Msuya atueleze aliko Sokoine

Msuya atueleze aliko Sokoine

Hallucinations ni uchawi? Mambo mengine yanahitaji jitihada binafsi kuelewa siy lazima yawe kwenye syllabus ya shule bwana.

Naomba usiweweseke. Ukitulia inaleta sense kuliko unavyotaka ku punic. Kwani wewe unajihami nini? Vifo vingapi vya watu duniani vinachunguzwagwa baada ya miaka mingi kupita? Tunapoulizana yahusuyo kifo cha sokoine wewe hutaki yaongelewe, kwa sababu gani?

Sasa nani anachafuliwa hapa na nani anamchafua? Nimekuambia nani alimuua sokoine ama umenisikia nimesema alikufa kifo cha namna gani?

Acha watu wajadiliane. Hakuna ubaya katika hilo. Lakini ukweli utasemwa siku zote kwamba Sokoine hakupimwa morogoro hospital kujua kama alifika pale ameshakufa ama alikuwa hai!.

Hili ninalijua. Maswali mengine bwana. Unataka nisemeje? Wenye ufahamu wameshaelewa. Unajuaje kama sikuwepo Morogoro wakati Dr. Materu anaambiwa hana sababu ya kupima?

Jifunze kuwa msikivu kuliko kubisha masual usiyoyajua!.


Ukiambiwa uthibitishe kuwa mwili ulikuwa na matundu ya....utakubali!!? Au wewe ndiye ulihusika kwenye Postmortem. Halafu Je mlikuwa wapi kumuuliza Julius maana ndiye alikuwa Mkulu kabisa. Je ni nani alikuwa IGP, Intelligence chief , Home Affair minister nk.
Nasema mna imani za kichawi kwa kuwa kati ya hoja zenu eti kwavile alikuwa anapata mauzauza.!!! Sasa hii inahusika vip.!!!? NDIO MAANA NASEMA TOKENI HUKO kwenye fikra za ajabu ajabu.
Otherwise mpo hapa KISIASA ZAIDI. but be very careful unapoamua kumchafua mtu huwa inarudi na wewe ipo siku utahusishwa na kifo cha mtu hata kama hujahusika. ACHENI SIASA MAJI TAKA
 
Mkuu Tabby, shukrani kwa madini unayotupatia....ila kuna watu wanajaribu kukufunga mdomo! Wadharau na endelea kutupa mwanga!
 
hallucinations ni uchawi? Mambo mengine yanahitaji jitihada binafsi kuelewa siy lazima yawe kwenye syllabus ya shule bwana.

Naomba usiweweseke. Ukitulia inaleta sense kuliko unavyotaka ku punic. Kwani wewe unajihami nini? Vifo vingapi vya watu duniani vinachunguzwagwa baada ya miaka mingi kupita? Tunapoulizana yahusuyo kifo cha sokoine wewe hutaki yaongelewe, kwa sababu gani?

Sasa nani anachafuliwa hapa na nani anamchafua? Nimekuambia nani alimuua sokoine ama umenisikia nimesema alikufa kifo cha namna gani?

Acha watu wajadiliane. Hakuna ubaya katika hilo. Lakini ukweli utasemwa siku zote kwamba sokoine hakupimwa morogoro hospital kujua kama alifika pale ameshakufa ama alikuwa hai!.

Hili ninalijua. Maswali mengine bwana. Unataka nisemeje? Wenye ufahamu wameshaelewa. Unajuaje kama sikuwepo morogoro wakati dr. Materu anaambiwa hana sababu ya kupima?

Jifunze kuwa msikivu kuliko kubisha masual usiyoyajua!.

thank you!
 
Mkuu asante kwa kunijibia hata mimi nilitaka kumuuliza hayo uliyomuuliza Sokoinekafa miaka kibao leo hii baada ya Mzee wa watu kumsema baba Fred jamaa ndio anamkumbuka Moringe,tena akamsaidie huyo Fred kunywa viroba.


Nashangaa Moderators kuacha uzi huu, me niliwahi kuleta mada tena nyepesi kuhusu ule wimbo maalumu ulioimbwa siku ya mazishi ya kitaifa na kikundi kilichoongozwa na Kapten komba, lkn ulifichwa ghafra. wimbo wenyewe una kibwagizo kuwa NURU YA AMANI YA UPENDO IKO WAPI TUTAFUTEEE, KIITIKIO WAMAICHUKUA WALE MAJASUSI. sasa huu uzi inakuwaje unakaa hapa au watu wamehongwa?
 
anamaanisha vijana wa TISS
Ndugu zake Sokoine kina nani waliombeba Prof Shaba kutoka New Arusha Hotel?

Mimi ninajua Sokoine hakuwa na ndugu wa kwenda kustarehe New Africa Hotel. Wote walikuwa pale msibani including watoto wake, Joseph and Lazaro, na ukoo wote. Hadi yule ngombe mwusi anachinjwa, wanapaka mafuta yake mwili yake, hatukuwa na ndugu yake anakaa New Africa anaitwa Profesa Shaba 1984.

Nilikaa pale Munduli juu Mwezi mzima baada ya mazishi kabla sijaenda Munduli jeshini.

