Msingi wa kuliunga Mkono Taifa la Ukraine 🇺🇦 dhidi ya Urusi (Russia).

MWANDAMBO

Member
Feb 2, 2011
19
17
FB_IMG_1664185463808.jpg
1. Kuruhusu Taifa la Urusi (Russia) kushinda vita dhidi ya Taifa la Ukraine, ni kuweka msingi mpya wa mwelekeo hatari kwa usalama na utawi wa dunia (World order) kwamba, ni halali kwa Taifa moja lenye nguvu kulivamia Taifa Huru (sovereign) Jingine na kuuwa watu na maisha yakaendelea! Uwezekano mkubwa wakuzuka na kuimarika kwa vita baina ya mataifa mbalimbali duniani utakuwa umepaliwa makada ya moto.


Mathalani, China kuivamia Taiwan! Korea kusini kuingia vitani dhidi ya Korea Kaskazini, Rwanda kupigana na Burundi, Rwanda kuingia vitani dhidi ya Congo Drc, Uganda kuivamia Rwanda, AFRIKA kusini kuivamia SwaziLand, Kenya kuivamia Somalia, Senegal kuivamia Gambia, vita vikubwa baina ya mataifa ya Mashariki ya kati, kati ya Israeli na mataifa ya Waarabu, Saudia Arabia dhidi ya Iran, Pakistan dhidi ya Afghanistan, India dhidi ya Pakistan, na unaweza kumalizia dunia nzima. Sababu kuu zote ktk mifano ya nchi hizo ni usalama wa mataifa yao...


2. Ukraine ni Taifa Huru ambalo halipaswi kuwajibika juu ya mtazamo ya kisiasa na kiusalama kwa Taifa Jingine nje ya mipaka ya mfumo wa sheria za kimataifa na kipekee sana kwenye masuala binafsi ya Taifa Jingine. Usalama wa Taifa moja unapaswa kuzingatia uhuru wa Taifa jingine.


3. Hatuwezi kutumia makosa dhaniwa yaliyofanywa na Mataifa mengine hapo nyuma kuhalalisha hatari za kuharibu usalama wa Dunia ambapo hakuna ambae atabaki salama kama tukiacha mwelekeo mpya wa vita na visasi. Makosa yaliyofanywa na mataifa mengine yanapaswa kuwa ushahidi na msingi wa kuimarisha usalama wa kila Taifa kwa misingi ya demokrasia na sheria za haki za kimataifa.


4. Misingi ya usalama wa Taifa fulani, pamoja na kuzingatia sheria za Kimataifa na makubaliano ya Kimijataba ya kikanda, ni muhimu yakazingatia msingi wa Uhuru wa Kila Taifa kufanya maamuzi yake bila kuingiliwa na Taifa jingine.


5. Dunia inahitaji demokrasia ili kuweza kuhimili mikiki ya migogoro ya Kimataifa na mitazamo tofauti baina ya Mataifa mbalimbali. Kama kila Taifa likawa na mfumo wa uendeshaji wa Mambo ya nchi yake kwa misingi ya demokrasia, basi tunaweza kuifanya Dunia kuwa sehemu salama zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule. Kwasababu tofauti zetu na maugomvi yetu yataiishia kwneye mqbishano ya hoja, kukubaliana au kutokukubaliana na kuendelea kubishana na kutofautiana lkn sio kupigana na kuuwana.


Taifa la Urusi (Russia) kupitia kampuni binafsi ya WAGNER PMC, limeendesha vita na ukatili dhidi ya Binadamu maeneo mbalimbali duniani, na kipekee sana waathirika mkubwa amekuwa Afrika. Kimsingi hakuna Taifa kubwa duniani ambalo halijahusisha madhila ya ughadamizaji wa haki za Binadamu kwenye mabara kadhaa.


A. Ndambo
 
Putin alikuwa ameamua kulifutilia mbali hili Taifa, lakini naona kashakutana na kisiki cha mpigo toka watu wa Magharibi
 
View attachment 26742281. Kuruhusu Taifa la Urusi (Russia) kushinda vita dhidi ya Taifa la Ukraine, ni kuweka msingi mpya wa mwelekeo hatari kwa usalama na utawi wa dunia (World order) kwamba, ni halali kwa Taifa moja lenye nguvu kulivamia Taifa Huru (sovereign) Jingine na kuuwa watu na maisha yakaendelea! Uwezekano mkubwa wakuzuka na kuimarika kwa vita baina ya mataifa mbalimbali duniani utakuwa umepaliwa makada ya moto.


