Aaah has Zuu huyoo.👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼
Kwahiyo mbususu haina maana!Hebu acha masikhara kwenye vitu vya msingi basi.
Khaaaah
2 na 3 wanafanya kazi sawaUnatafuta watu wa 6 tofauti wawe ndani ya mtu mmoja.
1. Graphic designer
2.Software developer
3. Mobile app developer
4. Bloger
5. Photographer
6. Videographer
Aliniambiaga ulikua unammuomba hela kwa kufosi, asipokupa ulikua unamnunia😅😂😂😂😂😂 Nimecheka hadi kutaka kutapika.
Sijawahi kuomba vocha za jero kwa huyo, nilikua naomba hela, ila kulingana na kazi yangu kwake.
Uchawa bila malipo?? We ulisikia wapii??
Vipi sahivi hujasikia naomba kwa nani?? Au files hazijafika masijala kwako??
😂😂😂😂😂 mabwakuuu!!!
😂😂😂😂😂😂 sijawahi kuwa na maisha magumu kiasi cha kukosa bundle la jero.Aliniambiaga ulikua unammuomba hela kwa kufosi, asipokupa ulikua unamnunia😅
Amekusaidia sana, ulikua na maisha na maisha magumu mnoo
Sijasomea kaka ni tools tuu nilikuwa nazo za kutosha😃😃Selikavu kwani haujasomea graphics ? nilionaga Kuna kipindi ulitumia utaalamu wa graphics kumpiga spana Intelligent businessman
Hili la kukusaidia usipinge, kakusaidia sana. Tatizo lako ulikua unamzunguka unawataka wapenzi wake, msaada ukakata😁😁😂😂😂😂😂😂 sijawahi kuwa na maisha magumu kiasi cha kukosa bundle la jero.
Anisaidie mie wakati yeye ndo alokua anasaidiwa kuuguziwa mzazi wake, sasa angekua na huo uwezo angehitaji msaada kwa watu wengine???
Nimnunie kisa hajanipa vocha tena ya jero? 😂😂😂😂😂
Em kaa nae vizuri akuambie zaidi, kuna script hajakupa.
SAMAHANI waakuu MPAKA HAPO inaonekana mnajuana na Kuna Siri KIBAO tafadhali msimwage Michele kwenye kuku wengi😂😂😂😂😂😂 sijawahi kuwa na maisha magumu kiasi cha kukosa bundle la jero.
Anisaidie mie wakati yeye ndo alokua anasaidiwa kuuguziwa mzazi wake, sasa angekua na huo uwezo angehitaji msaada kwa watu wengine???
Nimnunie kisa hajanipa vocha tena ya jero? 😂😂😂😂😂
Em kaa nae vizuri akuambie zaidi, kuna script hajakupa.
You can do all that by yourself, lipia Gemini Pro or ChatGPT 5, it’s cheaper and you’ll get perfect work, better than any human, fast and on time, huhitaji kuajiri mtu hizo kazi, or if you hire someone make sure he/she knows how to use AI toolsHey Wana JF
Nina uhitaji wa mtu mwenye ujuzi wa computer science na software engineering.
Awe na weledi katika masuala haya.
Blogs,
Apps,
Logos designs,
Wallpapers,
Photography,
Broadcasting Network.
Muhusika mwenye sifa tajwa na mwenye utayari, naomba aje PM. kwa mawasiliano zaidi.
.....
😂😂😂😂😂 cantry huu uzi hauhusu haya unayoleta hapa, naona km unataka vile kunichokonoa ili niongee mengi.Hili la kukusaidia usipinge, kakusaidia sana. Tatizo lako ulikua unamzunguka unawataka wapenzi wake, msaada ukakata😁😁
Hilo la wazazi haliwezi kuwa kweli, walimu wote wana bima ya afya pamoja na wazazi wao. Acha kuunga story
Unazuga tu, hauna mengi yoyote. Umesaidiwa sana alafu ukawa unamzunguka😁😁😂😂😂😂😂 cantry huu uzi hauhusu haya unayoleta hapa, naona km unataka vile kunichokonoa ili niongee mengi.
Basi ni hivi, nilikua maskini choka mbaya hoe hae, nilisaidiwa na watu, na leo nimejipataaa.
Tubaki na lengo la uzi unavyohitaji.
Ishi humo.
Unashingapi nikupe mtu akufanyie huduma ya 5 starHey Wana JF
Nina uhitaji wa mtu mwenye ujuzi wa computer science na software engineering.
Awe na weledi katika masuala haya.
Blogs,
Apps,
Logos designs,
Wallpapers,
Photography,
Broadcasting Network.
Muhusika mwenye sifa tajwa na mwenye utayari, naomba aje PM. kwa mawasiliano zaidi.
.....