Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

Kwa pesa hiyo nakodisha shamba hekari 5 nalima mahindi na maharage, Kukodisha shamba Tsh 200,000/=
Naandaa shamba kwa Tsh 300,000/=
Mbolea nanunua kwa Tsh 300,000/=
Mbegu nanunua Tsh 200,000/=
Gharama za kupanda Tsh 200,000/=
Kupalilia ×2 Tsh 200,000/=
Kuvuna Tsh 200,000/=
Jumla kuu 1,600,000/= unabaki na laki nne ya kulinda mfuko.
Ndani ya miezi 3 utavuna maharage si chini ya gunia 5 @Tsh120000~150000/=kwenye maharage utapata Tsh 500,000/=~700,000/=
Baada ya miezi 4 kwa hekari 5 utavuna gunia 70~90 kutegemeana na eneo la shamba.
Tufanye upate gunia 75 yaani kila hekari moja itoe gunia 75, gunia moja uuze kwa Tsh 50,000/= unapata million 3.5 ndani ya miezi 4 faida Tsh 2M.
Toa ushauri kulingana na location.

Huo ushauri hauendani na mkazi wa jiji la Dar, kilimo hukohuko porini.
 

Fata huu uzi , kama Una akili timamu ukitaka utoboe chap na Una nidhamu ya Hela ni DSM pekee , huko kwingine utachakaa tuu boss , walioko Dsm ndo wanashikilia uchumi wa mikoani pia ....
 
Kwa pesa hiyo nakodisha shamba hekari 5 nalima mahindi na maharage, Kukodisha shamba Tsh 200,000/=
Naandaa shamba kwa Tsh 300,000/=
Mbolea nanunua kwa Tsh 300,000/=
Mbegu nanunua Tsh 200,000/=
Gharama za kupanda Tsh 200,000/=
Kupalilia ×2 Tsh 200,000/=
Kuvuna Tsh 200,000/=
Jumla kuu 1,600,000/= unabaki na laki nne ya kulinda mfuko.
Ndani ya miezi 3 utavuna maharage si chini ya gunia 5 @Tsh120000~150000/=kwenye maharage utapata Tsh 500,000/=~700,000/=
Baada ya miezi 4 kwa hekari 5 utavuna gunia 70~90 kutegemeana na eneo la shamba.
Tufanye upate gunia 75 yaani kila hekari moja itoe gunia 75, gunia moja uuze kwa Tsh 50,000/= unapata million 3.5 ndani ya miezi 4 faida Tsh 2M.

Motivesheni spika kama motivesheni spika.
 
Kwa pesa hiyo nakodisha shamba hekari 5 nalima mahindi na maharage, Kukodisha shamba Tsh 200,000/=
Naandaa shamba kwa Tsh 300,000/=
Mbolea nanunua kwa Tsh 300,000/=
Mbegu nanunua Tsh 200,000/=
Gharama za kupanda Tsh 200,000/=
Kupalilia ×2 Tsh 200,000/=
Kuvuna Tsh 200,000/=
Jumla kuu 1,600,000/= unabaki na laki nne ya kulinda mfuko.
Ndani ya miezi 3 utavuna maharage si chini ya gunia 5 @Tsh120000~150000/=kwenye maharage utapata Tsh 500,000/=~700,000/=
Baada ya miezi 4 kwa hekari 5 utavuna gunia 70~90 kutegemeana na eneo la shamba.
Tufanye upate gunia 75 yaani kila hekari moja itoe gunia 75, gunia moja uuze kwa Tsh 50,000/= unapata million 3.5 ndani ya miezi 4 faida Tsh 2M.
Mkuu, umefanya analysis nzuri sana ila kuna vitu hujaviweka sawa...Kwanza mtaji wake ni 1.7 sio 2m...Maana yake hawezi tumia 1.6 akabaki na 400k kama akiba....chapili, umemwambia side moja ya biashara bila kumwambia side nyingine...my point is..Expectation is not reality...hapo kuna weather fluctutations, pia kuna unforeseen situations plus kubadilika kwa bei sokoni...

Kiufupi, kijana aanze na biashara ila ahakikishe hatumii hela yote..ni bora akaanza na biashara ya 400k halafu 1.3m ikabaki kama akiba...kuna kesho mkuu.
 
Nimeweka akiba imefika milion 1.2
Naomba ushauri biashara ya kufanya ambayo itaniingizia japo faida ya elfu 10 kwa siku.

