Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 6,203
- 5,064
Bora walipe kodi ili uchumi ukueWavuta bangi hawajawahi kupungua licha ya Serikali kuwa na Sheria ya kuwabana.
Bora walipe kodi ili uchumi ukueWavuta bangi hawajawahi kupungua licha ya Serikali kuwa na Sheria ya kuwabana.
wabunge wengi sana wanavuta bangi mmoja wapo ni zito na wengineo kibao, ulaya na kule America bangi ni ruksa lakini usizidishe kipimo walichojipangia.Inaonekana yeye ni mvutaji mzuri sana wa majani haya yanayopingwa sana.
wewe utakuwa mkamba "WAADHIRIKA" sio fasaha bali ni 'WAATHIRIKA"Nina uhakika maana familia yangu na familia rafiki ni waadhirika wa haya majani.
Mkuu hebu tupe na takwimu za vichaa ni direct proportional au inversely, cku ingne kua critical thinkerLicha ya bangi, Gongo na miring Kupigwa marufuku takwimu za watumiaji hakijawahi kushuka tokea 1961 wavuta bangi wapo wengi sana hata baadhi ya wabunge na viongozi wanavuta bangi kwa wingi sana, hivyo hata bangi ikiruhusiwa hawatavuta wote Kama ilivyokuwa sigara hawavuti wote hata gongo hawanywi watu wengi, huyo Mbunge kaangalia takwimu za watumiaji kagundua kuwa watumiaji hayapungui licha ya Sheria kukataza kuvuta bangi.
Mmmh!huyu atakuwa mtumiaji wa mibangi ndo maana anataka kuifanya iwe halali !!
Mkuu huoni jicho lile ndula jekunduuuMmmh!huyu atakuwa mtumiaji wa mibangi ndo maana anataka kuifanya iwe halali !!
Bangi zipo tokea 1961 wavuta bangi wameongezeka mara dufu hawajawahi kupungua licha ya sheria kuwabana sana, Nchi za Ulaya walitambua ni vigumu kuwazuia watu kuvuta Bangi ndiyo maana wakaruhusu lakini kwa kiwango Fulani isizidi kipimo na huko si wote wanaovuta Bangi ni baadhi yao, hata Tanzania wakiruhusu Bangi Sidhani kama watu wote watavuta Bangi, watavuta bangi wachache kama ilivyokuwa sasa.nani kakudanganya bangi ina madhara..acha kukariri..hivi kuna tofauti gani kati ya bangi na konyagi ?
Mkuu wewe ndio elimu duni na unaonyesha ni jinsi gani usivyokua na upana wa mawazo . Duniani kote inajulikana cannabis sativa ni dawa inayotumika kutibu magonjwa kibao na kwenye nchii nyingi inatolewa Kama prescription drug na madaktari nguli hadi kufanya nchii hizo zihalalishe mmea huo. Kwa hio na wao elimu duni?Kwa hiyo mkuu,Bangi ihalalishwe?Jamaa elimu duni inamsumbua
wavuta bangi ni wengi hakuna mfano na wakiamua kujitokeza live mtashangaa kuwakuta mpaka mapolisi, wanajeshi, mahakimu na viongozi kibao, bangi ya kuvuta kwa kujificha inawavutia wengi kuliko ya kuwa huru, tena pengine ikiruhusiwa watumiaji watapungua sana.#TCC na TBL ambao ni makampuni mama yanafahamu vyema madhara ya sigara na pombe Lakini bado wanatengeneza na kutuuzia kwa bei ghali na isitoshe hivyo bidhaa zimeandikwa maneno yenye onyo kali kama vile 'uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako na mengine unywaji pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako, kunywa kiistaraabu' sasa kwa nini bangi izuiliwe?
Mataifa mengine wamepitisha kwani wao hawana madaktari wa kuona kwamba bangi ina madhara?
Rai yangu kwa bunge na serikali; ihalalishe bangi ili watu tutumie bila uoga wala tusijifiche!!
Hongera Msukuma kwa hoja yako nzuri
Anaweza kuwa na hoja hata kama hatukubaliani.Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa geita vijijini"Msukuma,amesema haoni sababu ya serekali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.
Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biadhara.
Kwa hiyo mkuu,Bangi ihalalishwe?Jamaa elimu duni inamsumbua