Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

Msukuma: Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi

Labda anajua anapolenga. Alizunguka kwenye kampeni nchi nzima akiwa na wakuu katika jitihada za watu kutaka waisome NAMBA
 
Licha ya bangi, Gongo na miring Kupigwa marufuku takwimu za watumiaji hakijawahi kushuka tokea 1961 wavuta bangi wapo wengi sana hata baadhi ya wabunge na viongozi wanavuta bangi kwa wingi sana, hivyo hata bangi ikiruhusiwa hawatavuta wote Kama ilivyokuwa sigara hawavuti wote hata gongo hawanywi watu wengi, huyo Mbunge kaangalia takwimu za watumiaji kagundua kuwa watumiaji hayapungui licha ya Sheria kukataza kuvuta bangi.
Akili yako inaendena na huyo mbunge.kuna mambo mangapi ambayo yapo kinyume na sheria na yanaongezeka kila kukicha kwa hiyo nayo ihalalishwe
Kwa mfano idadi ya watu kuuwawa si imekuwa ikiongezeka kwa hiyo nayo ihalalishwe maana siku hizi vikongwe.albino wanauwawa kuliko kipindi chochote. Mkuu hii sababu yako ya kitakwimu haingii akilini hata kidogo labda uweleze sababu zingine. Uhalisia utabaki palepale uvutaji wa bangi sigara unywaji wa pombe haufai.
 
Rasimu ya Katiba ya Warioba ililliona hili hata ikapendekeza kiwango cha Elimu kiwe kigezo kimoja wapo cha kuwa mbunge.Hapo tunapoteza raslimali pesa na muda kwa kuwa na wawakilishi wasio na upeo wa elimu na kupambanua mambo.Kama ni hivyo mbona kwa ngazi ya Rais mliweka kiwango cha Elimu?
 
Viroba vipo kwenye family ya ufipa

Hadi wamekua mazezeta
 
Msukuma ameomba tafiti inayoonesha madhara ya miraa aka khat...asome hapa Adverse effects of khat: a review | BJPsych Advances

Kuhusiana na bangi hii haihitaji ushahidi, mbona kuna mazao mengi tu ambayo serikali inaweza kuwekeza kwenye export!

Au lengo ilikuwa ni kufikisha message kama anavyosema yeye kwa wavuta bangi na wanywa viroba wa mjengoni?
 
Napinga kwa asilimia 1000 bunge la Tanzania sio bunge tukufu na waache kusema bunge letu tukufu!
 
mie naona ihalalishe, hata machangudoa wahalalishe kwani nao hawana madhara, hata huko kenya vitu hivi viko wazi, kwanza bange ni mchicha
 
Herb is plant. Free the herb
 

Attachments

  • 1454425946333.jpg
    1454425946333.jpg
    14 KB · Views: 41
Bunge waharakishe hii kitu hili tuanze kutumia kwa Uhuru wetu tukutane mitaa ya posta kila mtu kashika ngada yake kariakoo ubungo na kila sehemu hata kwenye mabaa itakuwa poa sana bila kusahau bungeni hii kitu ni muhimu sana kuna wabunge wanalala au wanashindwa kuongea kwa kuwa awajapata hiyo kitu
 
Katika kile kinachoonekana kukurupuka na kutojielewa leo mbunge musukuma kasheku ameomba serikali ihalalishe matumizi ya bangi ili iweze kuongeza pato la serikali. Hii inaonesha ni aina gani ya wabunge tulionao katika awamu hii. Naomba serikali ipige marufuku wabunge wa namna hii.

Me ni upinzani ila katika hoja hii kuna haja ya kuliangalia hili swala kwa umakini wenzetu USA waliulizwa swali hili wagombea u rais marekani wengine walisema sawa kwa ajili ya matumizi ya dawa maana kuna watu sie binadamu ukisha tumia ile kitu warudi kuwa normal kabisa na unakuta ni dawa.

kweli huko usukumani Bangi watu huko vijijini hutumia wakati wa kwenda kulima na mtu anapiga kazi kweli kweli na haina madhara kwake.
 
Bunge waharakishe hii kitu hili tuanze kutumia kwa Uhuru wetu tukutane mitaa ya posta kila mtu kashika ngada yake kariakoo ubungo na kila sehemu hata kwenye mabaa itakuwa poa sana bila kusahau bungeni hii kitu ni muhimu sana kuna wabunge wanalala au wanashindwa kuongea kwa kuwa awajapata hiyo kitu
Duuh!! si itakuwa fujo sasa. hadi ndani ya mjengo! hapana aseeee...
 
Mi nashauri wavutaji wrote wa Bangi mkanuso makalio ya mbuzi kutwa x 10...mtasagau kabisa ishu za bangi
 
Sasa kama si elimu duni,Msomi gani hajui madhara ya mirungi na bangi?
We kama msomi nadhani unajua madhara ya bangi na sigara.....naomba uniambie ipi ni hatar kati ya hizo?
 
Bangi haramu lakini pombe na sigara halal...babylon system
Hili ndo tatizo la double standard ambalo Msukuma anataka lifanyiwe kazi. Pombe na sigara zina madhara makubwa kwa jamii sawa sawa na bangi na mirungi. Iweje bangi na mirungi viwe haramu lakini sigara na pombe viwe halali. Tunapoteza pesa nyingi kwa kuharamisha vitu hivi. Mtu yeyote mwenye comperative study ya hivi vitu atubandikie hapa tujue ni kwa nini bangi na mirungi isihalalishwe!
 
Back
Top Bottom