[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] thithemiTatty na we ni mdau?..Natafuta kampani
Siku ikihalalishwa historia itamkumbuka,kwamba ni mmoja wapo wa aliyesimamia ukweli na si unafiki wa ki magharibi kila kitu mfano ni ulaya na marekani.Kwa hiyo mkuu,Bangi ihalalishwe?Jamaa elimu duni inamsumbua
Acha u Bitoz smoke kaya... Kaya inakupenda.Huyo Msukuma ana tatizo kubwa inabidi akanuse makalio ya beberu kutwa x 5 atapona
Msukuma na asilaumiwe jamani,hapo ndo IQ yake iko level. Mtu alaumiwe kulingana na upeo wake, Ndugu yetu sina uhakika kama hayo ni mawazo ya wanageita au kajitungia. Na hayo ndo matatizo ya wabunge kuwasilisha hoja zao badala ya hoja za wapiga kura wao.Katika kile kinachoonekana kukurupuka na kutojielewa leo mbunge musukuma kasheku ameomba serikali ihalalishe matumizi ya bangi ili iweze kuongeza pato la serikali. Hii inaonesha ni aina gani ya wabunge tulionao katika awamu hii. Naomba serikali ipige marufuku wabunge wa namna hii.
Ukisha eleza 'SIO' baba,mama,watoto hakuna mtumiaji hapo una eleza familia gani sasa? sitaki kuamini kuamini kuwa tayari umesha athirika na huo mche ila idadi ya ya walio jiinua kumsapoti mbunge kwenye hii thread ime toa picha ya kiwango cha watumiaji nikidhani niakina ni kina Haille tu.Aisee basi hao hawali ganja aisee ,sijui wanavuta nini ,mimi kuna familia moja naijua yaani sio baba,mama,watoto wote watumiaji ila hamna kichaa ,mmoja ni mwanasheria,mwingine ni Daktari ,mwingine ni physcologist pata picha unakutana na mwana saikolojia ni mla ganja
Wewe kwenye kiswahili hujawahi sikia ilo neno kwamba sio baba tu bali hata watoto ???Ukisha eleza 'SIO' baba,mama,watoto hakuna mtumiaji hapo una eleza familia gani sasa? sitaki kuamini kuamini kuwa tayari umesha athirika na huo mche ila idadi ya ya walio jiinua kumsapoti mbunge kwenye hii thread ime toa picha ya kiwango cha watumiaji nikidhani niakina ni kina Haille tu.
Nimesha sikia sana Muungwana ila tusijifunze katika makosa.Wewe kwenye kiswahili hujawahi sikia ilo neno kwamba sio baba tu bali hata watoto ???
Asante kwa marekebishoNimesha sikia sana Muungwana ila tusijifunze katika makosa.
Asante kwa kuelewa.Asante kwa marekebisho
Halaf wapiga kura atawaambiaje?ahaa msukuma bora awage anakaa kimya sana
Umejuaje????Hao watakuwa wamechanganya na madawa mengine ya kulevya. Pia bangi inahitaji usiwe na stress...ule vizuri, chakula kisiwe cha mawazo.
Usiniulize nimejuaje....