BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Chama cha wahuni hicho na waongo hawajui wanataka nini Mkuu.
Msikilizeni huyu kijana.
Baadhi ya wasanii walikuwa wakifanya mambo machafu.
Mambo yasiyoendana na maadili ya Watanzania.
CCM iwe makini katika kuchagua wasanii wa kufanya kampeni.