Bora kuishi na wanyama mbugani kuliko binadamu wengine.
Aliachana na mama watoto..akapoteza custody ya kuishi na watoto japo alipata haki ya kuwaona kila baada ya muda..pengine hii ilipelekea/kuchochea kumkomesha ex wake huyo..wakose wote..
..matatizo yake na ex wake yamechangia kwa namna moja kuchukua maamuzi haya...
Makaratasi ndo yawafanya waoe wazungu,jamani hawa malaika wameiliwa bila sababucc wabeba box muwe mnaoa nyumbani kuepusha kuchanganyikiwa kama huku
cc wabeba box muwe mnaoa nyumbani kuepusha kuchanganyikiwa kama huku
Wange mpima kama alikuwa na mental disorder!!! mtu kuua watoto wake mwenyewe mmmmh
Yah ila ukiwa na itikadi za kisisiemu pekee....
hata kama wananchi wale nyasi lakini ndege ya raisi itanunuliwa tu..-B.Mramba
kama huna mia mbili piga mbizi..- magufuli
Nitatoa ajila million moja kwa mwaka na kweli watu wakapoteza ajila kila mwaka-- Jk