Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

Mbona serikali inaruhusu kulimwa kwa tumbaku ambayo inasababisha vifo vingi kutokana na kansa! Kama bangi ni marufuku basi na tumbaku ipigwe marufuku kulimwa.
 
Mie naungana na msukuma madhara ya bangi ni madogo sana kuliko viroba, yupo sahihi kabisa .
 
hahaha I like your comment mkuu

Toxic cigarettes & Alcohols ..... YES !
Bangi........ NO !

'Babylon system' Teh teh teh

Mkuu Cigarettes & Alcohols zinakuwa processed kihalali viwandani na composition zake zinajulikna na zinakuwa controlled; hivyo si sawa kulinganisha bangi na hivi.

Ungekuwa sahihi kama ungelinganisha bangi na gongo.
 
  • Thanks
Reactions: BDN
Sasa kama si elimu duni,Msomi gani hajui madhara ya mirungi na bangi?
Nadhani signature yko inajieleza hapo chini km ulimsikiliza huyo mh,alilinganisha na hz pombe za viroba zinazohalalishwa na serikali na kupinga bangi na mirungi ambayo anaona hazina madhara kuzid hvyo viroba,na anaona serikali inapoteza mapato kutokana na nch za wenzetu serikali zao zinaingiza mapato kupitia kilimo mf kenya na mirungi mpaka inagewa escort ya serikali
 
Nampa support huyu mbunge. Ihalalishwe maana kiuhalisia ni kweli inatumika na watu wengi japo ni kwa kificho. Ni muhimu kwa afya ya akili.
 
...waache tu waendelee kukaza!,ndo wanaiongezea thamani sokoni!
...kwani kimebadilika nini toka wapige marufuku!
...majita tunasebenza tu kama kawa!
 
Mkuu hebu tupe na takwimu za vichaa ni direct proportional au inversely, cku ingne kua critical thinker
Mkuu mtu hadi kufikia hatua ya kuwa kichaa ni story ndefu sio kuvuta bangi kunasababisha mtu kuwa kichaa ila kuna mda ikitumika kupita kiasi inakuwa na madhara lakini si kama yale yanayo zungumziwa na jamii eti utakuwa kichaa

Ukisoma somo la phsychatric utajua kila alie binadamu ana asilimia kadhaa za ukichaa anasubiri tu kichochezi ukichaa wake uonekane ndo kama mapenzi,matatizo ya kifamilia na utagundua kuwa Bangi ni kisababishi kidogo sana......Fanya research pale Dodoma Milembe Chukua wagonjwa 10 waulize kama walisha vuta Bangi uone utapata wangapi ndo utajua kuwa bangi ni kichochezi tu na sio kisababishi au Muhimbili pale Siku watoto vichaa wanapo tibiwa utaona kama walivuta bangi au hata watu wazima uliza historia Yao!

Bangi,sigara na majani mengine kwenye Mapafu ndo vina madhara makubwa compare na matatizo ya akili! Unakunywa chai kila siku iliowekwa Majani mengi (majani ya chai) afu nasema wewe u'r safe hapana!

Kama Pombe zote watu wanakunywa na kodi inachukuliwa, sigara zote watu wanavuta,tumbaku kwanini isiwe bangi? Tusikariri hivi vitu Vyote madhara yake ni yana fanana.....Kama bangi inamtuma mtu kufanya uhalifu hata pombe hvyo hvyo.....inauzwa Konyagi afu bangi inakataliwa
 
Hapana lakini nakaribia kufanya hivyo. Naifanyia research kwanza
Hakuna vya research wala nini! yani na wewe unaipiga? duh polee na ndo inayokusumbua na itakusumbua zaidi pole. ila hujachelewa unaweza fanya maamuzi kuiacha ili ubaki sawa
 
Hakuna vya research wala nini! yani na wewe unaipiga? duh polee na ndo inayokusumbua na itakusumbua zaidi pole. ila hujachelewa unaweza fanya maamuzi kuiacha ili ubaki sawa
Wapi umeona inanisumbua mkuu?
 
Huyo Msukuma pamoja na umbumbumbu wake wa hali ya juu na kuropoka hovyo ndiye Mwenyekiti wa Chama Tawala mkoa wa Geita ambao hata Chato ni wilaya ndani ya mkoa huo.
Hebu jengeni taswira ni mkoa wa aina gani huo au chama hicho kina hadhi gani kama mwenyekiti waliyemchagua ndiye huyo.
 
Hao watakuwa wamechanganya na madawa mengine ya kulevya. Pia bangi inahitaji usiwe na stress...ule vizuri, chakula kisiwe cha mawazo.

Usiniulize nimejuaje....
Tatty na we ni mdau?..Natafuta kampani
 
Hii hoja ni lazima alitumwa na Mr Sugu na Prof Lema...
 
Back
Top Bottom