Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,955
- 8,144
- Thread starter
- #121
Zile nyumba kubomolewa pamesaidia kiasi flani hila pamegeuka sehemu ya kuvutia bangi na kubanjuanaTena kulikuwa kunatisha zaidi pale temeke mwisho enzi hizo kuna nyumba za kota asee kule ni balaa
