi hatuyawezi kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom