tuendelee kujigawa kwa udini, tutaona matokeo yake siku sio nyingi.
Hatujajigawa kidini ila wanaosadikika kufanya ufedhuli huo ni wenye majina hayo.
Wewe ulitaka majina yapi?
Au majina hayo umeshayanasibisha na dini ipi?
Acheni ujinga tusiingilie vyombo vya usalama tuviachie vifanye kazi kwa weledi
hata kama wote waliokamatwa ni waislamu ama wakristo hakuna shida yeyote sheria ichukue mkondo ilimradi tu mtu asionewe au asibambikiwe kesi ambayo si yake.
Huu mzizi tuufumulie mbali kabla haujaenea chini zaidi
Halafu hao wahuni wakuja ndo wanatuharibia Arusha yetu ya amani na upendo.