Nina uhakika maana familia yangu na familia rafiki ni waadhirika wa haya majani.Hapana Mkuu una uhakika ni bangi ndio imewafikisha hao vijana kwenye hivyo vitengo vya magonjwa ya akili ??? Ushawahi kutembelea jeshini au sehemu yeyote ya aina hiyo ??
Hao watakuwa wamechanganya na madawa mengine ya kulevya. Pia bangi inahitaji usiwe na stress...ule vizuri, chakula kisiwe cha mawazo.Nina uhakika maana familia yangu na familia rafiki ni waadhirika wa haya majani.
Pamoja na majibu mazuri ya muheshimiwa waziri mimi kama spika nafunga huu mjadala hakuna swali la nyongezaHao watakuwa wamechanganya na madawa mengine ya kulevya. Pia bangi inahitaji usiwe na stress...ule vizuri, chakula kisiwe cha mawazo.
Usiniulize nimejuaje....
Aisee basi hao hawali ganja aisee ,sijui wanavuta nini ,mimi kuna familia moja naijua yaani sio baba,mama,watoto wote watumiaji ila hamna kichaa ,mmoja ni mwanasheria,mwingine ni Daktari ,mwingine ni physcologist pata picha unakutana na mwana saikolojia ni mla ganjaNina uhakika maana familia yangu na familia rafiki ni waadhirika wa haya majani.
Hao watakuwa wamechanganya na madawa mengine ya kulevya. Pia bangi inahitaji usiwe na stress...ule vizuri, chakula kisiwe cha mawazo.
Usiniulize nimejuaje....
Bora katoa wazo ili kodi iongezekeKatika hali isiyo ya kawaida mbunge wa geita vijijini"Msukuma,amesema haoni sababu ya serekali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.
Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa ya biadhara.
Bangi limembangua hadi analipigia debe
Tembea kidogo japo Ethiopia tuu... utabaki mdomo wazi. huwezi amini kuna baadhi ya majimbo serikali imeruhusu watu kuvuta bangi bila bugudha yoyoteKwa hiyo mkuu,Bangi ihalalishwe?Jamaa elimu duni inamsumbua
nani kakudanganya bangi ina madhara..acha kukariri..hivi kuna tofauti gani kati ya bangi na konyagi ?Sasa kama si elimu duni,Msomi gani hajui madhara ya mirungi na bangi?
Licha ya bangi, Gongo na miring Kupigwa marufuku takwimu za watumiaji hakijawahi kushuka tokea 1961 wavuta bangi wapo wengi sana hata baadhi ya wabunge na viongozi wanavuta bangi kwa wingi sana, hivyo hata bangi ikiruhusiwa hawatavuta wote Kama ilivyokuwa sigara hawavuti wote hata gongo hawanywi watu wengi, huyo Mbunge kaangalia takwimu za watumiaji kagundua kuwa watumiaji hayapungui licha ya Sheria kukataza kuvuta bangi.Katika kile kinachoonekana kukurupuka na kutojielewa leo mbunge musukuma kasheku ameomba serikali ihalalishe matumizi ya bangi ili iweze kuongeza pato la serikali. Hii inaonesha ni aina gani ya wabunge tulionao katika awamu hii. Naomba serikali ipige marufuku wabunge wa namna hii.
Wavuta bangi hawajawahi kupungua licha ya Serikali kuwa na Sheria ya kuwabana.Bora katoa wazo ili kodi iongezeke