Mtaa wa kwa Kindande Temeke visa vyake

Mtaa wa kwa Kindande Temeke visa vyake

Hayo maeneo nimeishi zaidi ya miaka 12 hadi nahamia Mbezi kimara 2011,kona zote nazijua,kuna mkabaji mmoja alikuwa anaitwa Haile wanannchi baada ya kumchoka siku moja walimchinja kama kuku na kutenganisha kichwa na kiwiliwili,siku nyingine wanannchi wakachoma vibaka watatu kwa mpigo pale kwa Mchei, basi jamaa mmoja alikuwa na haice akawa anakanyaga zile maiti kwa gari da umenikumbusha mbali
Haile Selassie yule ailikuwa jau
 
Hahaha niliwahi kutoka na demu mmoja hivi alikuwa ana ishi manzese dah (kuhangaika huku ).......

Sasa bwana kumbe kale ka -manzi kali kuwa ni type ya papuchi for sale. ..mimi nilikutana nae usiku -area za kituo cha mwendo kasi tiptop so sikuwa nimeibaini Tabia yake kwa haraka. ...tuka badilishana contact.

Ghafla kesho palivyo kucha tu -- kaka Anza kunisumbua ili tuonane. ..Kwakuwa ilikuwa weekend nikampanga tuonane time za mchana '"..nilikuwa free --

Basi tu kaenda lodge fulani tukamalizana huko ---- kisha kila mtu akafuata njia yake (but nilimpa pesa ) baada ya hapo tukawa tuna wasi liana kwa muda kama wa siku 2 akanipiga mzinga mwingine wa hela ....Nikawa nampotezea ..Basi bwana ' siku 1 jioni akanipigia simu kwa namba ngeni kumbe amewakusanya rafiki zake kibao wacha wanitukane. .. dah! !! Nikakata simu
Nirushie no yake PM nianzie ulipoishia
 
Hahaha huu mtaa ujanja wangu wote ikifika saa moja ucku sitembei kabisa maeneo hayo
 
Back
Top Bottom