Naomba kama kuna point sijakupata nielewshe.
 
agh hii habari kwanin isiwe wazi? data ziwe declassified,siri mpaka lini kama msuya anamkono ijulikane moja
 
Tunapokaribia kuadhimisha miaka 31 tangu kilipotokea kifo kilichojaa utata cha aliyekuwa Waziri Mkuu Ndg.Edward Moringe Sokoine,ni wakati mwafaka sasa kumhoji Mh.Cleopa Msuya juu ya tuhuma za kuhusishwa na kifo cha Mh. Sokoine;kwa sababu Mh. Msuya kwa siku za karibuni amejitokeza kukemea maovu mbalimbali yanayofanywa na viongozi wa CCM bila shaka pia atakuwa na ujasiri wa kujitokeza na kutolea ufafanuzi wa tuhuma hizi.

Msuya kumuuliza aliko Sokoine ni ngumu sana kukupa jibu ILA nimekuelewa kuwa uunataka aseme kama alihusika au la, na mchango wake ulikuwa mkubwa kiasi gani!
 
Hivi ni kweli Kolimba alikuwa mkuu wa msafara wa Sokoine jioni ile ya ajali?
 
Nakumbuka mwishoni mwa mwaka 1984, mengi yalizungumzwa kuhusu kifo cha Sokoine, sababu kuu ilikuwa ni Urais. Hapo ndipo Kawawa anapoingizwa nae katka shutuma za kumuua Sokoine.

Kwa uzoefu wangu mdogo, Rais wa wakati ule alifahamu nani aliyemuua kipenzi cha Watanzania, hasa kutokana na idara ya Usalama wa Taifa ya kipindi kile ilikuwa imara pengine kuliko wakati wowote ule.

Apumzike kwa amani ndugu yetu, Edward Moringe Sokoine.
 
Acheni upendeleo hata baba yetu nyerere naye apumzike salama.HUYU ILIKUWA KIPINDI CHA MKAPA ndo alipendwa na mungu zaidi yetu.amina
 
Acheni upendeleo hata baba yetu nyerere naye apumzike salama.HUYU ILIKUWA KIPINDI CHA MKAPA ndo alipendwa na mtu aa Mungu zaidi yetu.amina
 
Uanjua watu wanasemaga vitu bila kujua kuna siku vitakuja kuleta maswali.

Kama kuna mtu anasema Sokoine alikuwa akiwa njiani kuelekea Morogoro, nani alithibitisha kifo cha Sokoine? Kulikuwa na Daktari kwenye ile gari aliyempima na kujua alifia njiani wakienda Morogoro?

Nini ilikuwa sababu ya kumpitisha Morogoro Regional Hospital Ikiwa walikuwa wanajua alifilia njiani hata kabla hajafika Morogoro?

Ni vizuri wakanyoosha maelezo.

Ninachokifahamu mimi, waliompeleka Hospital ya Morogoro walikataa asipimwe kwamba alishakufa. Ni jambo dogo lakini ni vizuri kuliangalia kwa upana. Pale Morogoro hakuna Daktari alimpima Sokoine kuthibitisha amekufa ama la. Dr. Materu, aliyekuwa zamu pale, aliye wapokea hakuruhusiwa ampime.

Kama ni report iliandikwa ilikuwa ni kwa formalities na kutokana na maelezo waliyokuwa wanayapata.

Ninaogopa kusema zaidi kwa hofu ya kuambiwa naandika uchochezi.

Imetosha.
Du kama hivo ndivyo ilivyokuwa basi iko kazi....
Kuna maneno hapa
 
KBC Nairobi wao hawakumung'unya maneno walitangaza waziri mkuu wa Tanzania ndugu Edward moringe Sokoine ameuawa"
 
Ni Kama Tumewadharau Kwa Kujua Kua Mnakabiliwa Upungufu Mkubwa Wa Fikra Pevu Ila Tumeona Jinsi Mods Wanavyo Wasaidia Kupigia Depe Upuuzi Wenu Kwa Kuwacha Huu Uzi Uendelee Kutawala Humu

Kwa Kabisa Kwa Niaba Ya Familia Ya Mzee Msuya Tunasikitishwa Na Kulaani Kwa Nguv Zote Matumizi Holela Ya Mtandao Yenye Nia Ya Kubadili Taswira Ya Nchi Hii Inashangaza Sana Mtu Kujibu Tuhuma Kwa Kumtuhumu Alokutuhumu.Genge Hili Lenye Nia Ya Kumsafisha El Limekuwa Na Kawaida Ya Kumtuhumu Kila Anaye Mtuhumu Bwana Wao Bila Kujua Kuwa Hayo Hayawezi Kuwa Maji Ya Kumtakasa Bwana Wao

Kuhusu Mzee Msuya Kuhusishwa Na Kifo Cha Mpendwa Wetu Edwad Moringe Sokoine Hii Ni Jinai Wenye Ushahidi Mahakama Ziko Wazi Wanaweza Kwenda Huko Kama Wanataka Haki Ipatikane Na Kuonekana Kuwa Ni Haki
Kuhusu Bint Alopotea Tuelezeni Kuwa Kapotelea Ofisini Kwa Msuya Nyumbani Kwake Ao Mikononi Mwake Kama Hamna Data Tafuten Namna Ya Kumsaidia Mkuu Wenu Kwenda Ikulu Sio Kumchafua Mzee Wetu Aloipigania Nchi Yetu.
 
Back
Top Bottom