Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

Safi,
1. Kibanda cha chipsi na mishikaki.

2. Biashara ya Kuuza Mashuka ya Mitumba.

3. Mini Stationery
Mfano:
Kodi: Tsh 300,000
Desktop:Tsh 250,000
Meza 2: Tsh 100,000
Printer hp 2130: Tsh 100,000
Peni, Bahasha, Gundi, Stapler, Punch, A4 Rims: 50,000
Viti vya plastiki 3: Tsh 39,000
Mbao za kuwekea bidhaa ukutani: Tsh 60,000
Madaftari, Counter books, modem ya internet: 100,000

Anza na hivyo hapo unaweza kubaki na 100,000 au 150,000 maana tunashumu kwenye kusafirisha vitu unaweza ukatumia 50,000 hadi 100,000

Hiyo iliyobaki weka pembeni kwanza.
Kwa hio pc na printer utakua unayumba at least aanze na ile printer ya laki nne
 
Hii ya matunda ni nzuri ila anatakiwa awe na kijana wa kumtuma atembeze kwenye ofisi mbalimbali ndio atapata wateja,akikaa sehemu moja stationery atapata hasara
Ya kwenye matunda hapo UTAONA mwanga anzia hapo katakata matunda changanya uza plate moja 1000 hutojuta
 
Hii ya matunda ni nzuri ila anatakiwa awe na kijana wa kumtuma atembeze kwenye ofisi mbalimbali ndio atapata wateja,akikaa sehemu moja stationery atapata hasara
Kwa vile anaanza kijana asiweke kwanza Alisha zoeleka eneo analofanyia kazi ndo aweke kijana maana akiweka kijana sasa hivi na biashara haijashka Kasi na kijana anahitaji malipo haitakuwa poa matumizi yatakuwa makubwa.
 
Safi,
1. Kibanda cha chipsi na mishikaki.

2. Biashara ya Kuuza Mashuka ya Mitumba.

3. Mini Stationery
Mfano:
Kodi: Tsh 300,000
Desktop:Tsh 250,000
Meza 2: Tsh 100,000
Printer hp 2130: Tsh 100,000
Peni, Bahasha, Gundi, Stapler, Punch, A4 Rims: 50,000
Viti vya plastiki 3: Tsh 39,000
Mbao za kuwekea bidhaa ukutani: Tsh 60,000
Madaftari, Counter books, modem ya internet: 100,000

Anza na hivyo hapo unaweza kubaki na 100,000 au 150,000 maana tunashumu kwenye kusafirisha vitu unaweza ukatumia 50,000 hadi 100,000

Hiyo iliyobaki weka pembeni kwanza.
Nakazia hapa kwenye hizo biashara mbili.
1.Kuuza chipsi-Hii haina stress sana utahangaika ule mwezi wa kwanza wakati unasubiria kuzoeleka na wateja wakishakujua basi unapeta na ukishakuwa na vile vifaa kununua viazi sio ishu laki 1 unapata gunia zima.

2.Na hiyo ya mashuka pia ni nzuri ukijia location nzuri ya kupeleka kama maofisini na kuwatembezea mitaani ina faida kubwa.

Kule tandika mashuka yanauzwa elfu 5 tu ukija nayo mtaani unauza hadi elfu 15.
Hiyo ya stationery hapana simshauri afanye kwa mtaji huo,labda kama hiyo fremu ipo ndani ya shule hapo sawa anaweza kuishi kwa kutoa photocopy tu kwa wanafunzi.

Ila mtaani itamsumbua atahangaika nayo miezi 6 kodi ikiisha tu basi ndio itakuwa mwisho wa biashara hatoweza kurenew mkataba wa pango.
 
Nakazia hapa kwenye hizo biashara mbili.
1.Kuuza chipsi-Hii haina stress sana utahangaika ule mwezi wa kwanza wakati unasubiria kuzoeleka na wateja wakishakujua basi unapeta na ukishakuwa na vile vifaa kununua viazi sio ishu laki 1 unapata gunia zima.

2.Na hiyo ya mashuka pia ni nzuri ukijia location nzuri ya kupeleka kama maofisini na kuwatembezea mitaani ina faida kubwa.

Kule tandika mashuka yanauzwa elfu 5 tu ukija nayo mtaani unauza hadi elfu 15.
Hiyo ya stationery hapana simshauri afanye kwa mtaji huo,labda kama hiyo fremu ipo ndani ya shule hapo sawa anaweza kuishi kwa kutoa photocopy tu kwa wanafunzi.

Ila mtaani itamsumbua atahangaika nayo miezi 6 kodi ikiisha tu basi ndio itakuwa mwisho wa biashara hatoweza kurenew mkataba wa pango.
Mashuka wanakopa sana wanakula buku buku cash hawana
 
Safi,
1. Kibanda cha chipsi na mishikaki.

2. Biashara ya Kuuza Mashuka ya Mitumba.

3. Mini Stationery
Mfano:
Kodi: Tsh 300,000
Desktop:Tsh 250,000
Meza 2: Tsh 100,000
Printer hp 2130: Tsh 100,000
Peni, Bahasha, Gundi, Stapler, Punch, A4 Rims: 50,000
Viti vya plastiki 3: Tsh 39,000
Mbao za kuwekea bidhaa ukutani: Tsh 60,000
Madaftari, Counter books, modem ya internet: 100,000

Anza na hivyo hapo unaweza kubaki na 100,000 au 150,000 maana tunashumu kwenye kusafirisha vitu unaweza ukatumia 50,000 hadi 100,000

Hiyo iliyobaki weka pembeni kwanza.
Mashuka ya mtumba mikopo sana wanakopa mno watu
 
Mtaani ni pagumu mkuu,ni kweli wengi wanapenda kukopeshwa ndio maana nikasisitiza akiwa na sehemu maalum za kupeleka kwa mfano kwenye maofisi kama shuka inauzwa elfu 15 kwa cash,ukimkopesha atalipa elfu 25 mwisho wa mwezi.
Ila mitaani ni stress hadi chupi za elfu 3 wanakopa
Mashuka wanakopa sana wanakula buku buku cash hawana
 
Mtaani ni pagumu mkuu,ni kweli wengi wanapenda kukopeshwa ndio maana nikasisitiza akiwa na sehemu maalum za kupeleka kwa mfano kwenye maofisi kama shuka inauzwa elfu 15 kwa cash,ukimkopesha atalipa elfu 25 mwisho wa mwezi.
Ila mitaani ni stress hadi chupi za elfu 3 wanakopa
Kweli boss watu wanakopa hata kitu cha bei ya chini walipe buku buku ila mkopo kujichekewesha tu.
 
Another thing.

Kuna eneo linaitwa Vwawa liko mkoa wa Songwe. Unaweza kununua ndizi, mkungu 2,000, ukaleta dsm na kuuza kwa bei nzuri tu ukapiga pesa.
Mbeya nzima sehem inayojulikana kwa kilimo Cha ndizi ni tukuyu mzee
 
Habari wadau..!

Kama kichwa kinavyojieleza naomba mchanganuo wa biashara inayo trend kwa ss ambayo inafaida na mzunguko mkubwa hapa jiji la mzee Nenge.

Watu wa Qnet,Forex hamna maajabu mtuache kwanza.

Asanteni..!
 
Back
Top Bottom