hahahhahhahha................mapoyoyo utayajua tuu huwaga hata hamnisumbui.................
stop labeling ndio hawa wamekosa why naming kwamba ni waislam wote?
Ndio Kaka kama ulivyo ukristo ni ushoga. makristo yanafungishwa ndoa za kishoga makanisani. ukristo unafuga ushenzi huu. makanisa yanatumika kuhamasisha ushoga. naamini kuwa kila mkristo anayeenda kanisani basi ni shoga kwa kuwa makanisa yanahamasisha ushoga. tupinge huu ushenzi wa ukristo ili tupambane na ushoga duniani.
Wakristo au kanisa ni wale watu walioamua kufundisha na kufuata mafundisho ya Yesu Kristo yaani Masihi.
Ni ukweli kwamba Yesu ndiye aliyekuja kufundisha ukweli kumuhusu Mungu anayepaswa kuabudiwa.
Yesu alifundisha mafundisho sahihi ya kumjua na kumuabudu Mungu.Hakuna kitabu kinachopinga hilo labda hivi vijarida vya magaidi lakini sio biblia wala kurani.Kwa hiyo kuuhusisha ukristo na Ushoga ni uongo kwani ushoga unafanywa dunia nzima kama dhambi nyingine za wizi ulevi,uzinzi,rushwa,chuki,uuaji,uchawi na kuabudu majini.
Yesu hakuwafundisha wakristo kuhukumu kwa kuua au kulaani kwani hiyo ni kazi ya Mungu. Unaposhika upanga au bomu na kumuua mtu eti ana dhambi inabidi ujiulize nani aliyemuumba shetani na kwa nini ameacha kumuangamza mpaka siku ya kiama?
Watu wanatumia vitabu vya dini na dini vibaya ,iwe kwa waislam,wayahudi au wakristo. Mfano watu wanagombania ardhi wanaingiza udini,wanatafuta kazi wanaingiza udini,wanatafuta madaraka wanaingiza udini.
Mimi ni binadamu ninayependa kutendewa wema bila kuangalia dini.Mtu akipata ajali huwa hachagui mtu wa dini gani aje kumuokoa bali anaangalia binadamu aliyoko mbele yake aje kumuokoa hata kama ni shoga.
Ndugu yangu umezungumzia wakristo na ushoga lakini mimi ninachojua ni kwamba kama ni padri shoga au askofu shoga ni yeye mwenyewe na nafsi yake na hatumii bomu kumshawishi mtu na hawapiti kwenye nyumba za ibada kuhamasisha wale wasio mashoga wauawe .Shoga na basha ni watu waovu wanaotumia vibaya miili yao.
Ushoga ni matendo ya mwili wa mtu yanayosukumwa na tamaa mbaya sio matendo ya kufundishwa kwani hakuna maandiko yanayounga mkono vitendo hivyo.Sijawahi kupita kwenye mitaa nikasikia CD zinazohamasisha vitendo vya ushoga wazi wazi au CD za ushoga zikiwa zinauzwa kanisani.
Kuna jamaa ni Muislam ,alikua analipwa hela na shehe mmoja wa mkoa ambaye ni shoga ili amfanyie vitendo vichafu vya ulawiti.Yule jamaa kila alipohitaji pesa alikua anakwenda kwa Yule shehe shoga.Ni jambo la kweli kabisa.Lakini ni suala la mtu ninafsi na wala hajamwagia mtu tindikali wala kulipua kanisa au msikiti ni tamaa zake mwenyewe haziwanyimi watu wema usingizi wa kulipuliwa na bomu na kuua wasio na hatia.
Jamani ugaidi unatisha kwani huwezi kuukwepa kama huna taarifa.Wazungu walipima na kuchekecha na kuona kuwa ugaidi ni adui namba moja wa usalama wao na sio ushoga kwani kama unaakili yako timamu huwezi kujiingiza kwenye mambo ya ushoga. Hili ni jambo linaloweza kuepukwa na kila mtu.
''' 'Watu wanakosea kwa propoganda za uongo kwa kusema kuwa nchi za magharibi zinahamasisha ushoga lakini ni kwamba nchi za magharibi wanasema na kutetea kilio cha mashoga dhidi ya kutengwa na kunyanyapaliwa kwa sababu tu ya uamuzi wao ambo mara nyingine ni kutokana na kuzidiwa na mivutano ya mtu binafsi na maumbile yake.Hizi nchi zinapinga hawa watu kutendewa ukatili na binadamu wenzao kupitia sheria wanazotunga ktk mabunge yasiyo na dini.Makosa ya ushoga yaachiwe hukumu toka kwa yule aliyewaumba yaani Mungu kama ilivyo dhambi nyingine.''''
Haya ndio mawazo ya watu wenye maarifa na akili za kutafakari na kuvumbua mambo mengi mpaka kwenda mwezini.