The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,551
- 20,346
GT
Wakulima husema "Kama umeshindwa kupata mazao mengi katikati ya shamba unategemea upate pembezoni au mpakani 😲😯" hili ndilo linamhusu Kikwete.
Kikwete amekuwa serikalini toka ujana wake zaidi ya miaka 30 ikiwemo 10 ya uraisi. Sasa katika kipindi hicho kama alishindwa kuleta impact badala yake ufisadi ulitamalakai na serikali legelege 😫🤒.
Sasa anajitia kimbelembele kushauri, kuna jambo gani alisahau enzi zake ambalo anaweza kubadili akiwa mstaafu liliomshinda miaka 30 yote ya uongozi wake uliojaa majanga. Kama angetenda mambo mema sana enzi zake hakuna ambae angekataa asiwe mshauri anapohitajika.
Kipimo halisi cha uongozi.wa Kikwete na mwanae RIz nenda ukaone chalinze mjini na vijijini jinsi wakwere wanavyoishi kwa taabu huwezi amini kwamba walishawahi kutoa Raisi ambae amebalehe akiwa CCM 😠 😡.
Binafsi naunga mkono 👏 🙌 👏 hoja ya Mh Sugu na Askofu Dallu kwamba huyu mzee akubali kupumzika aache damu mpya iamue mustakabali wa Taifa. Hata awamu ya Tano alijaribu kusogeza pua lakini Chuma kikamwambia aache kuwashwawashwa atulie aha 😆 😄 🤣
Wakulima husema "Kama umeshindwa kupata mazao mengi katikati ya shamba unategemea upate pembezoni au mpakani 😲😯" hili ndilo linamhusu Kikwete.
Kikwete amekuwa serikalini toka ujana wake zaidi ya miaka 30 ikiwemo 10 ya uraisi. Sasa katika kipindi hicho kama alishindwa kuleta impact badala yake ufisadi ulitamalakai na serikali legelege 😫🤒.
Sasa anajitia kimbelembele kushauri, kuna jambo gani alisahau enzi zake ambalo anaweza kubadili akiwa mstaafu liliomshinda miaka 30 yote ya uongozi wake uliojaa majanga. Kama angetenda mambo mema sana enzi zake hakuna ambae angekataa asiwe mshauri anapohitajika.
Kipimo halisi cha uongozi.wa Kikwete na mwanae RIz nenda ukaone chalinze mjini na vijijini jinsi wakwere wanavyoishi kwa taabu huwezi amini kwamba walishawahi kutoa Raisi ambae amebalehe akiwa CCM 😠 😡.
Binafsi naunga mkono 👏 🙌 👏 hoja ya Mh Sugu na Askofu Dallu kwamba huyu mzee akubali kupumzika aache damu mpya iamue mustakabali wa Taifa. Hata awamu ya Tano alijaribu kusogeza pua lakini Chuma kikamwambia aache kuwashwawashwa atulie aha 😆 😄 🤣