Mathalani, China kuivamia Taiwan! Korea kusini kuingia vitani dhidi ya Korea Kaskazini, Rwanda kupigana na Burundi, Rwanda kuingia vitani dhidi ya Congo Drc, Uganda kuivamia Rwanda, AFRIKA kusini kuivamia SwaziLand, Kenya kuivamia Somalia, Senegal kuivamia Gambia, vita vikubwa baina ya mataifa ya Mashariki ya kati, kati ya Israeli na mataifa ya Waarabu, Saudia Arabia dhidi ya Iran, Pakistan dhidi ya Afghanistan, India dhidi ya Pakistan, na unaweza kumalizia dunia nzima. Sababu kuu zote ktk mifano ya nchi hizo ni usalama wa mataifa yao...


2. Ukraine ni Taifa Huru ambalo halipaswi kuwajibika juu ya mtazamo ya kisiasa na kiusalama kwa Taifa Jingine nje ya mipaka ya mfumo wa sheria za kimataifa na kipekee sana kwenye masuala binafsi ya Taifa Jingine. Usalama wa Taifa moja unapaswa kuzingatia uhuru wa Taifa jingine.


3. Hatuwezi kutumia makosa dhaniwa yaliyofanywa na Mataifa mengine hapo nyuma kuhalalisha hatari za kuharibu usalama wa Dunia ambapo hakuna ambae atabaki salama kama tukiacha mwelekeo mpya wa vita na visasi. Makosa yaliyofanywa na mataifa mengine yanapaswa kuwa ushahidi na msingi wa kuimarisha usalama wa kila Taifa kwa misingi ya demokrasia na sheria za haki za kimataifa.


4. Misingi ya usalama wa Taifa fulani, pamoja na kuzingatia sheria za Kimataifa na makubaliano ya Kimijataba ya kikanda, ni muhimu yakazingatia msingi wa Uhuru wa Kila Taifa kufanya maamuzi yake bila kuingiliwa na Taifa jingine.


5. Dunia inahitaji demokrasia ili kuweza kuhimili mikiki ya migogoro ya Kimataifa na mitazamo tofauti baina ya Mataifa mbalimbali. Kama kila Taifa likawa na mfumo wa uendeshaji wa Mambo ya nchi yake kwa misingi ya demokrasia, basi tunaweza kuifanya Dunia kuwa sehemu salama zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule. Kwasababu tofauti zetu na maugomvi yetu yataiishia kwneye mqbishano ya hoja, kukubaliana au kutokukubaliana na kuendelea kubishana na kutofautiana lkn sio kupigana na kuuwana.


Taifa la Urusi (Russia) kupitia kampuni binafsi ya WAGNER PMC, limeendesha vita na ukatili dhidi ya Binadamu maeneo mbalimbali duniani, na kipekee sana waathirika mkubwa amekuwa Afrika. Kimsingi hakuna Taifa kubwa duniani ambalo halijahusisha madhila ya ughadamizaji wa haki za Binadamu kwenye mabara kadhaa.


A. Ndambo
Mwelekeo uliwekwa na US na washirika wake. Kuivamia Iraq na kupandisha bendera ya US live kwa TV mpaka waliposhtuka wakakata matangazo.
Kuivamia afghanistan
Kuivamia libya.
Haya yasingetokea hata Urusi isingeivamia Ukraine lakini imeweza kufanya hivyo kwa sababu hata UN ni kibogoyo ilishindwa kuizuia Marekani kufanya hayo.
 
Mwelekeo uliwekwa na US na washirika wake. Kuivamia Iraq na kupandisha bendera ya US live kwa TV mpaka waliposhtuka wakakata matangazo.
Kuivamia afghanistan
Kuivamia libya.
Haya yasingetokea hata Urusi isingeivamia Ukraine lakini imeweza kufanya hivyo kwa sababu hata UN ni kibogoyo ilishindwa kuizuia Marekani kufanya hayo.
Muulize kinachotokea palestina, israel anavyozidi kujitanua tena kwa kujenga makazi kina tofauti gani kwa urusi na Ukraine?

Hivi achukulie mfano waarabu wapate akili kidogo tu nao wamjazie silaha ndugu yao palestina..ili aweze kujitetea na uvamizi nini kitatokea?
 
