mkuu nyani nlazima atakuwa na hitilafu kichwani ingawa hilo kwangu si udhuru wa yeye kutokuadhibiwa vikali.
Mtu mwenye akili timamu ni vigumu sana kufanya hivyo.
mimi naskitika kuwa hao watoto warembo wamekufa na vipapuchi vyao bila ya kufka umri wa kuonjwa achilia mbali kuonjwa kabisa. daaahhh just think of utamu walioondoka nao tu.😀😀😀😀😀
Aisee we acha tu yani ni balaaaa!!!!!! Mihayo dizaini kama jina la kinyamwezi au kisukuma hivi , hayo makabila hayana ukatili wa kiasi hicho.Apo ndio utaamin sisi binadam waajabu kama wanyama wa polini mtu anauwa watoto wake wazuri ivyo???
Sio Wote wanaume weusiI totally disagree with you! Unaweza kuoa mwanamke kutoka nyumbani na akakukataa au akawa na tabia mbovu mno, Nina rafiki zangu 3 wameoa wazungu na maisha yanawaendea vizuri sana, Na wanawake wapo tayari hata kuishi bongo, it's all about choices & luck tuache stereotypes.
Aiseee yani watoto walikua warembo jamani?Sijui shetani gani tu aliyemfika huyo mwanaume
Kweli usemayo Mkuu.................................... Lakini yote kwa yote NO JUSTIFICATION !! au siyo.Sio Wote wanaume weusi
wanao bahatika kuwaowa wanawake wa kizungu wazuri. Huku Ughaibuni ukiowa Mwanamke yoyoyte huna ruhusa ya kumpiga hata kofi huruhusiwi hata
mtoto mdogo ukimpiga unakwenda jela. Huku Mtoto ana sauti na Mke ana sauti kuliko Mume unasemaje ndugu mimi nipo
huku Ughaibuni zaidi ya miaka 20 sasa ninajuwa nje na ndani Tabia za wanawake weupe ni wachafu kwa tabia anaweza
Mke wako mweupe kukwambia leo anataka kutoka (out) anakwenda Disko au Sinema wewe kaa nyumbani na watoto
anatoka na mpenzi wake wa zamani wewe chunga watoto na ukileta wivu wa kibongo bongo anakurudisha nyumbani .
Utaniambia kitu gani kuhus hawa wanawake wa kizunguı mimi Mkuu sokwe Chezea wanawake weusi usicheze na
Wanawake wa Weupe imekula kwako hiyo.
Hebu jamani tujaribu kuangalia upande mwengine wa sarafu hapa,huyu jamaa kunauwezekano kachizika na sabau ni hizi sheria zao za kupendelea upande mmoja kati ya wana ndoa wawili.Huenda mahakamani walimnyang'anya mke na kuchukua au kumpa custody rights zote za ulezi mwanamke peke yake,wakati mwingine huwa zinaweza zikawa very brutal na harsh na kama kichwa chako hakiko sawa utaishia kuwa criminal kama Mr Mihayo.
Hawa wazungu tuwaangaliye hivi hivi,cha kwanza wanachokipenda kutoka kwetu sisi weusi ni sehemu ya kustareheshwa na ikitokea kapata mimba hiyo inakuwa sio mbaya na atazaa na pindi akishazaa starehe na yeye huwa inapunguwa na kawaida yao hutafuta mtu mpya na akiisha mpata visa vinaanza mpaka utaachia manyanga wewe mwenyewe hata kabla ya mahakama kuingilia kati.Mimi namuona Mr Mihayo kama yeye ni victim hapa katenda tendo bila kujijua na kuujua ubaya wake na sasa anajionea mwenyewe na ninauhakika ameisha tia akili kichwani mwake hivi sasa.Yaani mwanaume mzima utawezaje kuua damu yako mwenyewe?huyu jamaa katudhalilisha sisi wabongo wote na watu wote wa Africa mashariki kwa ujumla,matusi makubwa sana hayo.M/Mpamba.
Nyie wanaume hivi mna nini?
Mnatuacha nyie wenyewe kwa dharau na kashfa nyingi.
Na unaona shida kuwaona watoto wakiwa na mama yao, hadi unaamuwa kuwauwa.
Loooh, ni nini hiki sasa.
Ni heri wangemhukumu huyo mwanaume kunyongwa hadi afe.
IN australia..thats the max. sentence a judge could offer..
Aisee we acha tu yani ni balaaaa!!!!!! Mihayo dizaini kama jina la kinyamwezi au kisukuma hivi , hayo makabila hayana ukatili wa kiasi hicho.