Mtandao hatari wa mabomu wanaswa

Mtandao hatari wa mabomu wanaswa

Deviant characters wakiwa na kitu kinachowaunganisha kama dini au pombe au bange lazima tuhoji hicho kinachowaunganisha. mf. kinachowaunganisha mateja ni unga. ili kutatua matatizo ya mateja lazima tu address unga. hivyo hivyo uislam kwasababu walipua mabom wote ni waislamu. magaidi wote ni waislam hii inatufanya to deduce kwamba uislam ni tatizo ndani ya jamii yetu. tuuepuke
Na kinachowaponza walio wengi hasa humu jamvini, ni kusapoti kila kinachofanywa na wenzao wa dini hiyo hata kama ni kibaya. Kwa mfano support inayotolewa kwa wapalestina kisa wanapigwa na waisrael na kuacha kukemea Boko haramu eti kwa sababu wanaofanya ni wa dini hiyo. Natamani sana waTZ tungeacha tabia hizo, tukiemee kila baya linalofanywa na whoever bila kujali ni wa imani gani
 
Kwahiyo mkuu unakubali tatizo lipo baadhi ya extremist kutumia uislamu vibaya? Au unakataa hakuna tatizo? Siwezi kusema waislamu wote ni wauaji ila kuna watu wanahuharibu uislamu kwa makusudi au kutokujua.

Nakubali.

Tatizo lipo.

Na nakubali hicho ulichokisema.
 
Alitaja watuhumiwa wengine kuwa ni Abashar Hassan Omar (24)- shekh wa msikiti

Abdulrahman Hassan (41) - Imamu wa msikiti

Morris John Muzi (28) - mfanyakazi wa Benki ya Stanbic Arusha.

Mya take: Ukiangalia kwa makini style iliyotumika kutaja wasifu wa wahusika unaweza uka'note jambo .

Mkuu ndiba.

Nimekusoma vyema sana.

Si unajua kunya aje kuku akinya bata kaharisha??
 
Hivi Waisrael wanaabudu dini gani?please I am serious,siijui dini ya majority ya waisrael

Yaani hawataki hata kusikia neno JESUS!
Ukisema JESUS WANAINGIZA VIDOLE 2 kooni ili watapike
 
Naukataa huu utafiti wako, si kweli kama ulivyo andika hapo nilipo "Bold" nyekundu. maelezo yako ulianza vizuri, kama ulivyoelezea wala unga, hapo umewaunganisha na Waislamu wote, hao jamaa pamoja na kuwa wana dini ya Kiislamu, lakini wana kitu kinachowafanya wawe na tabia waliyonayo. Endelea kutafiti.

wachaga na warangi je?
 
Waislam lini mtaacha hii tabia yenu mbaya ambayo ipo kinyume na Sheria za Mungu?
 
Tatizo mnaamini sana "dini" na "labeling" !!!!!

Deviants lazima watoke miongoni mwa jamii
Tatizo ni dini ya Kiislamu na sio vinginevyo. Majina ya wahusika na nyadhifa zao ni DNA tosha.
 
sasa wewe ------, kwa hiyo ukristo ni ushoga kwamaana ndoa za mashoga zinafungiwa makanisani. ili kupambana na ushoga ni lazima tupambane kwanza na ukristo, ukristo ni ushenzi unaofuga mashoga.

Mombasa wanakaa watu gani nasikia chimbuko lake (ushoga) ni huko!
 
Na kinachowaponza walio wengi hasa humu jamvini, ni kusapoti kila kinachofanywa na wenzao wa dini hiyo hata kama ni kibaya. Kwa mfano support inayotolewa kwa wapalestina kisa wanapigwa na waisrael na kuacha kukemea Boko haramu eti kwa sababu wanaofanya ni wa dini hiyo. Natamani sana waTZ tungeacha tabia hizo, tukiemee kila baya linalofanywa na whoever bila kujali ni wa imani gani

Ni Kweli ndg, n lazima tupambane na hawa ma padree na maaskofu wanaofungisha ndoa za mashoga makanisani. makasisi wameona kuwa ni dili kuwalawiti watoto wa kiume. vinginevyo ukristo wetu utakuwa kama kijiji cha mashoga na makahaba.
 
Can we really blame Islam for all of this mess that's been happening because Islam is undoubtedly a religion of peace.It is not fair to judge Islam blindly based on the actions of the terrorists.
But all of the terrorist groups are muhammadic and worship Allah and read the diabical book of Jibr. Give me one reason why I shouldn't blame them.
 
Hawa wauaji wa Arusha wanalitendea vyema agizo ili
Mungu anaagiza kiumbe chake kipige kiumbe kingine, ingawa viumbe vyote kaviumba yeye, na anaendelea kuumba kafir

Sura 9:123
Enyi mlio amini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na jueni ya kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wacha- Mungu.

Sura 2:191
Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.