View attachment 26742281. Kuruhusu Taifa la Urusi (Russia) kushinda vita dhidi ya Taifa la Ukraine, ni kuweka msingi mpya wa mwelekeo hatari kwa usalama na utawi wa dunia (World order) kwamba, ni halali kwa Taifa moja lenye nguvu kulivamia Taifa Huru (sovereign) Jingine na kuuwa watu na maisha yakaendelea! Uwezekano mkubwa wakuzuka na kuimarika kwa vita baina ya mataifa mbalimbali duniani utakuwa umepaliwa makada ya moto.


Mathalani, China kuivamia Taiwan! Korea kusini kuingia vitani dhidi ya Korea Kaskazini, Rwanda kupigana na Burundi, Rwanda kuingia vitani dhidi ya Congo Drc, Uganda kuivamia Rwanda, AFRIKA kusini kuivamia SwaziLand, Kenya kuivamia Somalia, Senegal kuivamia Gambia, vita vikubwa baina ya mataifa ya Mashariki ya kati, kati ya Israeli na mataifa ya Waarabu, Saudia Arabia dhidi ya Iran, Pakistan dhidi ya Afghanistan, India dhidi ya Pakistan, na unaweza kumalizia dunia nzima. Sababu kuu zote ktk mifano ya nchi hizo ni usalama wa mataifa yao...


2. Ukraine ni Taifa Huru ambalo halipaswi kuwajibika juu ya mtazamo ya kisiasa na kiusalama kwa Taifa Jingine nje ya mipaka ya mfumo wa sheria za kimataifa na kipekee sana kwenye masuala binafsi ya Taifa Jingine. Usalama wa Taifa moja unapaswa kuzingatia uhuru wa Taifa jingine.


3. Hatuwezi kutumia makosa dhaniwa yaliyofanywa na Mataifa mengine hapo nyuma kuhalalisha hatari za kuharibu usalama wa Dunia ambapo hakuna ambae atabaki salama kama tukiacha mwelekeo mpya wa vita na visasi. Makosa yaliyofanywa na mataifa mengine yanapaswa kuwa ushahidi na msingi wa kuimarisha usalama wa kila Taifa kwa misingi ya demokrasia na sheria za haki za kimataifa.


4. Misingi ya usalama wa Taifa fulani, pamoja na kuzingatia sheria za Kimataifa na makubaliano ya Kimijataba ya kikanda, ni muhimu yakazingatia msingi wa Uhuru wa Kila Taifa kufanya maamuzi yake bila kuingiliwa na Taifa jingine.


5. Dunia inahitaji demokrasia ili kuweza kuhimili mikiki ya migogoro ya Kimataifa na mitazamo tofauti baina ya Mataifa mbalimbali. Kama kila Taifa likawa na mfumo wa uendeshaji wa Mambo ya nchi yake kwa misingi ya demokrasia, basi tunaweza kuifanya Dunia kuwa sehemu salama zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule. Kwasababu tofauti zetu na maugomvi yetu yataiishia kwneye mqbishano ya hoja, kukubaliana au kutokukubaliana na kuendelea kubishana na kutofautiana lkn sio kupigana na kuuwana.


Taifa la Urusi (Russia) kupitia kampuni binafsi ya WAGNER PMC, limeendesha vita na ukatili dhidi ya Binadamu maeneo mbalimbali duniani, na kipekee sana waathirika mkubwa amekuwa Afrika. Kimsingi hakuna Taifa kubwa duniani ambalo halijahusisha madhila ya ughadamizaji wa haki za Binadamu kwenye mabara kadhaa.


A. Ndambo
Vipi kwa israel kwa palestina ni halali?
Palestine huanza kurusha maroketi Israel
 
Muulize kinachotokea palestina, israel anavyozidi kujitanua tena kwa kujenga makazi kina tofauti gani kwa urusi na Ukraine?

Hivi achukulie mfano waarabu wapate akili kidogo tu nao wamjazie silaha ndugu yao palestina..ili aweze kujitetea na uvamizi nini kitatokea?
Palestine sio taifa haijawahi kuwepo ila Ukraine ni taifa huru
 
View attachment 26742281. Kuruhusu Taifa la Urusi (Russia) kushinda vita dhidi ya Taifa la Ukraine, ni kuweka msingi mpya wa mwelekeo hatari kwa usalama na utawi wa dunia (World order) kwamba, ni halali kwa Taifa moja lenye nguvu kulivamia Taifa Huru (sovereign) Jingine na kuuwa watu na maisha yakaendelea! Uwezekano mkubwa wakuzuka na kuimarika kwa vita baina ya mataifa mbalimbali duniani utakuwa umepaliwa makada ya moto.


