Msuya atueleze aliko Sokoine

Msuya atueleze aliko Sokoine

Ni Kama Tumewadharau Kwa Kujua Kua Mnakabiliwa Upungufu Mkubwa Wa Fikra Pevu Ila Tumeona Jinsi Mods Wanavyo Wasaidia Kupigia Depe Upuuzi Wenu Kwa Kuwacha Huu Uzi Uendelee Kutawala Humu

Kwa Kabisa Kwa Niaba Ya Familia Ya Mzee Msuya Tunasikitishwa Na Kulaani Kwa Nguv Zote Matumizi Holela Ya Mtandao Yenye Nia Ya Kubadili Taswira Ya Nchi Hii Inashangaza Sana Mtu Kujibu Tuhuma Kwa Kumtuhumu Alokutuhumu.Genge Hili Lenye Nia Ya Kumsafisha El Limekuwa Na Kawaida Ya Kumtuhumu Kila Anaye Mtuhumu Bwana Wao Bila Kujua Kuwa Hayo Hayawezi Kuwa Maji Ya Kumtakasa Bwana Wao

Kuhusu Mzee Msuya Kuhusishwa Na Kifo Cha Mpendwa Wetu Edwad Moringe Sokoine Hii Ni Jinai Wenye Ushahidi Mahakama Ziko Wazi Wanaweza Kwenda Huko Kama Wanataka Haki Ipatikane Na Kuonekana Kuwa Ni Haki
Kuhusu Bint Alopotea Tuelezeni Kuwa Kapotelea Ofisini Kwa Msuya Nyumbani Kwake Ao Mikononi Mwake Kama Hamna Data Tafuten Namna Ya Kumsaidia Mkuu Wenu Kwenda Ikulu Sio Kumchafua Mzee Wetu Aloipigania Nchi Yetu.

We wa Nyika na Vome!!
Kwani veve mthemaji va mdhee Mthuya!!!!!
 
hii inaonyesha jinsi gani unavyokaribia kutuaminisha kuwa msuya alimua kipenz chetu. je mbona hujamjibu alitoa hoja kwamba sokoine walikataza asipimwe kama amekufa na yule aliyesema mwili ulikuwa na matundu? unasemaje basi kuhusu secretary wake aliyepotea ghafla? acha kuropoka povu tuliza akili jibu hoja.

Hoja ni nini hapa? The whole story is based on the Conspiracy theory............. na hapo ndipo ninapowashangaa mnapotumia moyo kufikiri. Tabia ya maskini wa fikra - ukiwa na pesa au cheo huwezi hata siku moja KUFA. Na kama mwenye pesa au CHEO akifa ni lazima kuna mkono wa mtu! Huu ni ufukara wa mawazo.
Pili, nikiri tu kwamba sijui Sokoine aliuwawa na nani. ila ninachofahamu, alifariki kwenya ajali iliyotokea Tanzania. Sasa wenzangu wataalam mnajua kwamba hakufa kwa ajali.
Tatu, hao wanaosemekana kwamba walisema alikuwa na matundu ya risasi, alipewa sumu, alikuwa amelala, alivunjika mfupa wa uti wa mgongo, alipigwa ngeta na dereva wake, Dube alishikishwa kesi asiyoijua,

Nne, Awe Msuya, Nyerere, Jumbe, CIA, South Africa apartheid regime who organised and trained Dube to kill the man
Tano, Katika theory zooooooote hakuna hata moja ambayo unaweza ukaiweka mezani ikasimama - they are all wishful thinking! Why waste time with the wishful thinking?????
 
Mkuu Tetere kwanini hutaki hili jambo lisemwe ili historia ikae mahali pake?

Maana kwa kukaa kimya, bila kuruhusu mazungumzo kama haya, tutahubiriwa yasio ya kweli na mwishowe tukaamini uwongo!

Maana wajukuu zetu watakuja kutuhoji, mbona kaburi la Sokoine lilindwa ili hali la Kawawa halikulindwa?

Kumbuka, kuna maelezo humu JF yanayodaiwa yalitamkwa na mwanaye Sokoine kuwa, walilifukua kaburi la baba yao sikumbuki kwa ajili ipi....ila walikuta mwili ukiwa haujaharibika........na waliyaona hayo matundu yanayosemwa hapa!
 
We wa Nyika na Vome!!
Kwani veve mthemaji va mdhee Mthuya!!!!!

sio tu msemaji bali hata sasa niko siting room kwake tunajianda kwa chakula cha jioni na ananipatia historia nzur ya mapinduzi ya zenj. akimaliza nitapost kwa faida yenu mnaopotosha historia kwa faida ya fisadi wenu
 
sio tu msemaji bali hata sasa niko siting room kwake tunajianda kwa chakula cha jioni na ananipatia historia nzur ya mapinduzi ya zenj. akimaliza nitapost kwa faida yenu mnaopotosha historia kwa faida ya fisadi wenu
Aseme mwenyewe thiyo nyie viguu na njia.
Kwani alipomshambulia Lowassa ulikuwapo!
 
