Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

Kwa hiyo mkuu,Bangi ihalalishwe?Jamaa elimu duni inamsumbua

Kwani bado hawajuwi kuwa inalimwa wapi na ipo nchini ! au bangi zinatoka nnje nazo ? Wahalalishe tu kila kitu kinapatikana Kama KARATASI ZA KUNYONGEA yani Zigi
 
Tembea kidogo japo Ethiopia tuu... utabaki mdomo wazi. huwezi amini kuna baadhi ya majimbo serikali imeruhusu watu kuvuta bangi bila bugudha yoyote
Kuna nchi wameruhusu biashara ya ngono na ushoga na sisi tuige???
 
Spika makinda nae aliisifia kwa kusema, "bangi za Njombe sio kali ka zingine".
 
Katika hali isiyo ya kawaida Mbunge wa Geita Vijijini"Msukuma, amesema haoni sababu ya Serikali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.

Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biashara.
Hali isiyo ya kawaida kivipi?

Ihalalishwe tu
 
Nadhani mbunge wetu anakula bangi maana vituko vyake sio vya kawaida kuanzia mtaani mpaka bungeni
 
Kwa hiyo mkuu,Bangi ihalalishwe?Jamaa elimu duni inamsumbua
Elimu duni kivipi jamaa?

Bangi inaonekana kama ina madhara kwa sababu inavutwa kwa kujificha, mtu unakua na stress za kudakwa.. Ila ktk hali Halisi bhangi Ni safi na salama kwa matumizi ya binaadamu tofauti na mijipombe, viroba na sigara

Legalize it please.
 
huyu alitakiwa awe CDM .. yupo CCM KIMAKOSA... SUBIRI MAGUFULI AWE MWENYEKITI ATAANZA NA WATU WENYE AKILI KAMA HIZI .. MAANA HIZI NI AKILI ZA HAPA NA PALE ZA KU OBSERVE VYUPI NA SHANGA
 
  • Thanks
Reactions: nao
Sitositisha ibada abadan.

Bangi ni mmea wenye faida nyingi sana kiafya na kijamii. Ni hasara kubwa kuupiga marufuku. Ukisoma historia ya bangi utaona kuwa ilipigwa marufuku kutokana na shinikizo la wachache waliotaka wawe na monopoly ya zao hilo. Na sisi tukarithi sheria ya Waingereza blindly.

Mirungi ukilinganisha na sigara utaona kuwa mirungi ina afadhali mara millioni kuliko sigara.
We bibie naonaga wanakusema sema.. Kumbe wanakuonea tu

Leo umeongea point mama.
 
Katika hali isiyo ya kawaida Mbunge wa Geita Vijijini"Msukuma, amesema haoni sababu ya Serikali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.

Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biashara.

Nchi zilizoendelea kama vile mexico na uholanzi zimehalalisha na mbona wana maendeleo kuliko sisi.
Kenya wameendelea kuliko sisi na wamehalalisha mirungi ambayo inachangia asilimia 0.3 ya uchumi wa kenya mnaomponda musukuma acheni unafki.
 
Once you smoke herb, its like your soul searching for freedom!
 
Nakubaliana na Mbunge
Anawakilisha watu wa jimbo lake
Nahao watu ndio walioyo mtuma Bungeni.
Kama kuna mashamba ya Tumbaku
Kwanini kusiwe na mashamba ya bangi na mirungi serekali itapata kodi
Na Mapolisi watapunguziwa kazi za kukamata watu na starehe zao
Nawakilisha
 
Hao watakuwa wamechanganya na madawa mengine ya kulevya. Pia bangi inahitaji usiwe na stress...ule vizuri, chakula kisiwe cha mawazo.

Usiniulize nimejuaje....


Substance induced psychosis
 
Back
Top Bottom