yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,104
Ni vita ya chadema huru na CDK.
Zitto unastahili kupewa urais hata bila kupigiwa kura.Kijana unaweza sana wewe
ushabiki wa kipumbavu kabisa..
Ni vita ya chadema huru na CDK.
Zitto unastahili kupewa urais hata bila kupigiwa kura.Kijana unaweza sana wewe
wameshaumbuka mbona na wanasaka roho yake wamuue
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
Wewe gamba chama nimeshakuambia kajifunze kujenga hoja upo chini sana mkuu na kukaa kote USA kwa hela za ufisadi kutoka kwa baba yako haijasaidia kitu
Bibi chama kajifunze kujenga hoja naona unakuwa Kama sisi wakina wamama unaropoka utafikiri upo kitchen party inaelekea wewe siyo riziki ndio maana muda wote unajipendekeza kwa wanaume wenzako Mara Ritz au Mara Matola inaelekea USA walikuwa wanakuchapa naowewe mtoto wa kiume mama toto kujiita jina la kike na kuweka picha ya mwanamke unaashiria kitu gani? vijana wa kiume chadema mtaendelea kufadhiliwa na wanaume wenzenu mpaka lini? Mnatupa mashaka makubwa sana; padiri alivua joho la achungaji shauri yenu! Na wewe unafadhaliwa na bwana gani hapo mjini?
Chama
Gongo la mboto DSM
CC: Ritz; Matola
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
Hili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.Wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo MCHAGA wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
Mimi mwanamke lazima niwe na bwana Kinachonishangaza ni wewe mtoto wa kiume kugombania mabwana na sisi ndio maana nimekuambia USA walikuwa wanakuchapa nao
Mama yako huwa tunakutana kwenye vikao vyetu na huwa anasema bila kificho ulianza kuchapwa nao ukiwa na umri wa miaka 10 sasa nafikiri umeshakubuhuMwanamke gani amekaza? wanawake wana lugha zao; akiandika mstari mmoja unajua huyu mwanamke; wanawake wa kweli saa hizi wapo vitandani wanaliwazana na waume zao; mtoto wa kiume masahibu gani yamekupata mpaka unaukana uanaume wako? Mambo hayo yamekatazwa sana na mtume Paulo; rudi kwa Mungu wako
Chama
Gongo la mboto DSM
cc: Ritz; Matola
Mimi mwanamke lazima niwe na bwana Kinachonishangaza ni wewe mtoto wa kiume kugombania mabwana na sisi ndio maana nimekuambia USA walikuwa wanakuchapa nao
Nakala ilikokwenda ndio washiriki wkao wakuu kumchafua zitto,But the man is smart.
Yote ulioandika hapa ni tamthiliya zile zile mlizotunga nyie na kundi lenu la CDK
Zitto yuko fit,huwezi mlinganisha na waliokimbia shule akina mbowe,dogo anajua kujenga hoja! Na hata akisimama bungeni kila mtu huwa makini kumsikiliza!
Mama yako huwa tunakutana kwenye vikao vyetu na huwa anasema bila kificho ulianza kuchapwa nao ukiwa na umri wa miaka 10 sasa nafikiri umeshakubuhu
Mbona ueleweki wewe majuzi ulisema humu jamvini kuwa mwaname leo tena umebadilika...
Mkuu chama, mambo ya Gene Robinson hayo wanaume kama mabinti, achana naye huyo.