Mtaa wa kwa Kindande Temeke visa vyake

Mtaa wa kwa Kindande Temeke visa vyake

Na wakumbuka sana hakina mpayage na heri ngwaya na marehemu chief pusha maarufu kombola
Wale jamaa kupasuana kwa chupa ya bia ilikuwa kwao kawaida....Pale manoti upande wa pili kulikuwa na ofisi za Chauma kuna raia walikuwa wanapenda cheza kamari kila siku defender linaingia(wenyewe wanaliitaga farasi mweupe) Basi wakikimbia wanaachaga hela sisi kazi yetu kwenda kuokoteza hahaa
 
Aisee niliishi huko miaka kama 10 iliyopita. .hakuna raha yoyote zaidi ya Ku adopte Tabia za ajabu ajabu. ....Kuna watu Wana mambo ya ajabu uswahilini we acha tu. ...
Uliishi kumbe mkuu,haahaa off course sehem kama zile mtoto kuadapt ni rahisi sana....
 
Nilikuwa natoka zangu kwa Aziz mida ya saa mbili mwaka jana mwezi wa 5 kuna kajamaa akajui kuwa kupita Lebanon unapita kama upepo kapo kana chat jamaa kakakaba kakapokonywa simu kakanifuata brother nisaidie nikamwambia kaangalie kama bado yupo walitoka kama kumi wamemshikia mapanga sikujua amepitia wapi..
Haahaa aliingia sehemu siyo,kuna sister wangu nae alishawah lizwa ela ya msingi wa biashara alikuwa anaenda tandika hahaa
 
Mitaa hiyo unanikumbusha mbali sana enzi ,game uwanja wa tandika mabatini mateja kibao hapo zinacheza timu moja inaitwa weilas vs jumba
Ilikuwa balaa kipindi icho kwa kindande yote mpaka muembe madafu ni vurugu
Jumba FC hahaa,asahivi pana baa pale inaitwa La Azizi....anayeimiliki ile bar ndo anayeimiliki ile ya Kombola
 
Vingi tu. .kimoja wapo. Nikuto ya babaikia mahusiano. .yaani huwa mapenzi haya niyumbishi kabisa. ..
If nikiwa in luv then gal wangu akaniambia let's breakup --na mjibu sawa. .Bila kumu onyesha tension yoyote ile.
Basi tumefaidika sawa mkuu,maana hata mimi kuna girl aliniambia hivyo nikamjibu short tu "poa" bas ........
 
Back
Top Bottom