Msuya atueleze aliko Sokoine

Msuya atueleze aliko Sokoine

Tulia Msuya hata mwalimu hajawahi kumpenda kwa ubinafsi wake! Hasa pale alipoubadilisha mradi wa umeme ambao ulikuwa uwafaidi watu wa Kilombero badala yake akauhamishia kwao kule Mwanga.

Katika kipindi cha uongozi wake aliwabagua watu wapare wa Same. Maendeleo tuliyo nayo leo ni jitihada zetu wenyewe vilevile na serikali na siyo za Msuya.
 
Khaa!! Kwani Mzee Msuya katangaza nia?? Naona mishale mingi..
 
Karibia na uchaguzi mkuu mwaka 2010, Jenerali Ulimwengu alipata kuandika kuwa tunapoelekea uchaguzi mkuu tutarajie mengi. Watu wenye heshima zao ndani ya jamii na elimu isiyo na shaka watasimama na kuongea mambo ya hovyo kabisa kuliko neno lenyewe "hovyo" linavyomaanisha. Si kwamba hatakuwa hawaelewi kuwa wanaongea upuuzi, bali watafanya hivyo ili kutimiza haja za matumbo yao.

Alilolisema Jenerali Ulimwengu takribani miaka mitano iliyopita linajirudia leo! Watu wazima wanaongea upuuzi tu bila kujali chochote! Huyu anaongea hili yule anaongea lile yaani ujinga ujinga!

Wewe uliyeleta huu uzi bila shaka unatumia kiuno kufikiri na kama si hivyo basi tumbo lako ndilo linalokuongoza kuleta huu uozo! Sokoine kafariki lini? wakati wote huo ulikuwa wapi kuiibua hii hoja yako? Mnapenda kuleta viroja kujibu hoja nzito. so hutaki Msuya akemee ufisadi? Unataka kumchafua Msuya kisa anakemea ufisadi wa bwana wako? Mlimchafua Salim Ahmed Salim na sasa mnamchafua Msuya!

Mnapokosa hoja tulieni na sio kuleta vioja.

Kifo cha sokoine kimebaki na utata mpaka kesho. Sasa watu wanataka kutumia utata huo kujinufisha kisiasa.

kweli lakini lazima waumbuliwe
 
Mimi nalia na Balali tu,huyu mtu mkubwa katika serikali leo anafia katika nchi ya ugenini halafu eti anazikwa kienyeji tu,hivi ni nini kilikuwa kinafichwa na sisi tukijue!

balali hakufa maccm majinga kupitiliza.yanafikiri yataendelea kuwadanganya watanzania mpaka lini.ccm hawa wanaougua kansa yakichwa hawawezi kutuletea maendeleo kwa akili hizi ambazo hatambwa wamewazidi.toka lini mtu akafa mwili wake na maziko yake yasionyeshe ,
 
Duh jaman watz tunahitaji madawa elimu bora kazi kwa vijana na kodi zetu na rasilimali zitumike kwa manufaa ya taifa wanaotaka uraisi watuhakikishie watasimamia hayo tuwaache waliotangulia wapumzike

Hatuwezi kuwaacha waliotangulia wapumzike ili hali waondio waliosababisha yanayotokea sasa yatokee ufisadi.kuuza mashirika ya umma,elimu mbovu kuuliwa kwa watetea haki
 
msuya anajifanya kumshoe mkono lowassa hana adabu ajibu hoja alihusikaje kifo cha sokoine pamoja nakuchomwa BIOT hela zikalambwaa
 
"PANGO LA MANYANG'ANYI" tunahitaji kiongozi atakayeitoa tanzania hapo ilipofikia na kuipeleka ktk inchi ya HAKI,USAWA,UWAZI,UADILIFU,HESHIMA NA NK.<msuya hakuwa mtu safi kwa tuliomfahamu>
 
Tutasikia mengi mwaka huu wa uchaguzi,wacha niandae popcorn zangu!!!
 
&#9757;&#128170;&#128125; Msuya ndie prime suspect wa mauaji ya Sokoine.....!!!

=> By that time Mwalimu Nyerere alikosea sana KUMLINDA MSUYA....sbb ALIPANGA KILA KITU HADI KIFO CHA SOKOINE....!!!!

=> Na Msuya ni FISADI MHUJUMU UCHUMI WA NCHI HII...mchafu asiye na legitimacy ya kukemea mafisadi sbb yeye alikuwa fisadi kabisa....!!!

=> So tunataka Serikali ijayo, impeleke ktk vyombo vya Dola ajibu kwa UWAZI KWA TAIFA ZIMA....KIFO CHA SOKOINE ANAHUSIKA...!? NA AJIBU KWNN HAUSIKI...!!?

HII NI MURDER CASE....MWALIMU NYERERE ANGEMNYONGELEA MBALI MSUYA....cjui kwann alimwacha...Mwalimu knew Msuya did all THT...!!!
 
balali hakufa maccm majinga kupitiliza.yanafikiri yataendelea kuwadanganya watanzania mpaka lini.ccm hawa wanaougua kansa yakichwa hawawezi kutuletea maendeleo kwa akili hizi ambazo hatambwa wamewazidi.toka lini mtu akafa mwili wake na maziko yake yasionyeshe ,

Balali alifariki ndg, thread hii inajadili zaidi kifo cha Edward Sokoine
 
yani hapa nimeshajifunza kuwa EL hapendi kukosolewa.na kwa hali ya sasa hivi atafunga watu wengi sana akipata madaraka.kule mwanza alimsumbua mtoto kisa kamuuliza swali gumu.inakuwaje kifo cha sokoine aulizwe Msuya tena baada ya kumkosoa EL?dis-qualified....!
Two wrongs to not make one right!
Kila mtu ahukumiwe kwa makosa yake
Lowassa kwa ufisadi
Na Msuya kwa hili doa jeusi lisilosafishika-utata wa kifo cha Sokoine.

Wazungu wanasema "If you live in a glass house , do not thow stones at passersby"


Msuya amevunja kanuni hiyo, sasa wapita njia wanarusha mawe kuelekea nyumaba yake kihalali kabisa.
Hapo ni majibu tu yatamuokoa, au kutubu na kubeba mzigo wake mwenyewe.
 
Hivi kuna mtu asiyejua kuwa Lowasa ni mtu wa propaganda chafu?
 
Hayo ya 1984 hayatuhusu kwa mustakabali wa Taifa letu leo.

Ishu kubwa ni Kuzuia hili Fisadi lisiende Ikulu
Msuya hagombei Urais
 
Katika CCM wafuatao ni wasafi kwenye mambo ya ufisadi. Mzee MWINYI, MSUYA na MAGULA. Magula a melazimishwa tu kushika hicho cheo. Kumbukeni KOLIMBA "CCM imekosa mwelekeo", had Ieo kauli hill inafanya kazi.
 
David Cleopa Msuya. Nani asiyejua alihusika kumuua Sokoine. Na ajibu sasa akanushe . Mleta mada umetukumbusha mbali. CCM ni janga toka zamani
 
Back
Top Bottom