Screenshot_20201123-095136_Messages.jpg
 
Safi,
1. Kibanda cha chipsi na mishikaki.

2. Biashara ya Kuuza Mashuka ya Mitumba.

3. Mini Stationery
Mfano:
Kodi: Tsh 300,000
Desktop:Tsh 250,000
Meza 2: Tsh 100,000
Printer hp 2130: Tsh 100,000
Peni, Bahasha, Gundi, Stapler, Punch, A4 Rims: 50,000
Viti vya plastiki 3: Tsh 39,000
Mbao za kuwekea bidhaa ukutani: Tsh 60,000
Madaftari, Counter books, modem ya internet: 100,000

Anza na hivyo hapo unaweza kubaki na 100,000 au 150,000 maana tunashumu kwenye kusafirisha vitu unaweza ukatumia 50,000 hadi 100,000

Hiyo iliyobaki weka pembeni kwanza.
 
Kwa pesa hiyo nakodisha shamba hekari 5 nalima mahindi na maharage, Kukodisha shamba Tsh 200,000/=
Naandaa shamba kwa Tsh 300,000/=
Mbolea nanunua kwa Tsh 300,000/=
Mbegu nanunua Tsh 200,000/=
Gharama za kupanda Tsh 200,000/=
Kupalilia ×2 Tsh 200,000/=
Kuvuna Tsh 200,000/=
Jumla kuu 1,600,000/= unabaki na laki nne ya kulinda mfuko.
Ndani ya miezi 3 utavuna maharage si chini ya gunia 5 @Tsh120000~150000/=kwenye maharage utapata Tsh 500,000/=~700,000/=
Baada ya miezi 4 kwa hekari 5 utavuna gunia 70~90 kutegemeana na eneo la shamba.
Tufanye upate gunia 75 yaani kila hekari moja itoe gunia 75, gunia moja uuze kwa Tsh 50,000/= unapata million 3.5 ndani ya miezi 4 faida Tsh 2M.
Hahahaha kilimo cha WhatsApp
 
Ushauri huu hapaaa...January nenda veta...kasomee welding...Ada 400000...ni miezi mitatu Tu.....ni short kozi...uzuri NI kwamba inaanza mchanaa miss ya saw Tisa....so kwa asubuhi tafuta kijiwe cha kuuza miogo.,......mpaka Sasa Saba utakuwa umepata pesa ya nauli na hata ya Kula...pia na Kodi juu ndani ya miezi mitatu...baada ya kupata ujuzi wako... Kumbuk wakati huo pesa nyingine ilipaki uliyopewa umeweka benk....baada ya kumaliza kozi.....Rudi kwenu mkoani ukiwa tayali na ujuzi wakoo....au Baki bongo uanze Maisha....ninja mashine yako ya welding na vifaa vyote.....utakuwa umetumia kama 70000....tafuta eneo la wazii anzisha hudumaa ya welding.......faida yake.....utakuwa umepata ujuzi wa kudumu....pili Maisha ya uwakika....umejiajilii....mtaji hautopotea....lakinii ukienda tofauti hapoo biashar hauna uzoefu nayo na mtaji utapoteaaa.....wape salaaaaamm...



Bonge la wazo
 
Faida hiyo inapatikana kabisa tena kwa miezi Minne ni mingi sana mimi kwa mtaji wa 1.5M kwa mwezi natengeneza faida ya 1M
Kilimo akiwa na passion na kidogo uzoefu, anatusua ila akiwa legelege hajifunzi, hajitumi, hajui palizi, hajui kupunguzia mimea, hajui wapi kutupia mbolea.. hiyo hela ataizika!

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
ILakini si wanasema kuna bima za mashamba,usipopata mavuno wanakulipa hela?
Mmmh! Mambo ya siasa biashara, wajanja wanakokatia bima, ni maeneo yenye uhakika! Ni mazao yanayoeleweka. Watakuambia sisi ni shayiri na mtama wa breweries tu ndiyo tunakatia bima.

Everyday is Saturday.............................😎
 
Biashara ambayo haitakulaza njaa kwa huo mtaji wako, Nenda sokoni kwenye maduka ya jumla yanayouza yebo yebo za bei rahisi zinaanzia 1,600 kwa pcs 1 ukifika unapouza uuze kwa 2,000. Kwa haraka haraka ukiwa mwepesi katika hio hela, kitendo cha kununua tu na kufikisha sokoni hela yako itakua imeongezeka 4k kwa mzunguko mmoja tu ambao hauzidi siku chache.
 
Back
Top Bottom