Mtoa mada anataka mwenye ushahid kuhusu uhusika wa Msuya katika kifo cha Sokoine auweke mezani, gafla siasa zinashika hatamu, tafadhali tubaki kwenye uzi, mwenye taarifa ilionyooka atujuze.. Kwa mnaodhani mtoa mada katumwa basi hunabudi kuanzisha uzi mwengine tuchangie..kwa sasa naomba watu wenye uelewa wa hili jambo atujuze, naamini kuna wengi kama mimi tunaempenda kiongoz wetu shujaa Marehemu Sokoine tupate ukweli juu ya kifo chake


Nothing personal
 
Pili, nikiri tu kwamba sijui Sokoine aliuwawa na nani. ila ninachofahamu, alifariki kwenya ajali iliyotokea Tanzania. Sasa wenzangu wataalam mnajua kwamba hakufa kwa ajali.
[/QUOTE]

hapa ningekuelewa. habary ya conspiracy theory acha hiyo ni kichaka cha kujificha wahalifu wakubwa kama assasinators na kadhalika
 
Aseme mwenyewe thiyo nyie viguu na njia.
Kwani alipomshambulia Lowassa ulikuwapo!

Mzee Hawez Kujibizana Na Nyie Wapiga Mboyoyo Wa Fisad Mgonjwa Mana Hata El Sio Saiz Yake Ukiweza Mfufue Nyerere Watajibizana Hoja Kwa Hoja
 
Mzee Hawez Kujibizana Na Nyie Wapiga Mboyoyo Wa Fisad Mgonjwa Mana Hata El Sio Saiz Yake Ukiweza Mfufue Nyerere Watajibizana Hoja Kwa Hoja
Huyo saizi ya wananchi wenye uchungu!
Ni jamaa mwoga ka kunguru , kama ana mshipa si ajibu tuhumuma ?
Ana muachia kiguu na njia ka wewe kujibu tuhuma wakati mwenyewe yupo?
Tuyaachiye ya fisadi yule, ye ajibu tu secretary wake kamzika wapi na Sokoine ilikuwaje! na wewe si umeshashiba?
Hiyo ndo saizi yako , sbiri njaa yako ikurudishe Mwanga.
 
Ukiambiwa uthibitishe kuwa mwili ulikuwa na matundu ya....utakubali!!? Au wewe ndiye ulihusika kwenye Postmortem. Halafu Je mlikuwa wapi kumuuliza Julius maana ndiye alikuwa Mkulu kabisa. Je ni nani alikuwa IGP, Intelligence chief , Home Affair minister nk.
Nasema mna imani za kichawi kwa kuwa kati ya hoja zenu eti kwavile alikuwa anapata mauzauza.!!! Sasa hii inahusika vip.!!!? NDIO MAANA NASEMA TOKENI HUKO kwenye fikra za ajabu ajabu.
Otherwise mpo hapa KISIASA ZAIDI. but be very careful unapoamua kumchafua mtu huwa inarudi na wewe ipo siku utahusishwa na kifo cha mtu hata kama hujahusika. ACHENI SIASA MAJI TAKA

Augustino Pinochet wa Peru alikujashitakiwa kwa mauaji aliyofanya miaka 40 nyuma iweje huyu Msuya mnashangaa kuulizwa miaka 30 baada ya kifo cha Edward sokoine? Ni mambo ya kuangalia wakati gani jambo lianzishwe si kila jambo linalotendeka leo kesho lipatiwe majibu hapana linategemea nguvu ya mhusika katika jamii aliyopo na matokeo yake
 
Huyo saizi ya wananchi wenye uchungu!
Ni jamaa mwoga ka kunguru , kama ana mshipa si ajibu tuhumuma ?
Ana muachia kiguu na njia ka wewe kujibu tuhuma wakati mwenyewe yupo?
Tuyaachiye ya fisadi yule, ye ajibu tu secretary wake kamzika wapi na Sokoine ilikuwaje! na wewe si umeshashiba?
Hiyo ndo saizi yako , sbiri njaa yako ikurudishe Mwanga.