Mathalani, China kuivamia Taiwan! Korea kusini kuingia vitani dhidi ya Korea Kaskazini, Rwanda kupigana na Burundi, Rwanda kuingia vitani dhidi ya Congo Drc, Uganda kuivamia Rwanda, AFRIKA kusini kuivamia SwaziLand, Kenya kuivamia Somalia, Senegal kuivamia Gambia, vita vikubwa baina ya mataifa ya Mashariki ya kati, kati ya Israeli na mataifa ya Waarabu, Saudia Arabia dhidi ya Iran, Pakistan dhidi ya Afghanistan, India dhidi ya Pakistan, na unaweza kumalizia dunia nzima. Sababu kuu zote ktk mifano ya nchi hizo ni usalama wa mataifa yao...


2. Ukraine ni Taifa Huru ambalo halipaswi kuwajibika juu ya mtazamo ya kisiasa na kiusalama kwa Taifa Jingine nje ya mipaka ya mfumo wa sheria za kimataifa na kipekee sana kwenye masuala binafsi ya Taifa Jingine. Usalama wa Taifa moja unapaswa kuzingatia uhuru wa Taifa jingine.


3. Hatuwezi kutumia makosa dhaniwa yaliyofanywa na Mataifa mengine hapo nyuma kuhalalisha hatari za kuharibu usalama wa Dunia ambapo hakuna ambae atabaki salama kama tukiacha mwelekeo mpya wa vita na visasi. Makosa yaliyofanywa na mataifa mengine yanapaswa kuwa ushahidi na msingi wa kuimarisha usalama wa kila Taifa kwa misingi ya demokrasia na sheria za haki za kimataifa.


4. Misingi ya usalama wa Taifa fulani, pamoja na kuzingatia sheria za Kimataifa na makubaliano ya Kimijataba ya kikanda, ni muhimu yakazingatia msingi wa Uhuru wa Kila Taifa kufanya maamuzi yake bila kuingiliwa na Taifa jingine.


5. Dunia inahitaji demokrasia ili kuweza kuhimili mikiki ya migogoro ya Kimataifa na mitazamo tofauti baina ya Mataifa mbalimbali. Kama kila Taifa likawa na mfumo wa uendeshaji wa Mambo ya nchi yake kwa misingi ya demokrasia, basi tunaweza kuifanya Dunia kuwa sehemu salama zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule. Kwasababu tofauti zetu na maugomvi yetu yataiishia kwneye mqbishano ya hoja, kukubaliana au kutokukubaliana na kuendelea kubishana na kutofautiana lkn sio kupigana na kuuwana.


Taifa la Urusi (Russia) kupitia kampuni binafsi ya WAGNER PMC, limeendesha vita na ukatili dhidi ya Binadamu maeneo mbalimbali duniani, na kipekee sana waathirika mkubwa amekuwa Afrika. Kimsingi hakuna Taifa kubwa duniani ambalo halijahusisha madhila ya ughadamizaji wa haki za Binadamu kwenye mabara kadhaa.


A. Ndambo
Una mchecheto wa nini?
Ujumbe wa marais wa Afrika waliojaribu kupatanisha mgogori huo wameambiwa na Ukraine kuwa njaa zao zimewapeleka huko, na upatanishi wao hsuhitajiki.
Sasa wewe unawashwa nini?
 
Unaweza kuta Huu uzi eti nao umeandikwa na mtu mwenye akili timamu.


Hujielew wew
 
Vipi na marekani alipoivamia Vietnam, Afghanstan, Iraqi, Syria, nk! Kote huko amefanya uharibifu mkubwa, huku akiwa hana sababu za msingi juu ya huo uvamizi.
Una maoni gani?

Kuna shida gani na Urusi kuamua kujilinda dhidi ya hila na vitisho vya Marekani na washirika wake NATO kupitia hiyo Ukraine? Vipi na kuhusu mapinduzi ya mwaka 2014 yaliyo sababisha watu wa Crimea na eneo la Donbass kwa ujumla wake kuamua kujitenga kutoka Ukraine?
 
