Siku nyingine tuchaguage Matusi. Mbona jamaa kasema "Mtuhumiwa" hajasema "Alomuua". Hudhani kama wewe ndo tukupeleke Mirembe?Mbona uko na akili kama za nguruwe?unasema alomuua sokoine huyu hapa halafu unataka tukusaidie.!!!!!nenda mirembe si bure
Siku nyingine tuchaguage Matusi. Mbona jamaa kasema "Mtuhumiwa" hajasema "Alomuua". Hudhani kama wewe ndo tukupeleke Mirembe?Mbona uko na akili kama za nguruwe?unasema alomuua sokoine huyu hapa halafu unataka tukusaidie.!!!!!nenda mirembe si bure
Mkuu asante kwa kunijibia hata mimi nilitaka kumuuliza hayo uliyomuuliza Sokoinekafa miaka kibao leo hii baada ya Mzee wa watu kumsema baba Fred jamaa ndio anamkumbuka Moringe,tena akamsaidie huyo Fred kunywa viroba.
Sijaelewa kitu.
Hata kama wewe una ndugu huko CCM kaa nae vizuri, hachelewi kukutoa kafara ili damu yako isafishe nyota yake kiutawala.Looooh kumbe jamaa na yeye ni Nouma duuu hii nchi bana
Mkimaliza hili,mtuambie pia nani aliyemuua Mwl. Nyerere.
Mwaka huu tutasikia mengi sana lakini kweli msuya hawezi mziki wa Lowasa hata afanyeje kama haamini amuulize Kinanan na Nape
Msuya kayataka haya....yeye na Kawawa ndio prime Suspects though ni wazi Kawawa hakuhusika...Msuya ndie aliyeliliwa na wengi na hata hayo mauzauza kipindi kile yalimhusu yeye...Mzee Rashid aliingizwa na wahuni ili Cleopa apone.
Mwalimu ali handle hii issue vyema otherwise Msuya asingelipona toka usoni machoni pa watu
Nakumbuka kwenye kipindi cha majira (RTD) tarehe 10/4/1984 - siku mbili kabla ya Sokoine "kuuliwa", Ben Kiko aliripoti kuwa Mh. Sokoine alitamka hivi (kwenye kikao cha CCM) :-
"...Na wale Ma-Padri tuliowakamata kwenye uhujumu uchumi tutawapeleka kwa Baba Askofu wao... pia kikao kijacho tutawawajibisha viongozi wa juu wa chama na serikali ambao watabainika kuhusika na uhujumu uchumi..."
Siku mbili baadaye... Sokoine was GONE...GONE Forever....!
Kwa wale ambao mlikuwa hamjazaliwa:-
Baada ya msuya kumkosoa Lowassa kwa ufisadi,, naona Team Lowassa mmekuja kwakasi kujibu mapigo?! he! he! Lowassa at work
Msuya ni bora angeweka mambo hadharani! Sioni cha ajabu kwa hili? Je waliokuwepo enzi zile watujuze uhusiano wa kikazi kati ya EMS na CM! Then kuanzia hapa tuta develop the true story! Wengine hili hatulifahamu lkabisa!