Secretary yupi tena
 
Nafikili wakina msuya mtakuwa mnawaonea. Muulizeni aliyekuwa raisi wakati ule.ndiye mwenye mujibu. Kwani kama Msuya alishiriki kwanini hakuadhibiwa na raisi wetu mpendwa wakati ule. Au kwanini uchunguzi haukufanyika kwa amri ya raisi wa wakati ule. Raisi ndiye top wa kila kitu.
Ni Raisi Lowassa atakuja kuuliza. Ndio maana CDM- Cleopa David Msuya...anaweweseka????
 
sio tu msemaji bali hata sasa niko siting room kwake tunajianda kwa chakula cha jioni na ananipatia historia nzur ya mapinduzi ya zenj. akimaliza nitapost kwa faida yenu mnaopotosha historia kwa faida ya fisadi wenu

sisi wengi wetu hata hatujazaliwa wakati huo ila sokoine habar zake tumesoma, tumesikia na baada ya hapo roho zetu zikachomwa kwa uchungu kwa kuwa aliipenda nchi hii kuliko nafsi yake. na hicho ndicho kilichosababisha kifo chake. kingine ukiacha kufanya kaz serikali msuya alikuwa mchafu kwa maana ya mhujumu uchumi ktk tangazo la wazir mkuu sokoine yeye na wenzake walikuwa wa kushughulikiwa. kingine wew hatuwez kukuamini mana ni mnufaika na unatetea uovu maadam ww ni ndugu yake msuya kwa usitukataze kuongelea na kujaribu kujua nani alimuua sokoine ukiacha lowasa na kambi yake sokoine ni zaidi ya lowasa na watu wanaojarib kuvaa kiatu cha sokoine aidha wameuawa au wameteswa. kaa mbali nasi huwez kutuaminisha upuz ndio mana tuko serious na thred hii
 
Uzalendo uko chini sana nchini .. Ni Aibu. Inawezekana .. classified info .. kuanza kusambaa hovyo .. kwa sababu za kibinafsi tu
 
Naomba usiweweseke. Ukitulia inaleta sense kuliko unavyotaka ku punic. Kwani wewe unajihami nini? Vifo vingapi vya watu duniani vinachunguzwagwa baada ya miaka mingi kupita? Tunapoulizana yahusuyo kifo cha sokoine wewe hutaki yaongelewe, kwa sababu gani?

Sasa nani anachafuliwa hapa na nani anamchafua? Nimekuambia nani alimuua sokoine ama umenisikia nimesema alikufa kifo cha namna gani?

Acha watu wajadiliane. Hakuna ubaya katika hilo. Lakini ukweli utasemwa siku zote kwamba Sokoine hakupimwa morogoro hospital kujua kama alifika pale ameshakufa ama alikuwa hai!. Unajuaje kama sikuwepo Morogoro wakati Dr. Materu anaambiwa hana sababu ya kupima?

Jifunze kuwa msikivu kuliko kubisha masual usiyoyajua!.

mim nakuita mtanzania safi na mzalendo kwa kuwa point uliyotoa mpaka ukaweka jina la docta materu ni ushahidi tosha ulikuwepo. huyu anaweweseka akijua ukweli uliofukiwa umekuja juu ya kabur wanahangaika wafanyaje ndio mana wanakuwa wakali, damu ya sokoine inalia hamtabaki
 
sio tu msemaji bali hata sasa niko siting room kwake tunajianda kwa chakula cha jioni na ananipatia historia nzur ya mapinduzi ya zenj. akimaliza nitapost kwa faida yenu mnaopotosha historia kwa faida ya fisadi wenu

muulize huyo baba yako maswali mawili muhimu sana. 1. sokoine alipimwa alipofikishwa morogoro hospital 2. je mwili wake ulikuwa na matundu? hayo ndio mazingira yenyewe na usishangae akafukuliwa na uchunguz ukaanza upya. huyo mzee unapoendelea kumtetea tutaamini alikuwa mhujumu uchumi na ndio waliomuua sokoine. mbona hawatajwa akina ngombale mwiru kwa nini azungukwe na mazingira machafu yote? huku sokoine huku secretary wake take care.
 
Huyo saizi ya wananchi wenye uchungu!
Ni jamaa mwoga ka kunguru , kama ana mshipa si ajibu tuhumuma ?
Ana muachia kiguu na njia ka wewe kujibu tuhuma wakati mwenyewe yupo?
Tuyaachiye ya fisadi yule, ye ajibu tu secretary wake kamzika wapi na Sokoine ilikuwaje! na wewe si umeshashiba?
Hiyo ndo saizi yako , sbiri njaa yako ikurudishe Mwanga.

mi nadhan hustahil kujibiwa ila kwa faida ya watanzania ni kwamba sokoine alikufa kwa ajali ya gari wakat akitoka dom kwenda dar gari lake liligongana na gar ilokuwa ikiendeshwa na mkimbizi kutoka south akiitwa DUBE kuhusiana na kumzika sekretari mzee msuya hajawah kufanya kaz idara ya mazishi kwenye halmashauri yoyote nchini
 
Back
Top Bottom