View attachment 26742281. Kuruhusu Taifa la Urusi (Russia) kushinda vita dhidi ya Taifa la Ukraine, ni kuweka msingi mpya wa mwelekeo hatari kwa usalama na utawi wa dunia (World order) kwamba, ni halali kwa Taifa moja lenye nguvu kulivamia Taifa Huru (sovereign) Jingine na kuuwa watu na maisha yakaendelea! Uwezekano mkubwa wakuzuka na kuimarika kwa vita baina ya mataifa mbalimbali duniani utakuwa umepaliwa makada ya moto.


Mathalani, China kuivamia Taiwan! Korea kusini kuingia vitani dhidi ya Korea Kaskazini, Rwanda kupigana na Burundi, Rwanda kuingia vitani dhidi ya Congo Drc, Uganda kuivamia Rwanda, AFRIKA kusini kuivamia SwaziLand, Kenya kuivamia Somalia, Senegal kuivamia Gambia, vita vikubwa baina ya mataifa ya Mashariki ya kati, kati ya Israeli na mataifa ya Waarabu, Saudia Arabia dhidi ya Iran, Pakistan dhidi ya Afghanistan, India dhidi ya Pakistan, na unaweza kumalizia dunia nzima. Sababu kuu zote ktk mifano ya nchi hizo ni usalama wa mataifa yao...


2. Ukraine ni Taifa Huru ambalo halipaswi kuwajibika juu ya mtazamo ya kisiasa na kiusalama kwa Taifa Jingine nje ya mipaka ya mfumo wa sheria za kimataifa na kipekee sana kwenye masuala binafsi ya Taifa Jingine. Usalama wa Taifa moja unapaswa kuzingatia uhuru wa Taifa jingine.


3. Hatuwezi kutumia makosa dhaniwa yaliyofanywa na Mataifa mengine hapo nyuma kuhalalisha hatari za kuharibu usalama wa Dunia ambapo hakuna ambae atabaki salama kama tukiacha mwelekeo mpya wa vita na visasi. Makosa yaliyofanywa na mataifa mengine yanapaswa kuwa ushahidi na msingi wa kuimarisha usalama wa kila Taifa kwa misingi ya demokrasia na sheria za haki za kimataifa.


4. Misingi ya usalama wa Taifa fulani, pamoja na kuzingatia sheria za Kimataifa na makubaliano ya Kimijataba ya kikanda, ni muhimu yakazingatia msingi wa Uhuru wa Kila Taifa kufanya maamuzi yake bila kuingiliwa na Taifa jingine.


5. Dunia inahitaji demokrasia ili kuweza kuhimili mikiki ya migogoro ya Kimataifa na mitazamo tofauti baina ya Mataifa mbalimbali. Kama kila Taifa likawa na mfumo wa uendeshaji wa Mambo ya nchi yake kwa misingi ya demokrasia, basi tunaweza kuifanya Dunia kuwa sehemu salama zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule. Kwasababu tofauti zetu na maugomvi yetu yataiishia kwneye mqbishano ya hoja, kukubaliana au kutokukubaliana na kuendelea kubishana na kutofautiana lkn sio kupigana na kuuwana.


Taifa la Urusi (Russia) kupitia kampuni binafsi ya WAGNER PMC, limeendesha vita na ukatili dhidi ya Binadamu maeneo mbalimbali duniani, na kipekee sana waathirika mkubwa amekuwa Afrika. Kimsingi hakuna Taifa kubwa duniani ambalo halijahusisha madhila ya ughadamizaji wa haki za Binadamu kwenye mabara kadhaa.


A. Ndambo
Team NATO Hamna point
 
Mleta mada kasome historia ya dunia, nikwambie kwa kifupi ukipakana na aidha Urusi au USA wewe siyo sovereign state labda uwe na nuklia namaanisha kwamba ukipakana na mmoja kati ya hao wababe wawili wa dunia hakikisha huleti urafiki na taifa hasimu hasa mambo ysnayogusa usalama utapigwa asubuhi na hakuna Mungu wala shetani atakusaidia nasema hakuna NATO wala MNATO atakaekusaidia tazama ukraine pamoja na mihela, mamluki, silaha, teknolojia n.k alivyoletewa na NATO bado kichapo kipo pale pale na hadi leo NATO wanashindwa kumpa uanachama UKRAINE kwani wanajua kuwa kufanya hivyo ni kuingia vita ya usa kwa uso na RUSSIA kitu ambacho baideni anaimba afe asikutane nacho. Huu ndiyo utaratibu wa dunia!
 
