Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,233
wamarekani wametakaswa kwa damu ya yesu na kila wanalofanya kimetakaswa.
Mkuu uko sahii kabisa, hata walipuaji wa Arusha ni mbinu za CIA
wamarekani wametakaswa kwa damu ya yesu na kila wanalofanya kimetakaswa.
Saa nyengine unaweza ukakuta ni vyama vya siasa, watu wa nje ya nchi yetu au hata baadhi ya watu ndani ya serikali wanaweza kuwa wana ihujumu serikali bila kujua au matop siajabu wanajua what is going on. Matukio mengi yametokea ya uhalifu kwanini hili serikali imehamaki sana hadi mkuu wa nchi. Hapo ni kazi ya wana usalama kuchimba what is behind this peopleunakuta hapa lengo lilikuwa ni kuchonganisha kati ya imani mbili ili amani isiwepo.
Nani sasa ananufaika kwa hili?hilo ndo swali la kujiuliza.
we we ndo unataka kuiharibu hii thread.Kuhusu elimu ni swala la desturi tu, mbona mwarabu anajenga masjidi kwenye kila shell ya mafuta lakini siyo nursery kwenye kila msikiti. Mkoloni wa Kizungu alijenga shule kila penye kanisa, mwarabu alifanya nini?, watu wanavutiwa zaidi kwenda saudia kusoma au wanavutiwa na Uingereza?. Haya mambo dusturi bwana hata boko haram maana yake elimu ya magharibi ni najsi
Tatizo watu wanacheza kibwagizo wasichokijua. Marekani hata wananchi wana andamana kila siku kuipinga serikali yao. Lakini wanavyotufanya wajinga vyombo vyao vya habari hata haviripoti hayo maandamano. Ila waandamane waarabu sasa. Yaani sijui mambo ya nchi nyengine wao yanawauma nini.Tatizo ww umekuwa brain washed na umeingia kwenye mtego wa malengo ya kuanzishwa neno gaidi
Ulishawahi sikia mmarekani anaitwa gaidi? Je anayoyafanya ni sawa watu wamekufa iraq ,afghan stan,liberia, congo.....wanachofany israel ni sawa ?????ugaidi km upo ni ndani ya mtu na wewe unajua alshabab wanachpigania mbona hawakuja piga tz japo soon watakuja
Gadafi kaonekana mbaya kisa kasema afrca ina utajiri mwing inaweza jiendesha bila misaada ya nje tuanzishe imf yetu na yy atatoa initial fund
Iraq kapigwa eti ana silaa za sumu lakini fact ni kuwa alikataa kuendelea kutumika kupigana na iran
Afghanstan ni islamic state km walivyoanzisha somalia
Kwahyo hapa ni either uwe mjinga tukisema tunataka gesi au madini kwa mikataba tunayotaka sisi utupe au ukikataa wewe ni gaidi na support kubwa tunawawpa sisi wenywe kwa kuendeleza slogan yao
Watu wa iman moja wakawa na kasoro moja,ya kuua watu.Tatizo ni iman hiyo na sio watu.Kuushinda ugaidi lazima Pawepo na mapambano juu ya iman hizi
Mkisikia shehe mnakuja huku mbio hadi mnasahau nguo za ndani;
Hao wa kwenu wanapofanya mbona mnakaa kimya.
kinachotakiwa hapa ni ku run background check kwa hawa watu indeep.Alitaja watuhumiwa wengine kuwa ni Abashar Hassan Omar (24)- shekh wa msikiti
Abdulrahman Hassan (41) - Imamu wa msikiti
Morris John Muzi (28) - mfanyakazi wa Benki ya Stanbic Arusha.
Mya take: Ukiangalia kwa makini style iliyotumika kutaja wasifu wa wahusika unaweza uka'note jambo .
Dig deep you will find the hypocrisy behind some religions
unakuta hapa lengo lilikuwa ni kuchonganisha kati ya imani mbili ili amani isiwepo.
Nani sasa ananufaika kwa hili?hilo ndo swali la kujiuliza.
we we ndo unataka kuiharibu hii thread.
Hapa tunajadili mabomu arusha wewe unaweka vifungu vya bible hapa,hivi unadhani ni we peke yako unaejua vifungu vya bible?.
Jaribu kuwa na hekima bana.kama unataka mhadhara wa dini anzisha uzi ama la utaharibu uzi wa muhimu sana.
mkisikia shehe mnakuja huku mbio hadi mnasahau nguo za ndani;
hao wa kwenu wanapofanya mbona mnakaa kimya.
kinachotakiwa hapa ni ku run background check kwa hawa watu indeep.
Mfano huyo mtumishi wa benki usikute pesa ya kufinance matukio ikipitia kwake kwahiyo wanaweza kutrace money transaction na kuweza kujua wapi zinatoka pesa za kufinance hayo.
Hao viongozi wa msikiti ukute wao kazi yao ni ku recruit watu wa kufanya matukio.
We si ulishawahi niambia ni kiongozi wa Kanisa, dah! aisee, ndio maana nilikwambia hilo kanisa unaloliongoza hao waumini sipati picha sijui ni vipi!?Mkisikia shehe mnakuja huku mbio hadi mnasahau nguo za ndani;
Hao wa kwenu wanapofanya mbona mnakaa kimya.
kweli umechanganyikiwa masikini yaani hizo case zako unazisoma label tu content zake zitakushangaza sana ukizijua!!!!
Nakushauri sana utafute taarifa zaid ya hizi propaganda!!!
We si ulishawahi niambia ni kiongozi wa Kanisa, dah! aisee, ndio maana nilikwambia hilo kanisa unaloliongoza hao waumini sipati picha sijui ni vipi!?