Asante kwa post yako
 
islamic extrimist ni tatizo kubwa sana, mbona wapo waislam..wapenda amani, ila hao wanaojifanya jihadist wanataka kuwalazimisha watu waaishi wanavyotaka wao kitu ambacho hakiwezekani.....misikiti mingine wao wakihubiri ni matusi na kashfa kwa dini zingine mfano msikiti mtambani wa kinondoni..kilaa ijumaa ni balaaa, wana support ujingaa unaofanywa na hao ma extrimist
 
Mombasa wanakaa watu gani nasikia chimbuko lake (ushoga) ni huko!

Tangu lini umesikia ndoa ya mashoga msikitini!, ndg yangu mimi mwenyewe ni mtu wa kanisa sana lakin siwez kuvumilia ushenzi huu unaofanywa makanisani. inaonekana kabisa kanisa kuwa kama jumba la shetani ambapo matendo ya kishetani yanafanyikia.
 
kumbe huna taarifa kuwa bush kalipua watu kama milioni moja kule irag?.
Na milioni tena kule afghnstan.na wengine wakaripua
Milion tena kule vietnam.
Bila kusahau malaki ya watu kule hiroshima.
Ama we kuripua maanake mpaka utumie bomu la kujifunga kiunoni?
Please man.

Unazungumzia taifa la marekani na Waisrael mkuu sio mtu mmoja mmoja au kikundi ktk jamii! Na hata Kama marekani wanaua watu, is it the same reason extremist Muslims kills people? Maana hujakataa au kukubali kuna wendawazimu waislamu wanaua watu rather than trying to look the other side! Kwahiyo Kama marekani wanaua watu ni sahihi kwa wendawazimu waislamu kuua watu pia? Maana The Big show amesema kuna sheikh mafundisho yake yana chuki na hayafai Kwan yanachochea mauaji! Kuna padre anafundisha chuki? Kukataa kwamba kuna tatizo hakusaidii na wala sio suluhisho.
 
nini maana ya islam...........? maana yake dini ya amani si ndiyo
 
My dear you are either trying to be nice, au you are in denial maana ukweli is so ugly. Msome jamaa hapo juu aliyepoint out kuwa watu wa imani ile Ile wakifanya Yale Yale unategemea nini?

Recruitment inafanyika wapi? Angalia Yule shehe wa msimamo wa Kati wanavyojaribu kumuua.

Of course si wote tena ni wachache sana, lkn hao wachache wana sauti na wanafanya madhara makubwa.

Ni kweli Kaunga tuwe wazi tu tuache kujitoa ufahamu...
ivi yule sheikh aliyeamuru kuwa waislamu wakiuawa (na polisi) wao wakamate padre, askofu au kadinali auawe alifanywa nini? Kwanini tusiamini ndio utekelezaji wa hizo kauli?Ni lazima tuwe na ujasiri wa kukemea waovu na katika hili ningalitememea kuwa waislamu walio wengi wangekuwa mstari wa mbele kukemea na kulaani hayo matamshi. Gazeti la Alnoor kila ijumaa limejaa uchochezi, shari na siasa tupu....Hebu linganisha na magezaeti kama Nyakati Tumaini Letu na Kiongozi yanachoandika? Tumewaona wapi hao waislamu walio wengi wakisimama na kukemea haya ya hao wenzao wachache?

Katika hili siwezi kumuelewa yeyote anayewatetea wakati wapo silent wakristo wanapopigwa mabomu na kumwagiwa tindikali. Hao wanaowatetea wanajua idadi ya makanisa ambayo yamekwishachomwa moto hapa Tanzania pekee? Tusijitoe ufahamu kama hatuoni kwa vitendo wakikemeana wao kwa wao na maandamano kama walivyofanya juzi kati kulaani kuuwawa kwa wapalestina.. Tusipoona waislamu wakisimama na dhahiri na kuonya vitendo hivi na hata kwa kauli zao humu jukwaani tutaendelea ku associate dini hiyo na haya yanayoendelea period.
 
Last edited by a moderator:
kuna wakati fulani kuna jamaa yangu tena ni muislam ashatuambiagaaa hivi...namnukuu, baadhi ya sisi waislam ni tatizo kubwa sana sahvi katika ulimwengu huu kwa sasa, maana wanafanya vitu tofauti kabisa na dini inavyosema..ila wengi wao hao wanafanya kimaslahi yaani kwao ni kama kupata fedha tu...hawana maana yoyote katika uislam, nimemaliza kum nukuu
 
huo ulikua ni mfano tu,kwani haitakuwa ajabu ukakuta wanatekeleza ajenda ya nchi haitatawalika kama nilivyodokeza kuwa isis wanatumika na marekani ambao si islam.hawa wa arusha usione ajabu ikaja fahamika wanatumika na cdm.

Gotcha!!!!
 
Back
Top Bottom