Nimeongeza sikuAnasema wasukuma wakivuta bhangi wanalima sana!Neno kulima sana tayari ni madhara kwani anafanya kazi kuzidi uwezo wake wa kawaida
Kwa vipi?dada, avatar yako inanitisha !
Mkuu madhara yake muulize 20 paaaa centMbunge yupo sahihi. Labda tueleweshwe madhara ya bangi vs sigara. Sigara inayoua watu kila siku mmeikalia kimya tu. Naunga mkono hoja...ihalalishwe
Bangi ni kama pombe. si kila mtu ina mkubali. Wapo wanywa pombe na pombe inawafanyia vibaya mno hawatamaniki. Lakini bangi haina madhara makubwa kama sigara.Mkuu madhara yake muulize 20 paaaa cent
Hata wewe mvuta bangi tu kama Kasheku Msukuma!Kwani mkuu tatizo la bangi ni nini ? In fact kati ya siku zote leo msukuma kaongea vitu vya msingi sana
Anadhihirisha aina ya watu waliomo katika chama chakeKatika hali isiyo ya kawaida mbunge wa geita vijijini"Msukuma,amesema haoni sababu ya serekali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.
Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biadhara.
Safi tu bangi ni dawa mbona marekani kuna majimbo wanaruhusu bangiKatika hali isiyo ya kawaida mbunge wa geita vijijini"Msukuma,amesema haoni sababu ya serekali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.
Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biadhara.
Bhang/Ganja/Marijuana:Mkuu na mimi nina elimu ya hapa na pale
Hebu kwa faida ya wenzangu kama Msukuma naomba unitajie madhara ya bangi ??
View attachment 320682
Wana mapinduzi wakistua kidogo ile roho inapenda. Msukuma ameona faida za Bhangi.
Tibaigana akisikia hili atafurahi kweli.
Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa geita vijijini"Msukuma,amesema haoni sababu ya serekali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.
Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biadhara.
Ndio navuta kwani kuna tatizo Mkuu ??Hata wewe mvuta bangi tu kama Kasheku Msukuma!