Kama mto ruaha umepita katika eneo lako la ardhi , ni haki yako kuchepusha maji ya mto, na kutatumia unavotaka?.
Uhuru wako usihatarishe wengine pia.

NATO expansion kwenda Ukraine Ni threat kwa Russia.

NATO Ni military alliance ambayo Ni threat kwa Russia
EU Ni economic alliance ambayo si tatizo kwa Russia ndo maana Russia Hana tatizo kwa Ukraine kuwa member wa EU.
 
View attachment 26742281. Kuruhusu Taifa la Urusi (Russia) kushinda vita dhidi ya Taifa la Ukraine, ni kuweka msingi mpya wa mwelekeo hatari kwa usalama na utawi wa dunia (World order) kwamba, ni halali kwa Taifa moja lenye nguvu kulivamia Taifa Huru (sovereign) Jingine na kuuwa watu na maisha yakaendelea! Uwezekano mkubwa wakuzuka na kuimarika kwa vita baina ya mataifa mbalimbali duniani utakuwa umepaliwa makada ya moto.


Mathalani, China kuivamia Taiwan! Korea kusini kuingia vitani dhidi ya Korea Kaskazini, Rwanda kupigana na Burundi, Rwanda kuingia vitani dhidi ya Congo Drc, Uganda kuivamia Rwanda, AFRIKA kusini kuivamia SwaziLand, Kenya kuivamia Somalia, Senegal kuivamia Gambia, vita vikubwa baina ya mataifa ya Mashariki ya kati, kati ya Israeli na mataifa ya Waarabu, Saudia Arabia dhidi ya Iran, Pakistan dhidi ya Afghanistan, India dhidi ya Pakistan, na unaweza kumalizia dunia nzima. Sababu kuu zote ktk mifano ya nchi hizo ni usalama wa mataifa yao...


2. Ukraine ni Taifa Huru ambalo halipaswi kuwajibika juu ya mtazamo ya kisiasa na kiusalama kwa Taifa Jingine nje ya mipaka ya mfumo wa sheria za kimataifa na kipekee sana kwenye masuala binafsi ya Taifa Jingine. Usalama wa Taifa moja unapaswa kuzingatia uhuru wa Taifa jingine.


3. Hatuwezi kutumia makosa dhaniwa yaliyofanywa na Mataifa mengine hapo nyuma kuhalalisha hatari za kuharibu usalama wa Dunia ambapo hakuna ambae atabaki salama kama tukiacha mwelekeo mpya wa vita na visasi. Makosa yaliyofanywa na mataifa mengine yanapaswa kuwa ushahidi na msingi wa kuimarisha usalama wa kila Taifa kwa misingi ya demokrasia na sheria za haki za kimataifa.


4. Misingi ya usalama wa Taifa fulani, pamoja na kuzingatia sheria za Kimataifa na makubaliano ya Kimijataba ya kikanda, ni muhimu yakazingatia msingi wa Uhuru wa Kila Taifa kufanya maamuzi yake bila kuingiliwa na Taifa jingine.


5. Dunia inahitaji demokrasia ili kuweza kuhimili mikiki ya migogoro ya Kimataifa na mitazamo tofauti baina ya Mataifa mbalimbali. Kama kila Taifa likawa na mfumo wa uendeshaji wa Mambo ya nchi yake kwa misingi ya demokrasia, basi tunaweza kuifanya Dunia kuwa sehemu salama zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule. Kwasababu tofauti zetu na maugomvi yetu yataiishia kwneye mqbishano ya hoja, kukubaliana au kutokukubaliana na kuendelea kubishana na kutofautiana lkn sio kupigana na kuuwana.


Taifa la Urusi (Russia) kupitia kampuni binafsi ya WAGNER PMC, limeendesha vita na ukatili dhidi ya Binadamu maeneo mbalimbali duniani, na kipekee sana waathirika mkubwa amekuwa Afrika. Kimsingi hakuna Taifa kubwa duniani ambalo halijahusisha madhila ya ughadamizaji wa haki za Binadamu kwenye mabara kadhaa.


A. Ndambo
Hao wazee wa upinde wakiongozwa na marekani wamevamia mataifa kibao tu lkn hakuna anaekemea!! Nasapoti Putin awaondoe wazee wa upinde jirani na urusi!! NB; Hii vita ni marekani vibaraka wake dhidi ya badaaz Putin!!
 
Back
Top Bottom